Wiki jana nipo kwenye gari natoka dar kwenda mbeya kwenye mishe kama kawaida kusaka ugali wa kila siku.
Gari imefika mafinga waliofika wakashuka wakupanda wakapanda, sasa bwana me nimekaa zangu upande wa konda dirishan, upande wa dereva opposite kwangu kuna seat mbili hazina mtu kakapanda katoto kazuri kamoja kakaniuliza hapa kuna mtu nikamwambia hamna mtu so kakakaa seat ya dirishan na seat nyingine ikawa haina mtu. Mimi nilikaa na dingi mmoja anakoroma kiroho mbaya nikawaza nkaona Mbeya bado mbali ngoja ntafute namna, na nishapata sababu ya kuhama hapa.
NAMNA NILIVYOHAMA

Nikisafirigi huwa huwa nakuwa na backpack na huwa naiweka kwenye draw opposite na mimi ili niweze kuiona everytime nikitupia macho juu sasa basi kwa mazingira yalokuwepo backpack yangu ilikuwa above ile seat alokaa yule mrembo.
Basi lilikuwa limesimama for sometimes, nikajilipua nikasimama nikachukua backpack yangu nikaiweka pemben ya seat alokaa yule mrembo then nikamwmbia naomba uniangalizie naenda nje onetime nikirud nakuja kukaa hapa, akasema okay..nikashuka onetime nikazuga kidogo nikarudi ndani nikachukua bag yangu nikaiweka tena the opposite side nikakaa pale na mrembo.



Sikutaka kumchelewesha nikamsemesha kwa kumsalimia Mambo, nilifanya hivi makusudi nilijua atanishangaa sababu tulisha salimiana mwanzo(this was my opener) and it worked , akashangaa then akasmile alafu akasema si tulishasalimiana, nikamwambia me huwa nasahau kama nimesalimia especially nikiwa nimesalimia mtoto mzuri kama wewe , nikampa mkono nikamwambia umependeza , akasema asante..the convo went on na nini then nkamuuliza unakaa mbeya au unaenda kutembea akasema kwao mafinga ila mbeya ni chuo so anaenda tu gheto kwake mara moja then anarud kwao, nikapumua kama mtu aliepata relief fulan , nkamwambia bora nimepata mwenyeji wangu Mbeya nikikosa lodge au hotel ya kukaa ntakuja kukaa kwako, akasema kwangu hapana ila kama lodge ntakuelekeza uende , me nikamwambia kuwa inabid unipeleke lodge then wewe utaenda kwako, akaubali katika story story kasinzia kwenye bega yangu nikaanza kumshikashika kiuno pale akawa kalegea gafla naona anampigia mtu ambae yupo mbeya akimpanga kuwa atafika mbeya saa moja wakati mbeya atafika saa kumi, kimoyomoyo nkasema yeees, maongezi yakaendelea pale tulivyofika igulusi akawa mwanamke wangu tayari tulivyofika mbeya nilikapasua ile mbaya saa moja jamaake anapiga simu kuwa kamaliza kusafisha gheto lake anaomba awahi, hapa do nikajua kumbe mwenye mali aliambiwa aende gheto la mwanamke akasafishe mwanamke anakuja na nadhani mwanamke alikuwa anapeleka pusy ikapasuliwe manake alikuwa na upwiru, saivi anataka kumpiga chini bwanake sababu pale pale alibadilisha security access ya device zake zote ili awe comfortable with whatever will go on with us…TUENDELEE KUTAFUTA HELA SABABU BAJAJI NA CHAKULA NILIPASUKA MIMI NA SAIVI NIMEMWONGEZA HELA YA KUNUNUA SIMU MPYA….

Ulitumia ndomu, maana abiria wa mafinga hapo mhhh
 
Mkuu wanawake wa Dar wanambinu nyingi sana za kujiuza, unakuta demu yupo kwenye kituo cha dala dala kumbe mwenzako ndipo ofisi yake ilipo anasubiri aombwe namba, yani mji wa Dar una malaya wengi sana. Yani unaweza kuona demu pis kali sana kumbe anajiuza kwa bei cheee.
Kuna Mijimama huwa inajitembeza madukani Kariakoo asubuhi mpaka jioni,ukitongoza hukataliwi unaenda kulila muda huo huo *****
 
Wakuu...ma broo na ma sista...Kwanza poleni na majukumu ya Kila siku...

Kwa kuzingatia michango ya Wana jf member hapa...Kuna namna imenisaidia na kuweza kumla huyu demu siku ya Jana jumapili kwa maana ni siku pekee ya huyu mdada kuwa off kazini... Wazo kubwa nililolipata hapa jukwaani ni lile la kutenga bajeti ya kiasi Cha pesa ambacho Mimi nilitenga laki moja ...hii niliifanya ya kumhudumia shida zake ndogondogo kwa sababu nature yake ni kuomba vocha Sana na hela ya kula..bhasi kufika Jana huyu dada akajaa kwenye kumi na nane ...mwamba nikamaliza.

Sasa wakuu baada ya kumla niliaona si vibaya nikampa 50k Kama zawadi na kumjengea imani ili wakati mwingine arudi tena,Sasa wakuu hapo kumpa hio 50k nimekosea?swali hili naliuliza kwa maana sijajujua ninajenga au ninabomoa katika kumrekebisha tabia yake ya kuomba omba hela...

Lakini baada ya mizengwe ya wiki ya Kwanza kabisa Ile mpka nikalipia outing ya 74k,nilijifunza kutokana na michango ya Wana member humu Kuna vitabia nilimkemea na binti kweli aliviacha..vijitabia vyenyewe ni vilikuwa nipale anakuomba hela labda ten...halafu baada ya kutuma asemi asante au siku nzima anaponitafuta ni pale anapokuwa anauhitaji wa kula hayo machipsi yake na mavocha ...bhasi Mimi sikusita kumpigia na kumchana na kumuelimisha kuwa Mimi Kama mwanaume wako na kiongozi wako nataka aache hio tabia Mara moja na sipendezwi kabisa na tabia chafu hapo ikumbukwe ni bado hajaja ghetoni lakini aliweza kuobey hio Sheria na akawa ananipigia hata Kama Hana uhitaji...

Sasa wachangiaji nisiwachoshe Sana siku ya Jana nilivomalizana nae nikaona isiwe tatizo nikampeleka mpka mbezi...kufika mbezi ambako shoga yake yule wa mara ya Kwanza siku Ile alikuwa amekuja nae outing waliaahidiana nae wakutane hapo ili warudi kwa pamoja sababu wanakaa mtaa mmoja akawa amewahishwa na haraka zake...nikaona isiwe tatizo nikamwambia bhasi ntakupeleka mpka goba mpakani ili achukue bajaji aende kwao ..akasema sawa nikamrusha chap Ile tumefika tu ananiambia tena Sina hela ya kula,nikamuangalia nikasema kimoyomoyo huyu anamashetani Nini elfu hamsini nimempa na naul nilimpa 15k goba mpka kibamba ya kuja ameungaunga usafiri akabaki na chenchi ya kutosha tu kwa maana nililijua hilo alivokuwa anaenda kuoga baada ya show nilichukua simu yake nyuma ya kava ana elfu Saba. imebakia....nikajikausha sababu mi kiukweli nampenda nikatoa ten nikamwambia boda anirudishiie buku tano na kumpa 2k nyingine ya boda ili amfikishe kwao kwa maana mda huo alikuwa ameshanikwaza nikasepa nikapitia ngao pub nikapiga mboliko nikirudi home mda huo nahasira tu.

Kinachonichanganya nikiweka amri nzugu naona nidemu ambaye anazi tii kwa kiasi Sasa sielewi nimfanyaje Kuna muda Kama ana Mambo mengi unaweza kumtafuta asipokee simu lakini haachi kunitafuta hata Mara moja tangu nilivomchana.

Saivi naangalia game ya Totten na full ham nimemcheki na kumuelekeza nataka nimuweke ndani nimuowe kwa maana sote sisi ni waislamu na ni dhambi kuzini naona ananiambia mpka mwakani ni mpaka amalizie koz ya kompyuta ambayo aliiachaaga njiani, nimemwambia sawa ..tutaongea zaidi Ila nimtu ambae naona kapokea kwa wema na amenisihi nimjulishe nitakaporudi nyumbani kwa kuwa mi nipo baa na sijajua lengo ni Nini labda ajue Kama niko salama ...Yani Kuna mda anajali hadi nafurahi ila Kuna vijitabia vya kingese hadi simuelew..

Ila nampenda Sana na Jana kanilazimisha nitumie ndomu maana yuko danger mi nikamkazia kinomanoma pale ilikuwa vita akakubali nikamwambia atatumia p2 Kama anawasiwasi na mimba Ila mi hata asipotumia akipata mimba ndio vizuri tu kwa kuwa namuhitaji...

Sasa kaka na dada zangu embu nisaidieni wakuu...hapa kipi kifuatie hadi awe anaelewa kabisa na mwishowe awe ni mwanamke wa ndoto zangu?ni kwa namna gani atajinyenyekeza kwangu nakutambua Mimi ni mme wake?nitumie njia zipi? Ili atulie ma broo ...msaada unahitajika Ila hajaacha kuvaa yebo za kutuna na yebo za vitobovitobo hata alivokuja alivaa...
Unaoa Malaya aliekubuhu
 
Last week nme uza match kima sihara kwa kitoto cha a level ..juzi naona mashine ina anza kutoa vi maji vya rangi ya maziwa havina harufu ,nka jua hapa tayari sha pigwa nka ibukia hospitali nka kutwa na infections hadi saiv naendelea na dose

tusi uze match amna kumuamini yeyote
Hao watoto hawafai kabisa,gono plus ngoma nje nje
 
Mwanamke ambaye kwenye edit za picha ni Rihanna, alafu live ni Josh Onyango, inasharutishwa aachwe stand ya daladala..

Kuna mshkaji alifunga safari kutoka Mwanza kufuata demu Moro waliekutana nae Facebook, kufika stand ***** picha za Facebook na demu alivyo tofauti, jamaa akapotea kiaina stand hata hawakukutana. Sababu jamaa wakati Gari imefika stand alikuwa anaongea na simu na demu akamwambia yupo chini karibu na mlango,jamaa kucheki akakuta kauziwa mbuzi kwenye gunia.
 
Hiyo ya kufuta namba imenikumbusha mbali sana. Wakati niko chuo kuna pisi moja ya kishua nilikuwa jirani nayo sana. Tulikuwa kundi la group assignment. Alikuwa na anajiheshimu sana pia mimi alikuwa ananiheshimu na kuchukulia kuwa na kaka yako. Baba yake alikuwa ni mtumishi mkubwa kabisa katika awamu ya mzee wa Lupaso. Pisi hiyo ilikuwa ina kaa nyumbani inaletwa Chuo kwa gari mimi nilikuwa nimepanga na jamaa jirani na chuo. Alikuwa na mazoea ya kuja mara kwa mara geto kwetu na hii ilitulazimu kudumisha usafi wa hali ya juu sana. Maana mnaweza kuwa darasani akaomba ufunguo akasema anaenda kupumzika geto...
Kuna kipindi mzee wake alisafiri kwenda nje akamletea simu kali kwa kipindi kile, nokia double screen kipindi hicho hakuna smart phone, ile pisi ikanipa simu aliyokuwa anatumia awali noki 3210 aka jeneza. Hii ndiyo ilikuwa simu yangu ya kwanza kumiliki. Kwangu mimi ilikuwa ni kwa ajili kupokea tu maana sikuwa na uwezo wa kuweka airtime. Airtime yenyewe ilikuwa ghali sana 1000 unatumia dk mbili tu.
Tuliendelea kuwa karibu na ile pisi kiasi cha jamaa yangu kuanza kuhoji nini mustakabali wetu. Kuna siku nikatupia maneno ya kutongoza pisi ikaniambia Lube please you should behave... Sikukata tamaa mana watu karibia kozi nzima wanajua mimi nakula mzigo. Kuna siku nikamuibukia waziwazi akaniambia if you insist I will stay away from you.... Hapa ikibidi nirushe majeshi nyuma nikaanza kumkwepa kiaina.
Siku moja akanipigia simu nikapokea na kujifanya siitambui namba... Akaniuliza umefuta namba yangu... Nikamwambia wewe nani kwanza? Akasema ni mimi S.... Nikamwambia ok karibu... Akaniuliza kwa nini umefuta namba yangu.... Nikamjibu I decided to stay away from before you stay away frome as I cant avoid missing... Akaniuliza kwa hiyo ukifanya hivyo ndiyo unakuwa sawa? Nikamwambia niko sawa au siko sawa it is none of your business.
Akasema Lube what has come between us? Nikamwambia nothing wrong.
Akasema, No please I dont like the way you behave, please be fair.... I want to meet you this evening... Nikamuuliza, je hicho ndicho ulichonipigia kuniambia? Akaniambia no please we need to sort out this please then nitakuambia nilichokusudia kukuambia. Nikamwambia nitakuwepo geto. Akaniuliza Mark (yule jamaa yangu si jina halisi) yupo hapo? Akili ikajichaji fasta nikamwambia Mark hayupo kaenda kwa sista wake atarudi Mtaa X atarudi kesho jioni... Akanambia Ok Im coming soon...
Baada ya hapo ikabidi nimpange Mark kuwa S anakuja soon na mimi nataka nimalize mchezo leo leo. So please give me a space. Nikampiga exile ya kwenda kwa jamaa wengine.
Saa moja baadaye S alitinga getoni kawaka ile mbaya... Alipoingia tu room chumba kizima kilinukia. Alienda moja kwa moja kukaa kitandani maana humo ndani kulikuwa na meza na viti viwili.
Baada ya kukaa akaniuliza mbona umefuta namba yangu? Nikamjibu nilishakueleza mbona, kwa hiyo hicho ndicho kimekuleta hapa? Akasema of course ni hicho wewe unadhani ni jambo dogo?
Nikamwambia una si jambo dogo. Ila dogo kuliko uliloniambia ni behave or you will stay away from me. Muda wote tunaongea mimi nilikuwa nimekaa kwenye kiti nimetazama ulekeo mwingine. Akaja nyuma yangu na kuinama kisha akainua uso wake kwa mikono. Nilipata msisimko wa ajabu sana.
Nikamwambia S tafadhali unanipeleka mbali sana na hutoweza kunisaidia. Akauliza nini siwezi kukusaidia? Nikamwambia unajua kabisa the way I feel for you and you are aggrevating my passion.
Alichojibu Im here for you... do what can make you happy.
Nilimwambia S I really love you, but .... I can not do anything against your will. I know you are forced to do to please me. Nikainuka nikawa naelekea mlangoni ile nashika mlango nifungue akanishika mkono na kunigeuza, tukawa tumekaribia...tunatazama....
Itaendelee saa moja jioni....
Fala ww ahaaaa
 
Isingekuwa rahisi mkuu. Kumbuka yule wa kwanza nilipiga kamoja japo ka muda mrefu maana yeye alipiga viwili. Huyu wa pili nilipiga viwili, mida ya saa 10 nilipiga show ndefu. Tukapiga breki saa 11, tukarudia saa 12 na nusu kuelekea saa moja tukaja kumaliza saa 1 usiku. nikaagana naye kwa siku ile. Baada ya hapo meza ikapinduliwa rasmi
Duh
 
Kuna mshkaji alifunga safari kutoka Mwanza kufuata demu Moro waliekutana nae Facebook, kufika stand ***** picha za Facebook na demu alivyo tofauti, jamaa akapotea kiaina stand hata hawakukutana. Sababu jamaa wakati Gari imefika stand alikuwa anaongea na simu na demu akamwambia yupo chini karibu na mlango,jamaa kucheki akakuta kauziwa mbuzi kwenye gunia.
 
Hii nchi ngumu sana kuitawala hii , ona huyu nae sasa aisee nyie jamaa mna dhambi sana, yan kitendo kilichofanyika utasema ni murder case kumbe kila siku mambo kama haya yanatokea sema tu kwasababu unakua hujui ndio unaona kawaida, kama iringa kwenye michezo ya SHIMIWI wake za watu ni halali ya majamaa, tukileta visa apa mnaanza kuunganisha dot mnagombana bora tukaushe

Umegusa kwenye mshono mkuu, ile shimiwi acha kabisa.

Ngoja nione kama naweza anzishia uzi wake, ingawa mhhh kwa usalama acha tuishi nao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom