Ulishawahi kula tunda kimasihara?
unanikumbusha kuna kipnd nilikuwa namla mdada mmoja hivi ofisini. akaniambia umeoa, sasa una mke wa ndoa na mimi tu mchepuko wako,
nkisikia mwingine ntakiwasha balaa na hutoamini kama ndo mie niliekiwasha, ili kulinda penzi la mkeo na langu..
ila uzuri wa huyu mdada alikuwa anamheshimu na kunwogopa sana mke wangu,
aisee mwanamke ni balaa.
Ngoja niongeze,

Nilikuwa nafanya kazi kwenye hotel fulani kama mkuu wa operations, sasa yule mmiliki wa hotel alikuwa (muhindi) mtu wa bata sana alikuwa anakuja pale hotelini either once per month au in a two months kuangalia business yake inaendeleaje.

Sasa kulikuwa na demu mmoja mFilipino na alikuwa ni mfanyakazi mwenzetu ila ndio alikuwa demu wa yule mmiliki,yaani kila akija anampigisha demu bata na mitoko night mida ya usiku ila asubuhi anakuwa kazini nasi kama kawa.

Sasa basi, yule jamaa (mmiliki wa hotel) alikuwa ni mtu anafuatwa sana na mademu huko kwenye viwanja kwasababu ya pesa, kuna siku alikuja kama kawaida pale hotel kucheki business na usiku walienda kula bata club kama kawaida, ilifika wakati huko club alikuwa amelewa akavuta demu mwingine na kudendeka in public wakati huyu demu wake (mFilipino) yuko around.

Demu (mFilipino) alichukia sana, walivyorudi kesho ake jamaa (mmiliki) akasafiri, basi Mfilipino akawa na stress karibu week nzima.

**Kula kimasihara**
tulikuwa tunaishi kwenye nyumba za wafanyakazi za hotel, basi jioni moja( ndani week hiyo hiyo ya stress ) baada ya kazi tukaanza ku chatt kwa simu na Mfilipino wakati niko room kwangu na yeye yuko kwake ile "vipi, niaje , kazi imeendaje leo"
Akaniuliza unafanya nini, mimi nikamjibu (kwa utani) "naangalia porn", akastuka akacheka halafu akauliza unaangalia wapi, nikamwambia kwa simu nikamtajia webs.

Kama dakika 2 akarudi kwenye chatt( kumbe yuko serious) akidai anashindwa ku access hizo websites kwa simu yake, nikamwambia nakuja kukusaidia.

Nikavaa truck yangu bila boxer, nikaelekea room kwake(wakati huo alishanambia mlango uko wazi nikifika niingie direct)..nilifika nikaingia nikampa simu yangu nilikuwa nishamwekea videoz kabisa kutoka xxvideos ( hapo nilihakikisha all other apps nimezi off internet).

Nikampa simu akaangalia alichotaka( muda wote tumekaa kwenye sofa moja pale room), nikamsogelea zaidi na kumsaidia kubadilisha video, wakati huo mnara kwenye boxer unasoma 5G nikasimama makusudi ili aone, mara namuona anajinyoosha nyoosha... kilichoendelea ni kata funua.

Basi alifurahia show saana akawa anasema ule msemo wa white chicks "once you go black, you will never go back", daah! Ukawa ndio mchezo wetu, ila nikamwambia heshima iwepo wakati demu wangu anapokuwa yupo pale nyumbani ( maana nilikuwa na demu permanent na alikuwa anamjua kidizaini walikuwa wanafahamiana) basi alikubali kuwa anaiba na akaniambia yuko tayari ila hataki asikie nina demu mwingine, ni yeye na demu wangu tuu.



Alexander The Great

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2017 nlienda masomoni ng'ambo nchini india kwa ufadhili wa benk ya dunia kupitia ubalozi wa india. Nlikuwa mtanzania pekee nliyebahatika kupata ufadhili huu, asikwambie mtu nliishi kama mfalme sababu ufadhili wa world bank hasa ukienda kama mtumishi huwa ni bab kubwa.
Basi bwana ilikuwa ni kozi fupi ya mwaka mmoja na tulikaa hoteli ya nyota 3+usafiri nendarudi tulikuwa wanafunzi kama 200 hivi kutoka mataifa tofauti tukiwa kwenye hoteli tatu tofauti. Ila darasa letu tulikuwa 25 na wote tulikaa hoteli moja na floor moja, kulikuwa na waghana, wapaxtan, wairan, wabutan, wa malawi, wasudan, waethiopia,esghana na alikuwepo msyshelly mmoja.
Mi macho yangu yakaangukia kwa msyshelly alikuwa mzuri balaaa ila tomboy, anapenda sana campany ya mamen na alikuwa ana pesa kutuzidi wote pale, pia mghana mmoja akabahatika kupewa tunda na msyshelly yy alikuwa tutorial assistant wa university of ghana. Basi jamaa akawa anabebeshwa sana pochi ya dem na dem akawa mtemi juu yake. So hela alikuwa anaweka kibindoni wanatumia za dem.
Mm nlikuwa mkiwa na mkimya sana sababu nlikuwa mtz peke yangu. As you know india pilipili kwa sana na ile inapandisha ham balaa. Sikuwa na dem wala nn. Nikajaribu kutafuta madem wa kujiuza mtandaoni nao hela kubwa balaaa, dem ili umle lazima zikutoke rupee 5500 hadi 6000 kwa madem wa kawaida ambao wapo safe. Ila wapo hadi wa 3000 wa uswahilini ndo hivo ukizubaa unapigwa.wao unaingia kwenye mtandao wao unaangalia picha unapiga simu mkielewana unamtumia location anakuja ukimlipa unakula tani yako na asubuhi anasepa.
Basi nlikula hawa km mara2 sikurudia tena. Huyu msyshelly akaanza mazoea ya kunitania, mara nisindikize tukale mara hivi, akaanza kujisogeza room kwangu. Siku moja mshkaji wake kaenda mziki yy yupo hotel na mm nlikuwa sitoki hasa usiku kwa kuhofia usalama wangu. Nlikuwa napenda bia flani hivi zina ladha kama fanta black current na zipo kwenye chupa ya hivo. Nikastukia dem kaja nazo chupa 10 kwenye mfuko akaja hadi room kwangu, tukazigida hadi usiku mbaya. Kila room ilikuwa sound proof na hakukuwa nadirisha linalofunguka bali ni kioo sealed. So ilikuwa ukiingia lazima uwashe ac na kila system ya mle ilikuwa connected kwenye card ya mlango, hivo ukiipachika ile card kwa ndani kila kitu kinajiwasha so usichokihitaji unakizima.
Baada ya ulabu kukolea dem mwenyewe akavua na kupanda kulala mm nikaongeza ukali wa ac ile naingia kwenye blanketi hatukuulizana chochote nimekula mzigo hadi asubuhi saa nne dem ndo akaoga akaondoka kurudi room kwake. Ajabu next door ilikuwa ya mghana ambaye ni boyfriend wake. So ikawa akija anaingia kwa boyfriend wake anamsalimia then anakuja room kwangu anakula mzigo. Huyu dem tumemla wote mwaka mzima jamaa hakugundua hata siku moja. Na kuna mda alikuwa analala kwangu mara nyingi tu jamaa hakushtuka. Siku tunarudi nikaondoka naye ndege moja hadi nchini kwao nikapewa mzigo siku mbili, ndo akaenda kwa mumewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dada alikuwa Malaya kweli kweli. Ila wanasaidiaga sana katika sehemu kama hizo zenye ukame wa madem.
 
We kaza hivyo hivyo kuna mzembe mmoja atakuwa anakusaidia kukupigia deki

Sent using Jamii Forums mobile app

Bahati nzuri wanawake hawana formula,

Huenda sisi tusiopiga deki ndo tunawachapia hao mademu mnaopiga deki

Hujui unaweza kumpa range mwanamke halafu akatombwa na aliyemuwekew mafuta lita 20?

Ya nini kurisk? Ukipiga deki ukamtia kiulaini mwanamke atataka rough

Wewe ukiwa unamtombea kitandani na deki zako mwenzio anatamani atombewe kwenye gari.
 
Astaghafilulahhh!!! Toba!!! Kumbe mchicha kweli.
Hiyo juu yakooooooh lol, kwani wew unaumia nn? Uwiiiiiiiiiiiiiiih ngoja nkuajiri uwe mshikiria miguu yangu wakat nasasambua uno na kufinyia kwa ndan mshedede, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimeropoka tyuuuuuuh

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo G ni kiazi sana. Wanaume kuna wakati tunafanya upuuzi sana. Unatembea na msichana,ankupend kweli unajishaua. Eti! Unamuumiza halafu unataka umkalie chapati. Jinga sana G, umemuaibisha mikito.
Kiazi kwelikweli. Baada ya hapo anaanza kulalama eti kachukuliwa demu na jamaa..hahahaaa sikujali kwakweli...i was in love...na jamaa nilimhadithia ukweli na situation ilivyokua...uzuri mr.alikua anamfaham G vizuri kupitia washkaji zake..
 
Mkuu @mskavenga umenikumbusha japokua sijavutiwa na story yako.

Wakuu naomba nicheke Kwanza,

JAPOKUWA SIKURA TUNDA ILA NILINUSURIKA KUUKWAA.

Miaka flani baada ya kufunga chuo nilirudi likizo home kwetu mkoa flani.

Wazazi hawakuwepo ila palikuwa na kaka yangu, dogo na baadhi ya ndugu, Nyumba yetu ni kubwa kulikuwa na chumba ambacho kipo upande wa pili ambako unaweza fungua mlango na kuingia muda wowote (ndicho chumba nilichokuwa nimefikia ). Kwa nje kulikuwa na bala bala na mbele kidogo kulikuwa na Msingi wa nyumba, kwenye huu msingi alipenda sana kukaa kaka yangu pamoja na dogo mida ya jioni.

Sasa siku moja nilikuwa mtaani umbali mfupi kutoka home nikawa nimesimama kwenye kibalaza flani nimetulia nasikiliza mziki, gafla akaja mama flani (jirani yetu nilikuwa nikimuona mala chache), kafika pale kanichangamkia dizaini kama vile ananijua (alinifananisha nadhani na mtu waliyekuwa wamepanga kukutana nae) akawa ananisemesha, fasta nkajiongeza na kujifanya mimi ndiye muhusika, nkamwambia twende room tukapigie huko story maana pale si mahali pazuri,

Tuliingia room nikafunga mlango (kumbe dogo na bro walikua wamekaa nje kwenye ule msingi walituona wakati tukizama room), basi nimefika sikutaka kuchelewesha nkaanza kupapasa bila kizuizi chochote, shika shika wee gafla simu yangu ikaanza kuitaa nkaona ni dogo anapiga nikawa naikata sababu nilijua anakuaga msumbufu, simu ikawa inaita mfululizo kama mara kumi nakata tu nkaamua kuizima, gafla nkasikia mlango unagongwa kwa fujo dogo anaita "kaka kaka kakaaa....!!!" Nkakasirika sana nkaenda kuufungua ule mlango nimtie vibao,

Ile nafungua tuuu!!! Nikavutwa kwa nguvu na dogo akiwa pamoja na bro huku wakiwa wanaonekana kama vile wamepanic, swali la Kwanza nkaulizwa pale pale mlangoni na bro "dogo umetumia kinga !!!!!" Nilipiga butwaa hapo ndipo nilipoconect dot ya zile missed call kumi na kugongwa mlango kwa fujo plus kutolewa kwa nguvu .

Yule mama kumbe alisikia kila kitu akatoka akaondoka zake,

Kumbe Yule mama pale kitaa anajulikana kua anangoma, na Mimi sikuwa namfahamu mean sababu muda mrefu nilikuwa chuo,

Asee nilimshukuru sana bro na dogo vinginevyo ningeingia kwenye majanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom