Halafu alipofika nyumbani akaja muomba wife simu akakuta msg za za mchepuko amefuta na namba amefuta akaanza then uzuri namba yake nilikua naikumbukakumbuka mhmhmhhh kuna sehemu katunywesha chai ya malimao
Hamna Chai hapa.

Mi utaratibu wangu huwa sisevu NAMBA za michepuko kwny simu kabisa.

Huwa nazishika kichwani moja kwa moja, nikimhitaji nampigia

Ata ikitokea kaikuta kwny call list hawez hisi chochote maana simu zangu za kazi huwa wanapiga watu wengi tofauti tofauti.

Changamoto Ni sms, zikikutwa happy Cha kujitetea hamna.

maana zimetumwa na wewe umejibu.

Hapo kuchenga hamna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mindset tu hiyo usiwe mtumwa wa fikra hizo, mbona wanaume wengine tumeweza mzee kuishi bila kuchepuka, jambo lilote huanzia kichwani na ndiyo mwili anajibu mashambulizi, badilisha fikra hizo
Mshukuru mungu kwa hilo, mi nilishajaribu nimeshindwa kabisa.

Labda kipind nikiwa Sina hela.

Ila iyo ndio starehe yangu zaidi, napenda Sana kujaribu vitu vipya vipya Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehe huyo siyo my wangu. Nipo juu ya bati narekebisha antena nashuka nakuta missed calls zake 12 na meseji ya kuniambia niendelee na umalaya wangu.

Yaani angekua my wangu lile tukio la kwanza tu ugomvi unakua wa miezi 8 hiyo chansi ya ugomvi wa pili inabidi ije mwakani.
Bora hata ww.....
mm nikiingia choni tu bahati mbaya akapiga missed call moja tu.....
atanuna wiki tatu
 
Mengi nimefupisha,
Uyu uyu mchepuko nliemzaba makofi Kuna kipind aliwahi fua nguo nlizokuja nimevaa ili nisirudi home.

Anadai
"Nmeziona chafu nmeona nizisafishe"

Nkamuuliza,
"Kwaiyo umezifua unategemea ntavaa Nini sasa nkitoka hapa"

Akajibu
"Ooh, kwani unaondoka? Mi nkajua Leo unalala uku mpk kesho!"

Nkamuuliza,
"Kwani nlikwambia leo nalala uku? ,
Kwani ujui natakiwa kurud home kwa wife. Narudije sasa, uchi au?"

Nkaona ananiletea usiku TU uyu, analazimisha nilale kwake.

Fasta nkampigia wife
"Chukua ovaroli,gloves, praizi mbili, kata moja, Lile jinzi gumu gumu na TISHETI YA KAZI. Kuna dili moja nimepata mida hii mpe boda boda aniletee hapa kazini chap"

Boda alipofika kazin ananipigia hanioni, nkamuelekeza ampe mshkaji wangu nishamseti tayari aniletee chap kule kwa mchepuko.

Nkatoka kwa mchepuko, nkaenda zangu kwa rafki angu.

Kufika kwa rafk angu, nkampigia wife msosi muesabu na shemej ako kabisa maana tutarudi mida mibaya na migahawa washafunga. So unajua shemej ako uyu Ni bachela. Msitili kwa leo.

Wife kakubali.

Tumezuga zuga mpk mida ya saa 8 usiku, tukajipaka vumbi kias na top kwny viatu tukaelekea home kana kwamba tumetoka saiti.

NIKAJINASUA KWNY MSALA, MAMBO YAKAENDA VIZUR

Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha ya kuigiza igiza Hadi lini?...
 
Mie nashauri kila akikusogelea uendelee kumzaba vibao huyo mchepuko hadi akusahau....aacha kufananisha ndoa na vitu vya kijinga.... hahaha
 
Tabu zoote hizo za nini..

Halafu sisi wanaume tunajificha kwenye kichaka cha HULKA
Matamanio tumeumbiwa, ni mtihani kwetu sisi, hiyo inabidi tuyashinde hayo matamanio tuwe wenye kufaulu, na sio kuendekeza na kuwa ni wenye kufaulu.

Tizama chief, vipi kama mkeo angekuwa na akili fupi akajidhuru(kujiua) tayar kina G ungewapa majanga mengine.
Vipi kama angekufa kwa ile presha, bila kujua km mchepuko kasababisha, kwa akili za nyege inawezekana na huo mchepuko ndio angekuwa mke anaefata kumrithi marehemu, sasa jenga picha una kichwa maji kama huyo ndio mkeo, familia unaitengemeza ama unaizamisha
Umeongea point Sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom