Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,295
- 60,915
Wako tu vizuri 🤣🤣... sema watu wanawasingizia mengi sana,, mara wagawaji hovyo, mara washirikina, mara sijui nini ila mimi naishi nao huku na sijaona😃😃Wana nini lakini hahahaha
Wako tu vizuri 🤣🤣... sema watu wanawasingizia mengi sana,, mara wagawaji hovyo, mara washirikina, mara sijui nini ila mimi naishi nao huku na sijaona😃😃Wana nini lakini hahahaha
mimina chai tunyweMimi siyo mwana masihara ila huwaga nasoma tu visa humu ila Leo nitaleta mzigo wangu humu ndani, kimasihara yangu tarehe 26 mwezi wa kumi nikiwa natokea Arusha kwenda Dom. Salama leko
Dunia tamu sana hiimimina chai tunywe
aleyku salaam.janga ni lipiMimi siyo mwana masihara ila huwaga nasoma tu visa humu ila Leo nitaleta mzigo wangu humu ndani, kimasihara yangu tarehe 26 mwezi wa kumi nikiwa natokea Arusha kwenda Dom. Salama leko
Lini?Ngoja siku tukutafune uone kama utaleta hapa kuwa ni chai
ChaiKuna sisi wengine maisha yetu yote ni kama tunakula kimasikhara tu.
Ijumaa nimepanda mwendokas kuna dada mmoja anaonekana ni mchaga yule tumebanana kweli yani safar nzima m-boo inamgusa kweny hips yake uvumilivu ukamshinda si akapitisha mkono kiuoga akaanza kuigusa gusa na kidole mzigo ukasimama akaniangalia usoni tukakutanisha macho..
Kufupisha strori yule dada alishuka kimara mwisho nikashuka nae alikua anaelekea sehemu moja ndani ndani uko millenia kama sijasahau tukapanda boda moja nimeshuka nae nimemsindikiza hadi karibu na anapoish mbaya zaidi tulipita maeneo yana vichaka na vijilima kama sio Dar na ajali ikatokea nikala kimasikhara vichakani nakili kwamba niliuza mechi na wala siwazi magonjwa kwasababu akili yangu kwa 98% inanambia nimetomber jini na najua majini hayana ngoma wala gono na alikua mtamu sio kawaida nimemuachia namba yangu na wala hajanitafuta
Sio msimuliaji mzuri nimeacha vitu vingi ila tuombeane tu ndugu zangu katika masikhara
code nyepesiAgosti moja mwaka huu 2023 tulikuwa kwenye kamati ya harusi fulani hivi, basi ilea kamati ilikuwa na watu wengi wa kanisani kwao na huyo bwana harusi. Basi kila tukifikq bwana Yesu asifiwe nyingi... Basi bwana harusi yenyewe ikafanyika tukamaliza, Ikafika siku ya kuvunja kamati basi kila mmoja akawa anajitambulisha mi fulani bin fulani nafanya kazi hii ama ile ikumbukwe wote wana kamati hatukuzoeana kihivyo. Basi yule dada mmoja wao mweupe na mwembamba alikuwa anapenda kunichatisha sana Facebook badae tu kahamia WhatsApp picha kidoogo, siku nyingine ananipigia simu usiku saa 5 au saa 6 usiku. Kumbukeni mi nna mke ila yupo mbali nami anafanya kazi mikoa ya kusini mwa Tanzania(hili ni kweli kabisa mke wangu ni mwalimu) basi tukaahidiana na yule dada tuonane Lodge si akakubali kuingia maeneo ya kati. Siku ya kwanza nikawa namwonea aibu kidogo mana hata umri kanizidi almost 6 years kwa umbo mi mwili mkubwa. Tukapiga story masaa mawili game tukaja kupiga badae sana. Nikamvua nguo akawa kimya tu, gusa kiuno full shanga usipime, gusa pichu dada wa watu kumbe tunapiga story yeye kalowa muda sana. Nikachomeka bunduki aloo akaitika uuuuh. Nikapiga cha kwanza, cha pili cha tatu sikumaliza mana mmh show ilikuwa ngeni so full jasho mana umeme ulikata feni lodge hazifanyi kazi. Tukamaliza nikaita boda akapanda kwenda kwao. Cha ajabu sasa toka unawasiliana akawa ananiambia wamezinguana na Bwana ake na yupo kwao kumbe bwana ake yupo ila mtu wa kutoka toka sana huwa anaenda sana nchi jirani kati ya Msumbiji, Malawi na Zambia kitu ambacho sikujua kabisa kumbe yule dada bwana ake ni bodaboda jirani na ilipo ofisi yangu japo alibadili kazi huwa anauza nguo kwa sasa. Nilijuta sana mana namfahamu. Kwa sasa ananisumbua sana nimtafune ila naogopa mana bwanake namjua vizuri, napiga chenga tu... Mke wa mtu sumu ila nilikula. Ile mali safi, nyeupe full nyege na k laini.

Muosha huoshwa mkuu hata huko kusini mke anaoshwa... babaaaa wauni siyo watuAgosti moja mwaka huu 2023 tulikuwa kwenye kamati ya harusi fulani hivi, basi ilea kamati ilikuwa na watu wengi wa kanisani kwao na huyo bwana harusi. Basi kila tukifikq bwana Yesu asifiwe nyingi... Basi bwana harusi yenyewe ikafanyika tukamaliza, Ikafika siku ya kuvunja kamati basi kila mmoja akawa anajitambulisha mi fulani bin fulani nafanya kazi hii ama ile ikumbukwe wote wana kamati hatukuzoeana kihivyo. Basi yule dada mmoja wao mweupe na mwembamba alikuwa anapenda kunichatisha sana Facebook badae tu kahamia WhatsApp picha kidoogo, siku nyingine ananipigia simu usiku saa 5 au saa 6 usiku. Kumbukeni mi nna mke ila yupo mbali nami anafanya kazi mikoa ya kusini mwa Tanzania(hili ni kweli kabisa mke wangu ni mwalimu) basi tukaahidiana na yule dada tuonane Lodge si akakubali kuingia maeneo ya kati. Siku ya kwanza nikawa namwonea aibu kidogo mana hata umri kanizidi almost 6 years kwa umbo mi mwili mkubwa. Tukapiga story masaa mawili game tukaja kupiga badae sana. Nikamvua nguo akawa kimya tu, gusa kiuno full shanga usipime, gusa pichu dada wa watu kumbe tunapiga story yeye kalowa muda sana. Nikachomeka bunduki aloo akaitika uuuuh. Nikapiga cha kwanza, cha pili cha tatu sikumaliza mana mmh show ilikuwa ngeni so full jasho mana umeme ulikata feni lodge hazifanyi kazi. Tukamaliza nikaita boda akapanda kwenda kwao. Cha ajabu sasa toka unawasiliana akawa ananiambia wamezinguana na Bwana ake na yupo kwao kumbe bwana ake yupo ila mtu wa kutoka toka sana huwa anaenda sana nchi jirani kati ya Msumbiji, Malawi na Zambia kitu ambacho sikujua kabisa kumbe yule dada bwana ake ni bodaboda jirani na ilipo ofisi yangu japo alibadili kazi huwa anauza nguo kwa sasa. Nilijuta sana mana namfahamu. Kwa sasa ananisumbua sana nimtafune ila naogopa mana bwanake namjua vizuri, napiga chenga tu... Mke wa mtu sumu ila nilikula. Ile mali safi, nyeupe full nyege na k laini.


au huyo alikupa 0713 nini mkuu?Kuna hii niliwahi kwenda kwa demu kuzagamuana siku ya kwanza, nikaishia kula na bonus shosti yake.
Tulifahamiana kwenye usafiri wa umma. tukapiga story mbili tatu. mwishoni kumbe tunashukia kituo kimoja. Nikaomba namba nikapewa. Tukawasiliana hapa na pale show ikapangiwa siku. Yeye amepanga na ni single mother. Wakati nampanga nikamwambie twende lodge. akakataa, akasema hiyo hela ya lodge bora nimwongezee alaf niende kwake pako safe. akanihakikishia hana mtu maana baba wa yule mtoto aliye naye hayupo Tanzania. Alifahamiana naye kipindi huyo baba alikuja kufanya kazi Tanzania ndo ikatokea akapata mimba so baba muda wake umeisha amesharudi kwao.
Nikajilipua nikaenda mida ya asubuhi. Ile nafika aliponielekeza naona wadada watano hivi wako wanapiga story, wawili wanasukana. Basi mara kile kikao kikavunjika. Mhusika akanyanyuka na mwenzake mmoja wakaja kunipokea. mwingine akasepa. wakabaki wale waiokuwa wanasukana,. Basi nikaongozana na hawa wawili hadi rum, kumbe yule mwingine ni jirani na milango yao inatazamana, katikat hapo ni corridor nyembamba sana. Nilikuwa nimebeba matunda kwenye kimfuko mkononi na kibegi changu kidogo begani. so mmoja kapokea mfuko mwingine kibegi. Kufika, basi yale matunda wakayachukua wakaanza kugawana pale. Huyu jirani nikaona kama mwenyeji tuu, uchangamfu 100%. Kumwangalia vizuri jirani ni pisi kali hatari kuliko hata mwenyeji. alafu amejivalia kanga tu hapo anajipitisha pitisha. Mambo ya matunda yalipoisha jirani akasepa zake kwake. sisi tukaendelea. Show ikabamba sana. Round ya kwanza mtoto alikojoa wakati mm bado kabisa, nilitumia mbinu zote kuhakikisha nisikojoe haraka, sasa yeye alifika kilele akapiga kelele, akanikamata kwa nguvu ikawakama vurumai anahema kwa nguvu baadaye akajibwaga puuuuh. huku jasho likimtoka. Baada ya muda akanyanyuka alinipiga busu tamu sana nikamwambia rudi hapa unaenda wapi mm bado, akashangaa. Kabla hatujaendelea akasema tukage maana tumesweat sana. Tukaenda tulivyorudi shughuli ikaendelea, round yake ya pili ikawa ndo yangu ya kwanza. sema nikajitahidi kwenda na spidi yake this time tukaja kumaliza pamoja sasa kwa purukushani zile na mm stim ikawa imeshapanda utamu ulikolea hatari tulikamatana vurumai hizo kitanda hakikutosha mtoto alipiga kelele na mm hata sielewi nilifanyaje tukajikuta tumepiga teke kuna ndoo zilikuwa karibu na kitanda na juu yake kulikuwa na vyombo vikaparanganyika makelele hadi nje. Kumbe jirani alikuwa anatusikilizia tuu.
Baada ya pale tukapumzika kabisa. Akasema njaa inamuuma kama vp tupike ila hana mboga. Nikasema kama zipo karibu kalete tupike nikampa hela. Alipotoka kwenda dukani si akamuaga jirani. Alivyopotelea tu jirani kaja ananichangamkia nikimwangalia uso kwa saikolojia yangu niliona kabisa kuna kitu anataka ila anaogopa kusema. Nikamuwahi kumuomba namba eti shemeji. Akaniandikia namba alafu akarudi zake kwake. nikambip. baada ya muda mwenyeji karudi akaandaa msosi ambao tulikula wote na yulle shemeji jirani. Kipindi mwenyeji anaandaa msosi kumbe nilikuwa nachat na shemeji jirani bila mwenyeji kujua, nikichombeza anaitika, akawa ananisifia kuna mda ananiambia baba taratibu basi usije ukamwua jirani yangu. Kila nikimchombeza naona anaitika, akili ikahamia kwake kabisa.
Baada ya kujiridhisha pasi na shaka kuwa abdalla kichwa wazi akili imehamia kwa jirani (ukizingatia ni pisi kali kuliko mwenyeji), baada ya msosi nikafanya drama flani ionekane nimepigiwa simu ya dharura ili nisepe pale, na kweli nilifanikiwa. nilipotoka tukaendelea na chat hapa na pale. Nikafika sehemu nikatafuta pa kupata kinywaji, nikapumzika. Nikawa namwambia shem nimepumzika sehem x, napata kinywaji kidogo. akasema kama vipi aje anijoin tupige story kidogo, nikasema poa. kabla hajaja nikatafuta sehem wanapouzazile juice za booster. alipofika akaagiza kinywaji, baadaye chipsi, nikamwambia vp sasa unaniachaje?akasema anatamani nimuonjeshe hicho kipigo nilichomfanyia jirani yake. Basi nikalipia msosi na vinywaji, nikatafuta msaada wa mhudumu kupata room nikajipigia show hadi usiku. Aisee nilikuja kujuta kwa nini nilianza na yule wa kwanza maana huyu wa pili alinifanyia mambo ya Tanga almanusura nisahau kurudi kwetu.
Oyaa kutoa Tigo A ni mzoefu kabsa bila shida?Mambo ni mengi. Kuandika uvivu sana.
Kuna Money Point moja classic hivi (Tigopesa, Mpesa, CRDB, NMB na huduma zingine zote za kifedha na kibenli) ipo karibu na ofisi yetu mjini katikati hapa DSM na ndo nnapoendaga sana kufanya miamala toka kitambo tu.
Wafanyakazi wapo mabinti wawili mmoja T, age around 25 hivi black beauty ana mwili mwili hivi na shape ipo ya kutosha na mwenzie A, age around 21 au 22, pisi ya kitanga, imenyooka balaa ipo bomba kuanzia sura, rangi, shape na urefu tatizo ina ringa ringa sana.
Sijawahi waza kutoka na hata mmoja wao so sijawahi angaika nao, ila namba zao wote nnazo coz nafanyaga miamala sana hapo hasa Tigopesa na CRDB.
Mwaka huu around mwezi wa 7 hivi nlienda pale jion nkamkuta yule mkubwa T yuko peke yake wakati ananihudumia story story nkawa namuangalia mawazo ya kishetwani yakanijia, nkamuambia leo nakutoa out mkifunga tukale diner akauliza kweli, nkajibu ndio. Nkaondoka, around saa 1 na dakika akanitext whatsapp kuwa ndo anafunga, ikabidi niende nkamchukua na kumpeleka maeneo ya coco beach, kuna sehem nzuri sana wanauza pizza na burger poa sana kwa bei za kitanzania.
Wakati tupo pale tunapiga story kusubiri msosi ikabidi tu nimtongoze, hakukua na namna. Hakukataa lakini kaanza kulalamika sijui wanaume waongo walimfanya nini na nini huko mimi nakomalia tu coz najua hapa tayari. Nkataka akanipe utelezi siku ile ile ila akazingua kuwa hajajipanga so kesho yake akitoka kazini atakuja kulala kwangu. Na ofcourse hakuzingua, kesho yake kweli nkampitia wakati wanafunga nkamkuta na yule mwenzie A, nkawasimia na story kizushi wakafunga. Tukaaagana na A kisha mimi na T tukaondoka, kwenda home na nkajilia mema ya nchi, bado papa iko poa sana, na naendelea kuyala mema ya nchi
Baada ya kuanza kumla huyu T yule mwenzie A mtanga akawa ananiita shem tu na sikupenda nizoeane nae, maisha yakawa yanasonga. Nkienda pale kupata huduma yoyote ntakayemkuta fresh ila T akawa anaendelea kuja home mara moja moja kucheza na dudu la yuyu
Mwezi wa tisa katikati hivi nkaanza kupokea text whatsapp za yule A, mwanzo ilianza salamu halafu akawa anichatisha chatisha, mimi najibu kwa tahadhari coz yule T utamu wake bado nautaka so sitaki kutengeneza evidence za kiduanzi mambo yakawa mengi.
Hiyo siku ilikua jumamoei mida ya saa 6 hivi mchana nipo na washkaji tunapiga FIFA, ukifungwa unaachia padi unasubiri zamu yako, tunavuta muda ifike mchana mchana saa 8 hivi tuende bar kula na kusubiri kuangalia mechi huku tunafyonza bia. Huyo A nachat nae kizushi, yupo kazini kwao pale peke yake, T hayupo kaenda kwenye mambo yake.
A Akaniuliza niko wapi nkamjibu nipo home akauliza kama T atakuja au nipo nae muda huo ndo maana hayupo kazini nkajibu hapana, Sina ratiba nae akasema basi atakuja yeye akifunga saa 7 na nusu, ila anaogopa, nkauliza anaogopa nini, akajibu anaogopa mimi sio kijana mzuri ntamsumbua huku ameweka vi emoji vile vya kuziba macho.
Ilivoingia hiyo text, nkaacha kujibu kwanza, nkahisi labda wananichora na T. Nkawaza nkaona potelea pwete. Nkamjibu awe na amani, nimfate au atakuja na bolt. Akasema atakuja na bolt, nkfanya muamala wa kutoa 20k tigopesa yao chap kisha nkamtext nkamuambia ndo nauli hiyo, nkamtumia na location akajibu akiwa anakuja atasema.
Tumeendelea kupiga FIFA na jamaa mpaka saa 8 na dakika tukaenda kula manzi yupo kimya tu, kuuliza naona itafanya nionekane nipo thirsty sana. Around saa 9 na dakika akantext kuwa ndo anakuja alienda wapi sijui kwanza nkajibu poa. Nkamuagizia chips na makamge ya kuku, wakati anafika bado hayajaiva so nkamuelekeza mpaka hapo kwenye hiyo sehemu nliyokua na jamaa zangu, kafika kawaka kinoma, nkampokea nkamtambulisha kwa jamaa kama shemeji yao wakamkaribisha akakaa. Kantext huo ushemeji vipi na T ndo demu wangu nkajibu kwa viemoji vya kucheka nae akacheka yakaisha. Uzuri jamaa zangu maneno mengi sana, manzi anacheka haboreki.
Msosi ulivokua tayari wakatufungia nkaenda nae home. Nmejilia mema ya nchi mpaka saa 3 hivi bila kutumia nguvu, ingawa inaonekana yupo kwenye rotation kali ya kupigwa mashine ila anajua kunyonya mashine sio poa, pia anakunjika vzuri sana na tigo anatoa ukimuandaa vizuri (hii nmejua baadae, siku ya kwanza nlikua nawaza kula papa tu).
Nmeendelea kuwala wote kila mmoja kwa muda wake ingawa T hajui kuwa na mwenzie namla. Nimekuja kujua baada ya zaidi ya mwezi kwanini yule A aliniletea uchi kirahisi vile bila hata kuomba wala kuonyesha dalili ya kuomba. Kumbe waligombana mambo yao tu ya kike, A akamind sana akatafuta jinsi ya kumkomoa mwenzie akaona njia bora ni kunipa papa, akawa anachatisha chatisha labda ntaomba au ntamtongoza lakini mimi sina habari. Ndo akaona aforce ile siku na kweli ikatiki moyo wake una amani. Alipanga anipe siku ile moja tu ila kanogewa so nkihitaji tu anaileta.
Jana jumapili ndo nimewala wote siku moja ingawa sio threesome. Asubuhi kaja T alivotoka kanisani, kafanya usafi, kaosha vyombo kachezea mashine saa 10 kaondoka. Saa 2 usiku kaja A mjuba nimeandaa mafuta tu vilainishi ameliwa kama samaki usiku kucha, asubuhi nimetoka nae, kuna sehem nimemuacha kadaka boda kwenda kazini kwao mimi nimeenda job.
Tunapigiwa sana kelele na wazazi na jamii tuoe lakini kwa style hii bado sana kuoa.
Duh kuna nyuzi zina uhai huu ni mmoja wapo, usishangae mtoto ulienae kiunoni akaja kuku reply apo ulivyomla mama yake kimasihara ,na yeye akakupa yake.Huu uzi hadi vitukuu vitaukuta.. uzi umejaa wanasoccer
Ila yule mwamba aliyemla mama wa kihindi akazawadiwa na Tv smart yule ni kiboko maninaDuh kuna nyuzi zina uhai huu ni mmoja wapo, usishangae mtoto ulienae kiunoni akaja kuku reply apo ulivyomla mama yake kimasihara ,na yeye akakupa yake.