Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Nilikuwa sehemu nimekaa wikend moja sasa nikajisemea tu kwene simu jamaangu mwongo mwongo nimemsev mikito mikito simu ilivyoita nikapokea nikasema mambo vipi mikito mikito jamaa pembeni alicheka npaka machozi , kwan yupo wapi mikito mikito daaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui yuko wapi mweeeh.
 
Hivi hakuna za bj za kimasihara ee...
Siku wakianzisha bj za kimasihara mnitagi nije kutoa ushuhuda

Sio mimi huyu..zilisikika balimi zikizungumza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakumbuka 2015 na rafiki yangu tulikuwa tunaelekea Tanga. Ubungo kabla ya kupanda basi kuna mdada tulikutana nae, simu yake ilikuwa inasumbua kwenye whatsapp, akaomba nimrekebishie, then kumbe bando lilimwishia hivyo nikaunga hotspot kwangu.

Muda wa kupanda basi nikakaa nae siti moja. Dah! mdada alikuwa kanona balaa, stori zilinoga mpaka sometimes nikawa namshika mipaja yake iliyojaa jaa kama kuku broiler, mara nasogeza mkono maeneo ya kati moyoni nikisema "Nyama nisiile basi hata mchuzi nisinywe?" dah! Nakumbuka sehemu za chakula na vitafunwa tulikuwa tunashuka na kununua, hadi watu wakawa wanadhani sisi ni wapenzi.

Alinipa contact bila shida na alishukia majani mapana, nami nilikwenda kushuka town na kuchukua chumba, siku ya pili nilionana nae town, nikamwambia situation niliyokuwa nayo jana yake!! Alinilaumu sana kwanini sikumwambia, muda huo ndio nilikuwa napanga kurudi Dar!! Akaniambia amekwenda kwenye harusi ya mdogo wake! Akirudi Dar atanitafuta!! Namba yake nimepiga block!!

Onyo
Tunapenda kula kimasihara lakini muda mwingine ukikikosa kimasihara achana nacho , huwezi jua Mungu amekuepusha na kitu gani.
Wewe ndio Mzembe wa kwanza kukuona kwenye huu uzi.
 
Back
Top Bottom