Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Aisee hii kitu bwana niliwahi kuiepuka nakumbuka miaka ya 2020 mkoani katika isue zangu za kibiashara.

Nilikutana na mtoto mmoja anakadiriwa under 25, huyu bidada nilimkuta kasimama muda mrefu katika duka langu mwisho wa siku nikaamua kumuliza "kulikoni mbona kama hauna uelekeo wowote" ndio akanijuza kuwa kuna lori ambalo alitarajia aondoke nalo dereva kapata dharura safari leo haiwezekani na hana sehemu ya kwenda hapa town ni mkeni katokea wilaya ya jirani wa mkoani nadhani mnanielewa baadh ya mikoa wilaya mpak wilaya ni kipengele sana.

Alivyoniambia inaondekan binti alikuwa anataka kwenda zenji bila nauli maalumu yan kupitia malori ya makaa ya mawe atimbe dar then aende zenji. Nikamuhuliza umetokea wap akasem katokea wilayani x so kule alipotokea ni mbali nikamwambia sio mbaya kwasbb njia ndio hii hii utafute sehem ulale then kesho asubh mpema aamke dogo akakubali lakini akasema nimsaidie kwa hilo.

Basi nikaamua kukaa nae dukani mpaka mida ya jioni tukaanza safri kurudi huku nikifanya harakati mtoto apate gest alale bahati nzur mitaa yetu gest zilikuwepo za kutosha, tukabahatika kupata chumba gest moja hiv dogo akaingia ndani nikamlipia chumba per night ilikuwa 20K. Baada ya hapo nikamwambia narudi maskani so Mungu akipenda tutaonana namba yake sikuchukua si unajua tena kuonana sometimes katika hiz mambo ni ngumu sisi wa mikoani tunaelewa. Mtoto akaniambia kam nitaweza nije baadae (ule usiku) na chips alafu kulala peke yake anaogopa hasije akachelewa pia mazingira ya pale ni mageni kwake nikamwambia "flsh bs ngoja nirudi home mengine nitafikiria" so harak hrak nikafika home pat maji ya kutosha mazoez kidogo then nikapitia kibanda cha chips mishikaki pepsi fulan hiv na vimachungwa nikavibeba safari kwa manz gesti.

Moja kwa moja nilipofika gesti nikaingia chumbani mlango aliacha wazi (alijua kijana nitatokea) wakati huo alikuwa akioga (chumba ni master)..... Baada ya kumaliza kuoga nikamuandalia mazaga msoc ale apumzike. Bidada akachukua chips akaanz kula huku tukiwa tunapiga stry.

Aisee katik moja na mbili story zake kuna moja iliniogopesha ikanikata stimu kabisa ya uzizi, akasem haya malori makubwa yanatoka mikoani kwenda daslama madereva walio wengi wanalazimisha ngono bila kujari afya zao mtoto akazifi kusema kun ukimwi😀...nikamuuliza uzoefu wa hizi safar kasem ana miaka 3(ashakuwa master). Nikamuhuliza tena zenji unaenda kufanya nn ,akasem anafnya kazi katika hoteli kubwa ya kitalii mjini zenji maboss na watalii wanamlia matee duh😀 (wanawake na pesa🙌🏾)
Baada ya hapo nikaona huyu demu noma nikazuga na simu nikamuaga nikachomoka maskani.
Kwa uandishi huu,umri hauruhusu kuwa na duka. Labda mwanafunzi,kidato cha 2
 
Nina miaka 27

Kwa miaka 10 tokea mwaka 2014 nilivyokua form 4 nimeshatembea na wanawake wapatao 69 ninaowakumbuka mimi
Nimekaa leo na daftari na kalamu nikaanza kuorodhesha wote ninaowakumbuka mimi.Hao 69 ni wale ninaowakumbuka mimi hivi leo

Mambo mengi sana yanatokea kwenye maisha hadi unakua na orodha
Miaka 27,unaowakumbuka ni 69! Uliowasahau ni zaidi ya hao.
Ukikaa na kujitafakari,wewe si ni kile kizazi anachosemaga Yombo Msukuma kweli? Pesa uliyotumia kuwagegeda,ungeweza kuikusanya,ungekuwa na bonge la biashara inayoingiza hela.
 
Kuna kizazi kinakuja hicho, kitakuwa zaidi ya Sodoma na Gomora! Unakutana na kitoto kina 20yrs tu, unakula jicho kitu inatoka haina harufu wa nta!! Unajiuliza imekuwaje hii?? Kameanza lini??
Wa kumshangaa ni wa kuliwa jicho? Bora aliyeliwa kuliko anaechomeka. Maana wa kuingiziwa,hana hasara. Ila mwenye kuingiza,hana tofauti na chizi
 
Back
Top Bottom