Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,139
- 2,998
Wiki jana nipo kwenye gari natoka dar kwenda mbeya kwenye mishe kama kawaida kusaka ugali wa kila siku.
Gari imefika mafinga waliofika wakashuka wakupanda wakapanda, sasa bwana me nimekaa zangu upande wa konda dirishan, upande wa dereva opposite kwangu kuna seat mbili hazina mtu kakapanda katoto kazuri kamoja kakaniuliza hapa kuna mtu nikamwambia hamna mtu so kakakaa seat ya dirishan na seat nyingine ikawa haina mtu. Mimi nilikaa na dingi mmoja anakoroma kiroho mbaya nikawaza nkaona Mbeya bado mbali ngoja ntafute namna, na nishapata sababu ya kuhama hapa.
NAMNA NILIVYOHAMA
Nikisafirigi huwa huwa nakuwa na backpack na huwa naiweka kwenye draw opposite na mimi ili niweze kuiona everytime nikitupia macho juu sasa basi kwa mazingira yalokuwepo backpack yangu ilikuwa above ile seat alokaa yule mrembo.
Basi lilikuwa limesimama for sometimes, nikajilipua nikasimama nikachukua backpack yangu nikaiweka pemben ya seat alokaa yule mrembo then nikamwmbia naomba uniangalizie naenda nje onetime nikirud nakuja kukaa hapa, akasema okay..nikashuka onetime nikazuga kidogo nikarudi ndani nikachukua bag yangu nikaiweka tena the opposite side nikakaa pale na mrembo.
Sikutaka kumchelewesha nikamsemesha kwa kumsalimia Mambo, nilifanya hivi makusudi nilijua atanishangaa sababu tulisha salimiana mwanzo(this was my opener) and it worked , akashangaa then akasmile alafu akasema si tulishasalimiana, nikamwambia me huwa nasahau kama nimesalimia especially nikiwa nimesalimia mtoto mzuri kama wewe , nikampa mkono nikamwambia umependeza , akasema asante..the convo went on na nini then nkamuuliza unakaa mbeya au unaenda kutembea akasema kwao mafinga ila mbeya ni chuo so anaenda tu gheto kwake mara moja then anarud kwao, nikapumua kama mtu aliepata relief fulan , nkamwambia bora nimepata mwenyeji wangu Mbeya nikikosa lodge au hotel ya kukaa ntakuja kukaa kwako, akasema kwangu hapana ila kama lodge ntakuelekeza uende , me nikamwambia kuwa inabid unipeleke lodge then wewe utaenda kwako, akaubali katika story story kasinzia kwenye bega yangu nikaanza kumshikashika kiuno pale akawa kalegea gafla naona anampigia mtu ambae yupo mbeya akimpanga kuwa atafika mbeya saa moja wakati mbeya atafika saa kumi, kimoyomoyo nkasema yeees, maongezi yakaendelea pale tulivyofika igulusi akawa mwanamke wangu tayari tulivyofika mbeya nilikapasua ile mbaya saa moja jamaake anapiga simu kuwa kamaliza kusafisha gheto lake anaomba awahi, hapa do nikajua kumbe mwenye mali aliambiwa aende gheto la mwanamke akasafishe mwanamke anakuja na nadhani mwanamke alikuwa anapeleka pusy ikapasuliwe manake alikuwa na upwiru, saivi anataka kumpiga chini bwanake sababu pale pale alibadilisha security access ya device zake zote ili awe comfortable with whatever will go on with us…TUENDELEE KUTAFUTA HELA SABABU BAJAJI NA CHAKULA NILIPASUKA MIMI NA SAIVI NIMEMWONGEZA HELA YA KUNUNUA SIMU MPYA….
Ulitumia ndomu, maana abiria wa mafinga hapo mhhh