Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Waambie boys wa shule ni zamu zamu ahahahaha wao pia wakipata michongo inakuwa zamu yao hata me wakati nasoma chuo kuna pisi moja nlikuwa naipiga na ilikuwa na bwana mkurugenz tbl nlivumilia tu kibaharia sababu aliniambia wakati namtongoza...anapanda gari anaenda kupigwa kipara namwangalia tu
Ndio maisha katika maisha ya ukuaji usipopitia hii stage ndio imekula kwako hiyo

Utakuwa bwege kinoma yaani katika mapenzi
 
Usikute ata ivyo vigezo vywa kuliwa kimasihala una .!!

Ukute Sura ya Baba miguu ya mjomba
Hahahaa
images%20(70).jpg
 
Kuna binti nilikuwa nachat nae tangu 2012 bila kumgusia kuhusu habari za mapenzi wala kumtaka. Nakumbuka mwaka 2019, ilikuwa Februari 27, TRA mkoa wa Morogoro walinitumia msg kuwa leseni yangu iko tayari hivyo natakiwa kwenda kuifata, hivyo siku hiyo jioni wakati nachat na huyo binti nikamgusia kuhusu safari yangu tarehe 28, yaani kumshirikisha tu alinambia kuwa aliwahi kusoma Morogoro hivyo amepamiss sana, nikamwambia vipi kama tutaenda wote yuko tayari, hapo ikawa kama nimewasha moto binti alifurahi na alinambia anaomba pakuche haraka ili twende wote, nikamwitikia kwa moyo mmoja, huku mawazo yangu yakiwa juu yake kuwa sidhani kama atachomoka nikimgusia kuhusu mapenzi. Basi siku ya tarehe 28 Februari asubuhi mapema sana nikampigia simu tukutane Ubungo, mwanzoni nilihisi kama ananitania (yale matani yetu ya kawaida ya siku zote) na akaniambia nimsubiri kweli, aisee kufika saa 4 na nusu binti huyo! Amekuja kweli. Moyoni nikajisemea "Hivi huyu binti ananijaribu au?". Ok basi nikakata tiketi za basi la Abood (ya kwangu na yake) wakati tukiendelea kusubiri kupanda kwenye basi nikanunua baadhi ya vitafunwa na sharubati za kushushia na kumkabidhi yeye. IIipofika saa 6 tukapanda kwenye basi mi nikiwa nimebeba begi yangu ya mgongoni ndani ikiwa na nguo za kubadili na yeye akanipa kipochi chake nikakiweka ndani ya begi langu (lengo la safari ilikuwa ni kwenda na kurudi siku hiyo hiyo). Safari ikaanza, bahati mbaya siku hiyo foleni za barabarani zilizidi sana na hivyo tulifika Morogoro kwenye saa 11 na nusu jioni. Daah! Bahati haikuwa yangu nilipofika kwenye ofisi za TRA tulikuta wameshafunga ila mlinzi aliyekuwepo hapo aliniambia kuwa nirejee kesho yake. Basi nikamuelezea yule binti hali ilivyo na nikamwambia kama vipi nimpatie nauli na hela za matumizi ya njiani ili arudi zake Dar, binti akasema hana haraka hiyo. Sikuwa na lengo la kumgonga na nilikuwa nafanya hivyo ili kujitoa. Baada ya kusema hivyo nikamwambia basi sawa, tukatoka zetu hadi Coco beach sehemu maarufu tu na kupata msosi wa moto kwanza na kushushia na sharubati, ye alipenda sana ya parachichi wakati mi nikanywa ya tende. Kutoka hapo ikiwa tayari ilishatimu saa 1 na dakika 25 nikaona ni bora nimchukulie chumba ili apumzike then kesho yake turejee Dar wakati huo namchukulia chumba nikaona vizuri pia nipite dukani nimletee mswaki, dawa ya meno na sabuni. Baada ya kumfikishia hivyo vitu binti akasema sio mbaya kama ataoga kabisa, mi nikaona bora nitoke nje nizunguke zunguke usiku kucha ili asubuhi nirudi alipo tuendelee na safari yetu. Kabla sijatoka binti akaniambia nimsubiri aoge, akaoga pamoja na kufua nguo zake zandani kabisa alipomaliza akanitaka nami nioge huku yeye akaingia kitandani, nilipomaliza kuoga hiyo ikiwa saa 2 na dakika kadhaa, wakati navaa nguo nilifikiria sana (Hela niliyotoa kulipia chumba 25,000 kina sofa na fridge then nikaliwe na baridi nje!) Nikasema La hasha! Hii hapana nitaonekana boya! Moyoni nikajisemea My time is now
Nikamfata kitandani nikamuuliza kwani unaniogopa! Binti akasema No! Nikamuuliza tena kwani nikilala hapa kwenye sofa kuna tatizo? Akajibu No! Kidume nikasema ngoja tu nilale kwenye sofa! Baada ya dakika chache nikahisi kama sofa linaboa nikamfata tena kitandani nikamuuliza kwani nikilala hapa kitandani kuna tatizo? Akajibu No ila tusigusane, Moyoni nikajisemea ok. Nikalala kitandani bila kumgusa! Ila shetani ana nguvu sana Kufika saa 3 tatu usiku nikajikuta napapasa mapaja yaliyonona mara mkono kiunoni mara kifuani mara napima oil mara naminya chuchu, zilizojaa jaa kama vile embe kutoka Mtwara, mara binti akaniuliza ndio unafanya nini sasa wakati nilikwambia usiniguse? Bila kujibu nilimrukia mdomoni makiss ya kumwaga huku nayeye akitoa ushirikiano Nikasema imekwisha hiyo Nakumbuka nilimpa vitatu usiku ule vitatu asubuhi ya siku ya pili kama dozi ya dawa hadi narudisha chumba nilisahau kilichonipeleka Morogoro kwa utamu wa Papuchi yake, alikuwa na papuchi flani hivi amaizing (Pink pussy) niliinyonya sana!! Tangu siku hiyo tumekuwa kama wapenzi nikimtaka just a call huyo amefika ma.ma.e
Lazima utakuwa unavuta fegi careem sio bite

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nilikosa tunda kifala sana ila acha nielezee hivohivo hata kama nilikosa...

Siku moja nimelala geto kwenye chumba cha kupanga nikaona text kwa namba ngeni "mambo" baada ya kujibu akajitambulisha jina, nikamjua 'mtoto wa mwenye nyumba' {amezalishwa mtoto mmoja ila hajaolewa} akasema ile pia ni namba yake....baada ya salam akaniambia anaumwa, kumuuliza vizuri akasema anaumwa nye**Genikashtuka, Nikajikuta siamini kabisa kama ni yeye maana hatujawahi kuwa na stori za hivo... nikajifanya kuuliza, kwani imekuwaje hadi uumwe hivo? Akajibu "ina maana we hujui imekuwaje!" Nikamwambia aje chumbani kwangu akasema niende mimi, hapo machale yakanicheza nikawaza kwamba inawezekana akawa ni mamaake amenijaribu kuona nipoje na mwanae...kila nikiwaza kwenda moyo unasita, nikamwambia asimame mlangoni nimuone ndo niende, akafanya hivo..kuchungulia nikamuona mtoto amewaka na kigauni laini cheupe amesimama mlangoni mzee nikazama chumbani kwake, nilipofika tukaanza fasta kama tumezoeana vile tukalana mate sana, mtoto ndani hajavaa kitu, mali ipo nje nje....kitanda kikawa kinapiga kelele ikabidi tuhamie chini, baada ya maandalizi ya kutosha akawa ameiva tayari kwa mechi nikamwambia asubiri kidogo niingie chumbani kwangu nichukue kondom ghafla akainuka akatoka na simu yake kuelekea chooni akasema nimsubiri (choo kipo ndani) akiwa chooni akanitumia sms kwamba nitoke chumbani kwake atanifata kwangu nikakubali, baada ya hapo hakuja na kila nilipomtumia sms hakujibu....kesho yake nikamsimulia mshikaji wangu kisa kizima akanilaumu sana na kusema nilikosea kumwambia habari za kondom, ni kwamba mademu wa huku zenji wamefundishwa kwenye maadili yao kwamba wasitumie condom ni dhambi, tangu siku hiyo kila nikimgusia kumgegeda hataki kabisaaaa...
Daaaah!aiseee! Umenikera Sana!
 
Haaaa tupe na ww story ya kulika au kula mtu kimasihala maana mm huwa nabaka
yeeeah kubaka ndo masikhara OG, sio eti mnachat khaaaah, ila chunga jail inakuita, mie sijawah kufanya chchte n mtakatifu mie
 
Nikiwa mwaka wangu wa kwanza chuoni kabla sijazoea mazingira ya chuo vizuri nilikuwa muoga sana wa kutongoza mademu wa pale chuoni nikiamini kuwa wanapiga virungu sana ukizingatia mkopo wangu ulichelewa japo baadae nilifanikiwa kupata.
Nikawa nikiona demu mkali ambae ni type yangu yani hatakama nina uhakika nikiingiza voko hakatai, pia nikawa navunga.

Sasa siku moja natoka zangu chuo baada ya kumaliza vipindi mishale ya jioni hivi, nakumbuka ilikuwa ijumaa nikamcheki mdau wangu ambae alikuwa na gari ya mzee wake (#tag_ubavu) aina ya RAV4 aje kunipitia kutokana na usafiri kuwa wa shida mida hiyo.
Nikampanga wapi pa kunikuta, nikawapita watu waliopo kituoni wakisubiri usafiri.

Sasa kuna demu mmoja pale kituoni ambae tuliwahi kuonana mara kadhaa kwenye viunga wa chuo, actually hatukuwahi hata kusalimiana kutokana na ile principle yangu niliyojiwekea ya kukaa mbali na mademu wakali.. Demu ni mkali halafu anapendeza kinooma !

Aliponiona naanza mdogo mdogo ikabidi ajilete na kujumuika nami.
Aliponifikia tukasalimiana na kuongea mambo mengi tu, kiukweli sikutegemea, demu ni mkali halafu ana moyo mlaini sana. Nilihisi kabisa nikitupa mshale wangu kwenye mtima wake haki sikosi!

Nikampanga situation ilivyokuwa kuwa mshkaji wangu atanipitia na usafiri kwa hiyo usiwe na wasi, tutakufikisha hadi mtaani kwenu. Mida si mida gari ikafika tukapanda, mule ndani kulikuwa mdau mwengine ambae alikaa mbele na dereva. Ikabidi mimi nistay nyuma na mrembo.
Ikawa wale wa mbele wanapiga story za kabumbu, mimi ikabidi siku hiyo nipotezee story za mpira japokuwa zikiwekwa mada hizo na wadau ni lazima tuweke ubishani!

Basi mi nikaendelea kupiga mastory na mchumba mwisho wa siku nikachukua namba. Tukamshusha karibu na kwao.
Usiku tukachat sana.. Siku ikaisha kama hivyo!

Kesho yake ikawa ni jumamosi, asubuhi asubuhi mida ya saa 1 naamshwa na vibration ya simu. Ni yule demu anapiga. Napokea anasema:

"Hey mambo, unaweza kuja kunichukua leo nyumbani? Twende any place tukaenjoy weekend"

Daah! Nilipata kigugumizi cha hatari, sema mwisho nikakubali.

Akili yangu yote ikawa inawaza namna nitakavyoteketeza pesa kwa ajili ya demu ambae sio wa kuliwa leo wala kesho.. Ukaja kichwani ule msemo wa waswahili kuwa "Hasara roho, pesa makaratasi". Nikasema potelea pote!

Nikajisemea mwenyewe nisiende kinyonge, ukizingatia status ya mchumba mwenyewe ni mtu wa kupendeza na hii wikiendi ndio atakamia zaidi.
Nikamcheki yule mchizi wangu anipatie usafiri nina mtoko na yule demu wa jana. Bahati nzuri siku hiyo mchizi wangu hakupinga, sema alitaka tu ikirudi iwe na mafuta. Haikuwa kesi kwangu kwa wakati huo.

Nikampitia demu maeneo ya jana tulipomuacha, nikamchukua moja kwa moja mpaka maeneo ya Micasa.
Fika pale weka mezani misosi ya nguvu, siku hiyo pochi ilipasuka kwa kweli sema sikujali.

Story zikawa zinaendelea. This time yule demu alikuwa clear mno maana alishaona kauzembe fulani hivi naendelea kukafanya.
Akataka tutafute sehemu uliyotulia apumzike maana amechoshwa na safari.
Hapo ndio ikaja sasa akili ya kujiongeza. Nikawauliza wahudumu pale mahali ninapoweza kupata lodge moja safi iliyotulia. Nikaelekezwa na kufika maeneo.
Nikafanya malipo kisha tukachoma ndani.

Kilichofuata huko nadhani kila mtu anaelewa. Nikaweka kamba zangu 2 kiboosi, nikatoka mwepesiii..

KAMA MASIHALA HIVI EEH?!
 
Back
Top Bottom