Kuna hii niliwahi kwenda kwa demu kuzagamuana siku ya kwanza, nikaishia kula na bonus shosti yake.
Tulifahamiana kwenye usafiri wa umma. tukapiga story mbili tatu. mwishoni kumbe tunashukia kituo kimoja. Nikaomba namba nikapewa. Tukawasiliana hapa na pale show ikapangiwa siku. Yeye amepanga na ni single mother. Wakati nampanga nikamwambie twende lodge. akakataa, akasema hiyo hela ya lodge bora nimwongezee alaf niende kwake pako safe. akanihakikishia hana mtu maana baba wa yule mtoto aliye naye hayupo Tanzania. Alifahamiana naye kipindi huyo baba alikuja kufanya kazi Tanzania ndo ikatokea akapata mimba so baba muda wake umeisha amesharudi kwao.

Nikajilipua nikaenda mida ya asubuhi. Ile nafika aliponielekeza naona wadada watano hivi wako wanapiga story, wawili wanasukana. Basi mara kile kikao kikavunjika. Mhusika akanyanyuka na mwenzake mmoja wakaja kunipokea. mwingine akasepa. wakabaki wale waiokuwa wanasukana,. Basi nikaongozana na hawa wawili hadi rum, kumbe yule mwingine ni jirani na milango yao inatazamana, katikat hapo ni corridor nyembamba sana. Nilikuwa nimebeba matunda kwenye kimfuko mkononi na kibegi changu kidogo begani. so mmoja kapokea mfuko mwingine kibegi. Kufika, basi yale matunda wakayachukua wakaanza kugawana pale. Huyu jirani nikaona kama mwenyeji tuu, uchangamfu 100%. Kumwangalia vizuri jirani ni pisi kali hatari kuliko hata mwenyeji. alafu amejivalia kanga tu hapo anajipitisha pitisha. Mambo ya matunda yalipoisha jirani akasepa zake kwake. sisi tukaendelea. Show ikabamba sana. Round ya kwanza mtoto alikojoa wakati mm bado kabisa, nilitumia mbinu zote kuhakikisha nisikojoe haraka, sasa yeye alifika kilele akapiga kelele, akanikamata kwa nguvu ikawakama vurumai anahema kwa nguvu baadaye akajibwaga puuuuh. huku jasho likimtoka. Baada ya muda akanyanyuka alinipiga busu tamu sana nikamwambia rudi hapa unaenda wapi mm bado, akashangaa. Kabla hatujaendelea akasema tukage maana tumesweat sana. Tukaenda tulivyorudi shughuli ikaendelea, round yake ya pili ikawa ndo yangu ya kwanza. sema nikajitahidi kwenda na spidi yake this time tukaja kumaliza pamoja sasa kwa purukushani zile na mm stim ikawa imeshapanda utamu ulikolea hatari tulikamatana vurumai hizo kitanda hakikutosha mtoto alipiga kelele na mm hata sielewi nilifanyaje tukajikuta tumepiga teke kuna ndoo zilikuwa karibu na kitanda na juu yake kulikuwa na vyombo vikaparanganyika makelele hadi nje. Kumbe jirani alikuwa anatusikilizia tuu.

Baada ya pale tukapumzika kabisa. Akasema njaa inamuuma kama vp tupike ila hana mboga. Nikasema kama zipo karibu kalete tupike nikampa hela. Alipotoka kwenda dukani si akamuaga jirani. Alivyopotelea tu jirani kaja ananichangamkia nikimwangalia uso kwa saikolojia yangu niliona kabisa kuna kitu anataka ila anaogopa kusema. Nikamuwahi kumuomba namba eti shemeji. Akaniandikia namba alafu akarudi zake kwake. nikambip. baada ya muda mwenyeji karudi akaandaa msosi ambao tulikula wote na yulle shemeji jirani. Kipindi mwenyeji anaandaa msosi kumbe nilikuwa nachat na shemeji jirani bila mwenyeji kujua, nikichombeza anaitika, akawa ananisifia kuna mda ananiambia baba taratibu basi usije ukamwua jirani yangu. Kila nikimchombeza naona anaitika, akili ikahamia kwake kabisa.

Baada ya kujiridhisha pasi na shaka kuwa abdalla kichwa wazi akili imehamia kwa jirani (ukizingatia ni pisi kali kuliko mwenyeji), baada ya msosi nikafanya drama flani ionekane nimepigiwa simu ya dharura ili nisepe pale, na kweli nilifanikiwa. nilipotoka tukaendelea na chat hapa na pale. Nikafika sehemu nikatafuta pa kupata kinywaji, nikapumzika. Nikawa namwambia shem nimepumzika sehem x, napata kinywaji kidogo. akasema kama vipi aje anijoin tupige story kidogo, nikasema poa. kabla hajaja nikatafuta sehem wanapouzazile juice za booster. alipofika akaagiza kinywaji, baadaye chipsi, nikamwambia vp sasa unaniachaje?akasema anatamani nimuonjeshe hicho kipigo nilichomfanyia jirani yake. Basi nikalipia msosi na vinywaji, nikatafuta msaada wa mhudumu kupata room nikajipigia show hadi usiku. Aisee nilikuja kujuta kwa nini nilianza na yule wa kwanza maana huyu wa pili alinifanyia mambo ya Tanga almanusura nisahau kurudi kwetu.
Daaah me mbish ila we ni kamanda aisee mpaka mpini umesimama….
 
Sasa wengnne usipowashobokea mpm ukiremba utajikuta ushachelewa

"Ukisubir embe liive, wenzio twala na chumvi"
Uko sahihi kaka lakini ujue ni approach ipi inawork best.

Ukianza vishobo shobo ndio anaanza na mizinga hapohapo sianajua unachotaka.
Ni sawa na machinga akikufata mwenyewe bei asilimia kubwa unaweza mshusha, ila ukimfata hata akikupiga ni sawa sababu umeonesha shida
 
Uko sahihi kaka lakini ujue ni approach ipi inawork best.

Ukianza vishobo shobo ndio anaanza na mizinga hapohapo sianajua unachotaka.
Ni sawa na machinga akikufata mwenyewe bei asilimia kubwa unaweza mshusha, ila ukimfata hata akikupiga ni sawa sababu umeonesha shida
Nakubali mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom