Bora hata ww.....
mm nikiingia choni tu bahati mbaya akapiga missed call moja tu.....
atanuna wiki tatu
Si mchezo. Ila dawa yake niliishi kama yeye sms za kusema aendelee na umalaya nikikuta simu inatumika nawaka vibaya. Amenyooka kiasi chake siyo kabla sijapiga hilo igizo.
 
Mkuu tumekula kimasikhara mpaka wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama ila hatusemi kwa sababu za kiusalama, kula sana wayahudi, masadukayo, waebrania, tanapa, mabaharia wa kike, wamasai na kila kiumbe chenye pumzi na jinsia ya kike ila tunaogopa kusema hadharani kwa sababu tutaonekana tuna elements za abnomalities
Toka hapa uongo tyuuh, ki masikhara mnawaokota hawa wa vyuoni.
 
Nimeishia hapo alipoandika "Ni stori ndef ila ntajaribu kuifupisha kadri ya uwezo wangu"

Dia babu Asprin naomba summary
Dia mjukuu Joanah...

Tuamkuane kwanza... Heri ya mwaka mpya mjukuu mpenzi....

Kuhusu hili la samare, hakika nimesahau mawani yangu hata sijajua heading yanahusu nini? Au ni ugomvi wa baba na barakoa?
 
Mi kuna mchepuko unataka kulingana kama huo wa kwako... Wa kwangu mimi ulikua hautaki hata nimtaje mke wangu. Yaani kwamfano wife akipiga sim tu kosa nisipokee kisa tupo wote. Nikaona huu ni uzwazwa nikamchana live.
 
Kisa kizuri kujifunza kwa vijana wanaotaka kuingia kwenye mahusiano na ndoa.

Huyo mkeo ni mvumilivu and good enough anakupenda Sana.

Ndoa imekuwa ngumu kupatikana kwa wanawake wengi, kwahiyo the best solution waliyonayo ni kuvuruga ndoa ili wao waingie.
Wanasahau ndoa za Kanisani ni hadi Kifo kiwatenganishe..

Wanaume wengi wana hulka na tabia za Jogoo hata kama watapinga hapa. Kuliko kutesa familia Kama hivyo bora kupiga one night stands na kupotea, Ila mambo ya kujenga kibanda kama hivyo unahitaji kufanya upekuzi wa kina kwa mwanamke husika kuangalia kama ataweza kuvumilia na kutunza siri kabla hujaamua kijiwekeza.

Kwa uzoefu wangu, huyo mkeo usidhani amekusamehe, hilo suala lako atalitumia kukuadhibu mara zote utakazo mkosea kwa kuwa hatalisahau mpaka anakufa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom