RealixT
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 1,598
- 2,870
Mwingine wa kuitwa @mikitomikito aisee mbn simuoni humu once again , jamaa ana vituko haswa [emoji3]Hivi member wa kuitwa@lugumya alienda wapi simuoni siku hizikwenye hii thread.
Mwingine wa kuitwa @mikitomikito aisee mbn simuoni humu once again , jamaa ana vituko haswa [emoji3]Hivi member wa kuitwa@lugumya alienda wapi simuoni siku hizikwenye hii thread.
Watakua wamebadilisha usernamesMwingine wa kuitwa @mikitomikito aisee mbn simuoni humu once again , jamaa ana vituko haswa [emoji3]
Ntumie namba zake pmOya mafisi kuna katoto ka 2005 tunafanyaje nakakwepa sana ila sasa naona too much baba ake tunafamiana vizur NB:sio mwanafunzi
NtakuzibuaOya mafisi kuna katoto ka 2005 tunafanyaje nakakwepa sana ila sasa naona too much baba ake tunafamiana vizur NB:sio mwanafunzi
Comment of the yearKIKAO CHA WANAUME.
Kikao cha wanaume kimeisha salama jana.
Kwa wale ambao hamkuweza kuhudhuria, kamati ya pesa na mahitaji tulitoa mapendekezo mapya.
Marejeo ya sheria ya kutohonga, kifungu cha 12, kilichokuwa kikisema hairuhusiwi kumpa hela mwanamke ambaye hujamuoa wala hujazaa nae.
Labda kwa shida maalum kama vocha ambayo anakupigia nayo mwenyewe..
Tumependekeza maboresho kadhaa..
Suala la kukutana ni la wote sio upande mmoja, hivyo kama mwanamke atataka kuonana na wewe, hana budi kutumia nauli yake kukufata..
Wakati wa kuondoka unaweza kumpa hela, lakini SIO LAZIMA.
Kikaoni pia tulizungumza kuhusu hela ya kutolea, na muafaka ukawa..
Kama wanataka hela ya kutolea basi waje nyumbani kuifata hela kamili, Tusiwanufaishe maboss wa Tigopesa na M-pesa tusiowajua.
Wale mabingwa wa jibu la "Kuna hela naisikilizia" wameongezwa katika kamati ya wajumbe waweka adhina..
Kila pesa ya chama chetu, itatunzwa na ubahiri wao,.
Adhabu kali itatolewa kwa wanaume wote ambao, walipotongoza na kukataliwa, wakaendelea kuwa na urafiki na mademu hao..
Kama amekukataa, futa namba na aache mazoea..
Sheria ya makosa yasiyosameheka, uhaini na jinai, yametanabaisha yafuatayo.
Kujibu kistaarabu text ya mwanamke anayekutafuta akiwa na shida pekee..
Kutomuazima mwenzio chumba, pale anapotaka kuleta manzi yake..
Kumkandia/ kumuaibisha mwanaume mwenzio, hili upendwe wewe..
Kulalamika, kulialia na kutia huruma inbox pale unapotumiwa text ya kuachwa.
Kumpokea kwa bashasha demu asiyefanana na snapchat yake,
Mwanamke ambaye kwenye edit za picha ni Rihanna, alafu live ni Josh Onyango, inasharutishwa aachwe stand ya daladala..
Upande wa pili..
Wale wadada ambao huwa wanatuambia wapo njiani wanakuja, hivyo kusabababisha sisi tufanye usafi wa kiwango kikubwa..
Na mwisho wa siku hawatokei, imependekezwa tuwaache mara moja bila kujali urembo wao..
Mjumbe aliyekumbwa na hali hii zaidi ya mara 1 aliuliza kwa jazba, "Kama hawawezi kuja gheto, kwenye harusi atakuja kweli?"
Mengineyo, tumefikia muafaka kuwa kama uwanja ni mkubwa basi Sharti ni kuzunguka round moja tu..
Yaliyoorodheshwa yafanyiwe kazi, Majukumu mema wanaume wenzangu.
Deo KisanduWakuu...ma broo na ma sista...Kwanza poleni na majukumu ya Kila siku...
Kwa kuzingatia michango ya Wana jf member hapa...Kuna namna imenisaidia na kuweza kumla huyu demu siku ya Jana jumapili kwa maana ni siku pekee ya huyu mdada kuwa off kazini... Wazo kubwa nililolipata hapa jukwaani ni lile la kutenga bajeti ya kiasi Cha pesa ambacho Mimi nilitenga laki moja ...hii niliifanya ya kumhudumia shida zake ndogondogo kwa sababu nature yake ni kuomba vocha Sana na hela ya kula..bhasi kufika Jana huyu dada akajaa kwenye kumi na nane ...mwamba nikamaliza.
Sasa wakuu baada ya kumla niliaona si vibaya nikampa 50k Kama zawadi na kumjengea imani ili wakati mwingine arudi tena,Sasa wakuu hapo kumpa hio 50k nimekosea?swali hili naliuliza kwa maana sijajujua ninajenga au ninabomoa katika kumrekebisha tabia yake ya kuomba omba hela...
Lakini baada ya mizengwe ya wiki ya Kwanza kabisa Ile mpka nikalipia outing ya 74k,nilijifunza kutokana na michango ya Wana member humu Kuna vitabia nilimkemea na binti kweli aliviacha..vijitabia vyenyewe ni vilikuwa nipale anakuomba hela labda ten...halafu baada ya kutuma asemi asante au siku nzima anaponitafuta ni pale anapokuwa anauhitaji wa kula hayo machipsi yake na mavocha ...bhasi Mimi sikusita kumpigia na kumchana na kumuelimisha kuwa Mimi Kama mwanaume wako na kiongozi wako nataka aache hio tabia Mara moja na sipendezwi kabisa na tabia chafu hapo ikumbukwe ni bado hajaja ghetoni lakini aliweza kuobey hio Sheria na akawa ananipigia hata Kama Hana uhitaji...
Sasa wachangiaji nisiwachoshe Sana siku ya Jana nilivomalizana nae nikaona isiwe tatizo nikampeleka mpka mbezi...kufika mbezi ambako shoga yake yule wa mara ya Kwanza siku Ile alikuwa amekuja nae outing waliaahidiana nae wakutane hapo ili warudi kwa pamoja sababu wanakaa mtaa mmoja akawa amewahishwa na haraka zake...nikaona isiwe tatizo nikamwambia bhasi ntakupeleka mpka goba mpakani ili achukue bajaji aende kwao ..akasema sawa nikamrusha chap Ile tumefika tu ananiambia tena Sina hela ya kula,nikamuangalia nikasema kimoyomoyo huyu anamashetani Nini elfu hamsini nimempa na naul nilimpa 15k goba mpka kibamba ya kuja ameungaunga usafiri akabaki na chenchi ya kutosha tu kwa maana nililijua hilo alivokuwa anaenda kuoga baada ya show nilichukua simu yake nyuma ya kava ana elfu Saba. imebakia....nikajikausha sababu mi kiukweli nampenda nikatoa ten nikamwambia boda anirudishiie buku tano na kumpa 2k nyingine ya boda ili amfikishe kwao kwa maana mda huo alikuwa ameshanikwaza nikasepa nikapitia ngao pub nikapiga mboliko nikirudi home mda huo nahasira tu.
Kinachonichanganya nikiweka amri nzugu naona nidemu ambaye anazi tii kwa kiasi Sasa sielewi nimfanyaje Kuna muda Kama ana Mambo mengi unaweza kumtafuta asipokee simu lakini haachi kunitafuta hata Mara moja tangu nilivomchana.
Saivi naangalia game ya Totten na full ham nimemcheki na kumuelekeza nataka nimuweke ndani nimuowe kwa maana sote sisi ni waislamu na ni dhambi kuzini naona ananiambia mpka mwakani ni mpaka amalizie koz ya kompyuta ambayo aliiachaaga njiani, nimemwambia sawa ..tutaongea zaidi Ila nimtu ambae naona kapokea kwa wema na amenisihi nimjulishe nitakaporudi nyumbani kwa kuwa mi nipo baa na sijajua lengo ni Nini labda ajue Kama niko salama ...Yani Kuna mda anajali hadi nafurahi ila Kuna vijitabia vya kingese hadi simuelew..
Ila nampenda Sana na Jana kanilazimisha nitumie ndomu maana yuko danger mi nikamkazia kinomanoma pale ilikuwa vita akakubali nikamwambia atatumia p2 Kama anawasiwasi na mimba Ila mi hata asipotumia akipata mimba ndio vizuri tu kwa kuwa namuhitaji...
Sasa kaka na dada zangu embu nisaidieni wakuu...hapa kipi kifuatie hadi awe anaelewa kabisa na mwishowe awe ni mwanamke wa ndoto zangu?ni kwa namna gani atajinyenyekeza kwangu nakutambua Mimi ni mme wake?nitumie njia zipi? Ili atulie ma broo ...msaada unahitajika Ila hajaacha kuvaa yebo za kutuna na yebo za vitobovitobo hata alivokuja alivaa...
We falaa huyo kusah wa Geita au yupi? [emoji1787] Na Jay melo kudadadeki, hii gahwa kabisa imeipiku hata chai mr director
Uko mkoa ganiNtumie namba zake pm
Unataka visa vyangu, wait ntashusha hapa.Hujawahi leta kisa chako humu embu fanya chapu
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Shusha uwanyamazishe wabaya wako.Unataka visa vyangu, wait ntashusha hapa.
BonnyHvi Hawa dada zetu hawajawah kudondokewa na mshkaj wakapiga show maana naona ni sie tu
Tayari vishaumana huko utapata bacteria wataathiri huo mdomoWakuu iv ukizama chumvin af kumbe demu ana UTI sugu utapatw na nin
Kalambe uchi hako, Ila kaambie kasiseme sasa vnakuwaga vtamu hvyoOya mafisi kuna katoto ka 2005 tunafanyaje nakakwepa sana ila sasa naona too much baba ake tunafamiana vizur NB:sio mwanafunzi