dah Mungu atusamehe wanaume

"Nikaomba tutafutiwe sehem poa isiyo na mwanga mkali na haina purukushani za watu ili niweze kaa na mrembo wangu basi tuka tafutiwa na tukaenda kutulia pale huku tukisubiri chakula"

Yani ghafla tu ukamsahau manzi yAko aliyekua anakuja kutoka mkoani baada tu ya kuonana na crush wako wa kitaa bro??
Ule manzi nisha mla sana
 
Kuna sisi wengine maisha yetu yote ni kama tunakula kimasikhara tu.

Ijumaa nimepanda mwendokas kuna dada mmoja anaonekana ni mchaga yule tumebanana kweli yani safar nzima m-boo inamgusa kweny hips yake uvumilivu ukamshinda si akapitisha mkono kiuoga akaanza kuigusa gusa na kidole mzigo ukasimama akaniangalia usoni tukakutanisha macho..
Kufupisha strori yule dada alishuka kimara mwisho nikashuka nae alikua anaelekea sehemu moja ndani ndani uko millenia kama sijasahau tukapanda boda moja nimeshuka nae nimemsindikiza hadi karibu na anapoish mbaya zaidi tulipita maeneo yana vichaka na vijilima kama sio Dar na ajali ikatokea nikala kimasikhara vichakani nakili kwamba niliuza mechi na wala siwazi magonjwa kwasababu akili yangu kwa 98% inanambia nimetomber jini na najua majini hayana ngoma wala gono na alikua mtamu sio kawaida nimemuachia namba yangu na wala hajanitafuta

Sio msimuliaji mzuri nimeacha vitu vingi ila tuombeane tu ndugu zangu katika masikhara
 
Hivi unawezaje kufanya mapenzi na malaya unajua kabisa keshatumika hata na wanaume 10 siku hiyo. Mm hata haisimami aisee.
Kwahyo demu wako huyo uliye naye au mke uliye muoa unajuaje kama haja tembea na wanaume zaidi ya 10. Ile mashine haisemi kama imechezea zote hizo. Ila most women ata kwambia 3 😁.
 
Kuna sisi wengine maisha yetu yote ni kama tunakula kimasikhara tu.

Ijumaa nimepanda mwendokas kuna dada mmoja anaonekana ni mchaga yule tumebanana kweli yani safar nzima m-boo inamgusa kweny hips yake uvumilivu ukamshinda si akapitisha mkono kiuoga akaanza kuigusa gusa na kidole mzigo ukasimama akaniangalia usoni tukakutanisha macho..
Kufupisha strori yule dada alishuka kimara mwisho nikashuka nae alikua anaelekea sehemu moja ndani ndani uko millenia kama sijasahau tukapanda boda moja nimeshuka nae nimemsindikiza hadi karibu na anapoish mbaya zaidi tulipita maeneo yana vichaka na vijilima kama sio Dar na ajali ikatokea nikala kimasikhara vichakani nakili kwamba niliuza mechi na wala siwazi magonjwa kwasababu akili yangu kwa 98% inanambia nimetomber jini na najua majini hayana ngoma wala gono na alikua mtamu sio kawaida nimemuachia namba yangu na wala hajanitafuta

Sio msimuliaji mzuri nimeacha vitu vingi ila tuombeane tu ndugu zangu katika masikhara
...na boda naye akala kwa masihara!!!
 
Wkend iliyopita , mjjni haoa kulikuwa na sherehe kubwa sana kwenye kiwanja cha Gymcana, idadi ya waliohudhulia ni takribani 800.
Kutokana na nature la eneo, wazamiaji wakawa wengi sana.
Zawadi zikaanza kutolewa kama kawaida, na kwa kuwa watu ni wengi, ikabidi kamati ianze kusimamisha watu maarufu ili wakale.
Mitungi ilikuwa ya kumwaga, kocteri sio ya nchi hii, walichanganya coktel utafikiri tupo Cuba.
Kufika saa saba, watu wakaanza kuondoka ingawa zawadi zikawa zinaendelea kutolewa.
Idad kubwa ya watu ikafanya wengi tuboreke pale, nami nikajiongeza, nikasepa zangu ingawa sina usafiri.
Nafika geti la juu kabisa, nakutana na staff ninae mfahamu lakini yeye ni wa ofisi ya jirani na ofisi yetu, yeye alikuwa na gari yake.Akawa anatoka sasa mlinz nae kalewa, bi dada nae kalewa, wanaelekezana bila kupata muafaka wowote, na kupelekea watu kusogelea eneo la tukio kwa kuhisi kagonga gari ya watu.
Kama kawaida, shilawadu nami nikajongea pale kwa tukio, ndio namuona yule dada.
Nikamuita jina P2, vipi boss wangu, kwa giza lile hakunitambua, na nikaona si vyema nimsaidie pale getini kutoka.Basi nikamuomba nimssidie gari kuitoa, ndio kudogea karibu akanitambua vizuri, ohhhh kumbe Miso, huyu mlinzi fala sana , akatujana weee pale na zile pombe basi tena.

Nikamsaidia kumtoa pale getini na huku yeye amekaa siti ya abilia, mim dereva mvur sana nyakati zote, basi nikamsogeza hadi mbele eneo ambalo anaweza akaendesha kwa amani, na huku magar tukiwa tumeacha upande wa pili wa njia, maana kuna njia kubwa mbili.

P2, pole sana, sasa hapa upo mahali salama waweza endesha gari yako.Bi dada akashuka na kukaa kwenye staring...anasema sikuwa nimelewa kiivyo but mlinzi kaniboa, na kule ndani kumeniboa.Safar ikaanza, kuelekea mjini sasa.
Miso unaishi wapi....Kivunde street
Gari yako iko wapi leo, maana anajua kama nina gari.......ipo home, sikutaka kutoka nayo kwa nature ya eneo la sherehe.Akasema ulifanya akili sana.
Haoooooooo, hadi maeneo ya home, kuna geti mchwala pale, basi nikasema P2, paki hapa nyumba ile pale.Akasogea hadi getini,
Nikamshukuru pale, akasema naweza kuja wash room, nikasema sawa karibu.
Akafunga gari, nikazama ndani na P2,
Hizi nyumba ni apartment za prof mmoja hivi, maarufu sana, basi tukaingia ndani....
Mim yangu ipo kwa mwisho hivi, basi tukavuka hadi kwangu, kufika nikafungua geti akazama sebren, basi akaingia washrooom
Kipindi anatoka ndipo nikaja kuona yaliyomo yamo.Nyieee, nyiee, hizi Hips zitaniua mim, toto anapaja zuri, lililowekwa kwenye kigauni utafikir amecholwa.
8 figure na rangi ya mtume, nikasema liwalo na liwe, nikamsogelea kumwambia pole
Nikasema liwalo na liwe, yupo kwangu humu,
Nikamshika mkono, yeye anashangaa tu, nikamkarisha kwa kochi, badi nikawa namsifia pale, mara nikaanza kumpapasa mapaja...akawa haelew kinachoendelea, akawa ananusukuma fukani hivi, mim naendelea na touch tu, nikamidi speed, akajilaza kwa sofa.
Nyonya sana mate, piga fingure za kutosha, kumbe nae kitambo alikuwa kalowa.
Tukaenda chumbani.....nikamaliza gemu safi kabisa kwa heshima kabisa, sijaawangusha wadau, zana ninazo na huwa siachi kutumia hasa kwa ugeni.
Nikamtoa getini, akawasha ndinga yake akasepa.
Nimeahidiwa kupewa mechi leo j2, ya marudio , kwa ufupi kanielewa na huwa sina show mbovu.
NB
Nasubil sms yake tu kunipa timetable yake.
Kma sio makongo juu basi changanyikeni hii!
 
Kuna sisi wengine maisha yetu yote ni kama tunakula kimasikhara tu.

Ijumaa nimepanda mwendokas kuna dada mmoja anaonekana ni mchaga yule tumebanana kweli yani safar nzima m-boo inamgusa kweny hips yake uvumilivu ukamshinda si akapitisha mkono kiuoga akaanza kuigusa gusa na kidole mzigo ukasimama akaniangalia usoni tukakutanisha macho..
Kufupisha strori yule dada alishuka kimara mwisho nikashuka nae alikua anaelekea sehemu moja ndani ndani uko millenia kama sijasahau tukapanda boda moja nimeshuka nae nimemsindikiza hadi karibu na anapoish mbaya zaidi tulipita maeneo yana vichaka na vijilima kama sio Dar na ajali ikatokea nikala kimasikhara vichakani nakili kwamba niliuza mechi na wala siwazi magonjwa kwasababu akili yangu kwa 98% inanambia nimetomber jini na najua majini hayana ngoma wala gono na alikua mtamu sio kawaida nimemuachia namba yangu na wala hajanitafuta

Sio msimuliaji mzuri nimeacha vitu vingi ila tuombeane tu ndugu zangu katika masikhara

Sasa nmeamini ukimwi hautaisha afrika nchi Kama lesotho umewamaliza sababu ya kutojielewa
Kikubwa tujitahidi kujielewa na tupime afya Mara kwa Mara
 
KIKAO CHA WANAUME.

Kikao cha wanaume kimeisha salama jana.

Kwa wale ambao hamkuweza kuhudhuria, kamati ya pesa na mahitaji tulitoa mapendekezo mapya.

Marejeo ya sheria ya kutohonga, kifungu cha 12, kilichokuwa kikisema hairuhusiwi kumpa hela mwanamke ambaye hujamuoa wala hujazaa nae.

Labda kwa shida maalum kama vocha ambayo anakupigia nayo mwenyewe..

Tumependekeza maboresho kadhaa..

Suala la kukutana ni la wote sio upande mmoja, hivyo kama mwanamke atataka kuonana na wewe, hana budi kutumia nauli yake kukufata..

Wakati wa kuondoka unaweza kumpa hela, lakini SIO LAZIMA.

Kikaoni pia tulizungumza kuhusu hela ya kutolea, na muafaka ukawa..

Kama wanataka hela ya kutolea basi waje nyumbani kuifata hela kamili, Tusiwanufaishe maboss wa Tigopesa na M-pesa tusiowajua.

Wale mabingwa wa jibu la "Kuna hela naisikilizia" wameongezwa katika kamati ya wajumbe waweka adhina..

Kila pesa ya chama chetu, itatunzwa na ubahiri wao,.

Adhabu kali itatolewa kwa wanaume wote ambao, walipotongoza na kukataliwa, wakaendelea kuwa na urafiki na mademu hao..

Kama amekukataa, futa namba na aache mazoea..

Sheria ya makosa yasiyosameheka, uhaini na jinai, yametanabaisha yafuatayo.

Kujibu kistaarabu text ya mwanamke anayekutafuta akiwa na shida pekee..

Kutomuazima mwenzio chumba, pale anapotaka kuleta manzi yake..

Kumkandia/ kumuaibisha mwanaume mwenzio, hili upendwe wewe..

Kulalamika, kulialia na kutia huruma inbox pale unapotumiwa text ya kuachwa.

Kumpokea kwa bashasha demu asiyefanana na snapchat yake,

Mwanamke ambaye kwenye edit za picha ni Rihanna, alafu live ni Josh Onyango, inasharutishwa aachwe stand ya daladala..

Upande wa pili..

Wale wadada ambao huwa wanatuambia wapo njiani wanakuja, hivyo kusabababisha sisi tufanye usafi wa kiwango kikubwa..

Na mwisho wa siku hawatokei, imependekezwa tuwaache mara moja bila kujali urembo wao..

Mjumbe aliyekumbwa na hali hii zaidi ya mara 1 aliuliza kwa jazba, "Kama hawawezi kuja gheto, kwenye harusi atakuja kweli?"

Mengineyo, tumefikia muafaka kuwa kama uwanja ni mkubwa basi Sharti ni kuzunguka round moja tu..

Yaliyoorodheshwa yafanyiwe kazi, Majukumu mema wanaume wenzangu.
Mimi ni nani hata niipite hii Katiba bila kutia Neno?
 
Kuna sisi wengine maisha yetu yote ni kama tunakula kimasikhara tu.

Ijumaa nimepanda mwendokas kuna dada mmoja anaonekana ni mchaga yule tumebanana kweli yani safar nzima m-boo inamgusa kweny hips yake uvumilivu ukamshinda si akapitisha mkono kiuoga akaanza kuigusa gusa na kidole mzigo ukasimama akaniangalia usoni tukakutanisha macho..
Kufupisha strori yule dada alishuka kimara mwisho nikashuka nae alikua anaelekea sehemu moja ndani ndani uko millenia kama sijasahau tukapanda boda moja nimeshuka nae nimemsindikiza hadi karibu na anapoish mbaya zaidi tulipita maeneo yana vichaka na vijilima kama sio Dar na ajali ikatokea nikala kimasikhara vichakani nakili kwamba niliuza mechi na wala siwazi magonjwa kwasababu akili yangu kwa 98% inanambia nimetomber jini na najua majini hayana ngoma wala gono na alikua mtamu sio kawaida nimemuachia namba yangu na wala hajanitafuta

Sio msimuliaji mzuri nimeacha vitu vingi ila tuombeane tu ndugu zangu katika masikhara

Milenia huko km unaelekea chuo cha afya cha PARADIGMS napaelewa kweli kuna vijichaka kiaina vya kutafunana kimasihara
 
Kuna sisi wengine maisha yetu yote ni kama tunakula kimasikhara tu.

Ijumaa nimepanda mwendokas kuna dada mmoja anaonekana ni mchaga yule tumebanana kweli yani safar nzima m-boo inamgusa kweny hips yake uvumilivu ukamshinda si akapitisha mkono kiuoga akaanza kuigusa gusa na kidole mzigo ukasimama akaniangalia usoni tukakutanisha macho..
Kufupisha strori yule dada alishuka kimara mwisho nikashuka nae alikua anaelekea sehemu moja ndani ndani uko millenia kama sijasahau tukapanda boda moja nimeshuka nae nimemsindikiza hadi karibu na anapoish mbaya zaidi tulipita maeneo yana vichaka na vijilima kama sio Dar na ajali ikatokea nikala kimasikhara vichakani nakili kwamba niliuza mechi na wala siwazi magonjwa kwasababu akili yangu kwa 98% inanambia nimetomber jini na najua majini hayana ngoma wala gono na alikua mtamu sio kawaida nimemuachia namba yangu na wala hajanitafuta

Sio msimuliaji mzuri nimeacha vitu vingi ila tuombeane tu ndugu zangu katika masikhara
Yani hii hata hujahangaika kuandaa chai umetupa tangawizi tupu mkuu😁 mhh mhhh mhhh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom