Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,631
- 6,494
Nikiwa mwaka wangu wa kwanza chuoni kabla sijazoea mazingira ya chuo vizuri nilikuwa muoga sana wa kutongoza mademu wa pale chuoni nikiamini kuwa wanapiga virungu sana ukizingatia mkopo wangu ulichelewa japo baadae nilifanikiwa kupata.
Nikawa nikiona demu mkali ambae ni type yangu yani hatakama nina uhakika nikiingiza voko hakatai, pia nikawa navunga.
Sasa siku moja natoka zangu chuo baada ya kumaliza vipindi mishale ya jioni hivi, nakumbuka ilikuwa ijumaa nikamcheki mdau wangu ambae alikuwa na gari ya mzee wake (#tag_ubavu) aina ya RAV4 aje kunipitia kutokana na usafiri kuwa wa shida mida hiyo.
Nikampanga wapi pa kunikuta, nikawapita watu waliopo kituoni wakisubiri usafiri.
Sasa kuna demu mmoja pale kituoni ambae tuliwahi kuonana mara kadhaa kwenye viunga wa chuo, actually hatukuwahi hata kusalimiana kutokana na ile principle yangu niliyojiwekea ya kukaa mbali na mademu wakali.. Demu ni mkali halafu anapendeza kinooma !
Aliponiona naanza mdogo mdogo ikabidi ajilete na kujumuika nami.
Aliponifikia tukasalimiana na kuongea mambo mengi tu, kiukweli sikutegemea, demu ni mkali halafu ana moyo mlaini sana. Nilihisi kabisa nikitupa mshale wangu kwenye mtima wake haki sikosi!
Nikampanga situation ilivyokuwa kuwa mshkaji wangu atanipitia na usafiri kwa hiyo usiwe na wasi, tutakufikisha hadi mtaani kwenu. Mida si mida gari ikafika tukapanda, mule ndani kulikuwa mdau mwengine ambae alikaa mbele na dereva. Ikabidi mimi nistay nyuma na mrembo.
Ikawa wale wa mbele wanapiga story za kabumbu, mimi ikabidi siku hiyo nipotezee story za mpira japokuwa zikiwekwa mada hizo na wadau ni lazima tuweke ubishani!
Basi mi nikaendelea kupiga mastory na mchumba mwisho wa siku nikachukua namba. Tukamshusha karibu na kwao.
Usiku tukachat sana.. Siku ikaisha kama hivyo!
Kesho yake ikawa ni jumamosi, asubuhi asubuhi mida ya saa 1 naamshwa na vibration ya simu. Ni yule demu anapiga. Napokea anasema:
"Hey mambo, unaweza kuja kunichukua leo nyumbani? Twende any place tukaenjoy weekend"
Daah! Nilipata kigugumizi cha hatari, sema mwisho nikakubali.
Akili yangu yote ikawa inawaza namna nitakavyoteketeza pesa kwa ajili ya demu ambae sio wa kuliwa leo wala kesho.. Ukaja kichwani ule msemo wa waswahili kuwa "Hasara roho, pesa makaratasi". Nikasema potelea pote!
Nikajisemea mwenyewe nisiende kinyonge, ukizingatia status ya mchumba mwenyewe ni mtu wa kupendeza na hii wikiendi ndio atakamia zaidi.
Nikamcheki yule mchizi wangu anipatie usafiri nina mtoko na yule demu wa jana. Bahati nzuri siku hiyo mchizi wangu hakupinga, sema alitaka tu ikirudi iwe na mafuta. Haikuwa kesi kwangu kwa wakati huo.
Nikampitia demu maeneo ya jana tulipomuacha, nikamchukua moja kwa moja mpaka maeneo ya Micasa.
Fika pale weka mezani misosi ya nguvu, siku hiyo pochi ilipasuka kwa kweli sema sikujali.
Story zikawa zinaendelea. This time yule demu alikuwa clear mno maana alishaona kauzembe fulani hivi naendelea kukafanya.
Akataka tutafute sehemu uliyotulia apumzike maana amechoshwa na safari.
Hapo ndio ikaja sasa akili ya kujiongeza. Nikawauliza wahudumu pale mahali ninapoweza kupata lodge moja safi iliyotulia. Nikaelekezwa na kufika maeneo.
Nikafanya malipo kisha tukachoma ndani.
Kilichofuata huko nadhani kila mtu anaelewa. Nikaweka kamba zangu 2 kiboosi, nikatoka mwepesiii..
KAMA MASIHALA HIVI EEH?!![]()
Mlienda Pataya Lodge. Napajua.


nikashtuka, Nikajikuta siamini kabisa kama ni yeye maana hatujawahi kuwa na stori za hivo... nikajifanya kuuliza, kwani imekuwaje hadi uumwe hivo? Akajibu "ina maana we hujui imekuwaje!" Nikamwambia aje chumbani kwangu akasema niende mimi, hapo machale yakanicheza nikawaza kwamba inawezekana akawa ni mamaake amenijaribu kuona nipoje na mwanae...kila nikiwaza kwenda moyo unasita, nikamwambia asimame mlangoni nimuone ndo niende, akafanya hivo..kuchungulia nikamuona mtoto amewaka na kigauni laini cheupe amesimama mlangoni mzee nikazama chumbani kwake, nilipofika tukaanza fasta kama tumezoeana vile tukalana mate sana, mtoto ndani hajavaa kitu, mali ipo nje nje

tyuuuh