sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 21,039
- 48,152
Ikawaje mzeee...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nami ntoe changu ss
Iko hiv nakumbuka ilikua mwaka 2017 nkiwa chuo kwenye mkoa flan maarufu,kwenye nyumba tulyopanga wanachuo kama mnavyojua tena mambo ya chuo baada ya kuzoea mazingra weng hua wanatoka na kupanga mtaan,bas cku moja nlikua nahama chumba kwenye nyumba hyo hyo ila bahat mbaya chumba nlichokua nahamia kitasa chake kilikua kibovu so nkawa naamisha kitasa cha chumba nlichotoka,wakat nko nafunga kitasa kuna manz aliingia akimuulizia mshkaj wa chumba cha jiran ambaye wakat huo alikua katoka yupo chuo ana discuss,alinikuta nakomaa na kitasa pale nkamjibu mwana hayupo ila chili hapo ktandan ukimsubria so manz alikubal kwakua aliona natengeneza kitasa akajua hakutakua na usumbufu wowote maana mlango ulikua waz,bhna manz alikua na sura ngumu ila hapo kuanzia kifuan had miguun alikua kauimbika balaa,mwana nkawa namezea mate tu maana lilala pale kwa bed akawa ananchek nnavyokomaa na kitasa,nlikua nawaza kufanya tu ufis mda huo yaan nafunga kitasa huku mzee yupo dede,nkafunga fresh nkamalza,nkasema ngoja nkatest zali so nkafunga mlango fresh nkajizogeza kwa bed,alijishtukia ila nkavunga sjaona me nkamkumbatia kiss za hapa na pale akawa analeta ubish ila nkaona nalegeza na kusema kwao ety ukimcheat bf wako utatokewa na kitu kibaya,me nlimjibu acha tu kitokee,so nkala tunda kimasihara fresh na bahat mbaya baada ya kumalza kama dk 5 mbele mchiz wake akarud ila manz alitoka akajifanya kamind ety kamsubria sana so walipishana mlangon wa kutokea nje manz kafura balaa.
Skubahatka hata kupata namba yake ila nlikua namuonaga tu akija kwa jamaa na ckumshobokea tena ila jamaa alikuja jua nmemla
Sent using Jamii Forums mobile app