Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Tumeenda kunywa vizuri, akasema tukitoka tunaend, sasa baada ya kunywa, amegoma kapanda boda. Nilishalipa 50k hotel.

Kuanzia leo sitaki shobo nae tena, kanitoa hasara ya 50, bora ningemtumia mama watoto akanunua hata kijora
Kwamba ulipo hotel za shida saaaana mpaka ulipe mapema au no ushamba wenu wasukuma?
 
Tanga, Dar, Pwani, Moro, Lindi, Mtwara mwanangu kote huko ukishawazoea na kujua majukumu yao kichwa hakiwezi kuyumba kinatulizwa na mazingira yanavohitaji utapagawa siku moja ila kichwa kitulize usikipeleke resi.

Kuwa na bonge ya spika harakati zako goal la kukodisha mziki kiongozi. Weka dogo mwenye hio tasnia.
Sawa
 
Wajuba nipeni maujuzi! Kuna mtu natamani kumkula leo
Naaanzaje,,, ni mtu asiyejua Swahili,,, miezi kadhaa nyuma niliomba game anakazingua na kuchukia,,, safari hii juzi nimeshinda naye toka asbh kuna shopping alikua anafanya,,, leo asbh namsindikiza sehemu,,, nataka tukienda huko ndio niombe mechi
 
Wajuba nipeni maujuzi! Kuna mtu natamani kumkula leo
Naaanzaje,,, ni mtu asiyejua Swahili,,, miezi kadhaa nyuma niliomba game anakazingua na kuchukia,,, safari hii juzi nimeshinda naye toka asbh kuna shopping alikua anafanya,,, leo asbh namsindikiza sehemu,,, nataka tukienda huko ndio niombe mechi
Kimasihara huwa haiombwi,unachukua tu
 
Wajuba nipeni maujuzi! Kuna mtu natamani kumkula leo
Naaanzaje,,, ni mtu asiyejua Swahili,,, miezi kadhaa nyuma niliomba game anakazingua na kuchukia,,, safari hii juzi nimeshinda naye toka asbh kuna shopping alikua anafanya,,, leo asbh namsindikiza sehemu,,, nataka tukienda huko ndio niombe mechi
Mchote mtama/ngwala lalia kwa juu piga touch,nyonya mate kama lita 2, pima oil, Zamisha rungu piga shoo ya kibabe
 
Nakumbuka Ilikuwa katika harakati za mishe mishe town kariakoo, jion majira ya sa moja hivi nikapanda mwendokasi gerezani - kimara nirudi home, ndani ya mwendokasi nikasimama jirani na binti mmoja alikuwa mrembo mwenye kuvutia mwenye umbo lake kwa nyuma.... Wote tulishukia kimara terminal alinitangulia kidogo kwa mbele nikamfuata nikaanza kupiga nae stry mbili tatu walau nipate kujua jina lake tabasam lake lilinivutia san alionekan kuw mcheshi bas nikampa simu akaandika namba yake akaipiga yeye alikuwa akiishi mitaa tofauti tukaachan pale darajani juu akapita hivi na mm nikapita hivi ..... Nilipifika home nikampigia simu ili kujua kama kafika kwake salama akapokea tukazidi kupiga stry zaidi..... Mida ya sa tatu nikamtumia sms nimeboreka tuonane tukale sehem akakubali, akasema sawa ngoja nijiandae nitakukuambia..... Ikapita kam nusu saa akanitumia sms niko tayari nikukute wapi nikamtajia njoo hapa darajani tulipoachana ......akachukua boda akaja pale nilipo tukaendelea kupiga stry huku tukitembea nikimuonesha onesha mazingira huku njia nikielekeza ya maskani mwisho wa siku nikamwambia naishi hapa akasema "yan wewe haya" nikamkaribisha ndani tukazidi kupiga stry romance dakika chache tu mtoto kalegea😂 nikamaliza mchezo akasema kachoka tukalala.
 
Back
Top Bottom