[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]waganga wa kibongo nuksi
 
Umesha nasa wewe

kutoka kwenye huo mtego si kazi rahisi,umefunga ndoa na shetani,hivi unafkiri shetani anaachika? jipange mzee kama ulikua unataka kuonja tu ujue majini hayaonjeshwi.

pole tena pole sana
mh mbona mi naona yupo simple tu kawaida mkuu?
 
kwisha habari yake asubir kupiga ramli

cc Kingsmann

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…