wale waliopita 842kj mafinga . nakumbuka kuna siku kombania yetu tulienda shambani kwa mwamunyange. Ilitokea afande akatuambia tupumzike kidogo akawa ametoka kama dakika 10 hivi .ile kurudi akakuta kuruti wote tumeuchapa usingizi
Jeshini usingizi ni kitu inatafutwa kama almasi hasa kwa kuruti
842 kj ni mlale sio mafinga
 
Wkend iliyopita , mjjni haoa kulikuwa na sherehe kubwa sana kwenye kiwanja cha Gymcana, idadi ya waliohudhulia ni takribani 800.
Kutokana na nature la eneo, wazamiaji wakawa wengi sana.
Zawadi zikaanza kutolewa kama kawaida, na kwa kuwa watu ni wengi, ikabidi kamati ianze kusimamisha watu maarufu ili wakale.
Mitungi ilikuwa ya kumwaga, kocteri sio ya nchi hii, walichanganya coktel utafikiri tupo Cuba.
Kufika saa saba, watu wakaanza kuondoka ingawa zawadi zikawa zinaendelea kutolewa.
Idad kubwa ya watu ikafanya wengi tuboreke pale, nami nikajiongeza, nikasepa zangu ingawa sina usafiri.
Nafika geti la juu kabisa, nakutana na staff ninae mfahamu lakini yeye ni wa ofisi ya jirani na ofisi yetu, yeye alikuwa na gari yake.Akawa anatoka sasa mlinz nae kalewa, bi dada nae kalewa, wanaelekezana bila kupata muafaka wowote, na kupelekea watu kusogelea eneo la tukio kwa kuhisi kagonga gari ya watu.
Kama kawaida, shilawadu nami nikajongea pale kwa tukio, ndio namuona yule dada.
Nikamuita jina P2, vipi boss wangu, kwa giza lile hakunitambua, na nikaona si vyema nimsaidie pale getini kutoka.Basi nikamuomba nimssidie gari kuitoa, ndio kudogea karibu akanitambua vizuri, ohhhh kumbe Miso, huyu mlinzi fala sana , akatujana weee pale na zile pombe basi tena.

Nikamsaidia kumtoa pale getini na huku yeye amekaa siti ya abilia, mim dereva mvur sana nyakati zote, basi nikamsogeza hadi mbele eneo ambalo anaweza akaendesha kwa amani, na huku magar tukiwa tumeacha upande wa pili wa njia, maana kuna njia kubwa mbili.

P2, pole sana, sasa hapa upo mahali salama waweza endesha gari yako.Bi dada akashuka na kukaa kwenye staring...anasema sikuwa nimelewa kiivyo but mlinzi kaniboa, na kule ndani kumeniboa.Safar ikaanza, kuelekea mjini sasa.
Miso unaishi wapi....Kivunde street
Gari yako iko wapi leo, maana anajua kama nina gari.......ipo home, sikutaka kutoka nayo kwa nature ya eneo la sherehe.Akasema ulifanya akili sana.
Haoooooooo, hadi maeneo ya home, kuna geti mchwala pale, basi nikasema P2, paki hapa nyumba ile pale.Akasogea hadi getini,
Nikamshukuru pale, akasema naweza kuja wash room, nikasema sawa karibu.
Akafunga gari, nikazama ndani na P2,
Hizi nyumba ni apartment za prof mmoja hivi, maarufu sana, basi tukaingia ndani....
Mim yangu ipo kwa mwisho hivi, basi tukavuka hadi kwangu, kufika nikafungua geti akazama sebren, basi akaingia washrooom
Kipindi anatoka ndipo nikaja kuona yaliyomo yamo.Nyieee, nyiee, hizi Hips zitaniua mim, toto anapaja zuri, lililowekwa kwenye kigauni utafikir amecholwa.
8 figure na rangi ya mtume, nikasema liwalo na liwe, nikamsogelea kumwambia pole
Nikasema liwalo na liwe, yupo kwangu humu,
Nikamshika mkono, yeye anashangaa tu, nikamkarisha kwa kochi, badi nikawa namsifia pale, mara nikaanza kumpapasa mapaja...akawa haelew kinachoendelea, akawa ananusukuma fukani hivi, mim naendelea na touch tu, nikamidi speed, akajilaza kwa sofa.
Nyonya sana mate, piga fingure za kutosha, kumbe nae kitambo alikuwa kalowa.
Tukaenda chumbani.....nikamaliza gemu safi kabisa kwa heshima kabisa, sijaawangusha wadau, zana ninazo na huwa siachi kutumia hasa kwa ugeni.
Nikamtoa getini, akawasha ndinga yake akasepa.
Nimeahidiwa kupewa mechi leo j2, ya marudio , kwa ufupi kanielewa na huwa sina show mbovu.
NB
Nasubil sms yake tu kunipa timetable yake.
Sawa tumejua una gari
 
Mkuu itakuwa wewe ndio unamakosa ukusoma saikolojia yake.
Wanawake ukikosea step moja tu mwanzoni unasekwa "Friend zone" kutoka apo ufanye kaz haswa

Unakuta dem ni malaya malaya tu af unaaenda na swagga zako zakumuoa utapata tabu sana maana utavaliwa uhusika wa wife material

Ndo ile wana wanakuambia yule dem maji mara moja ila we kila ukienda wap
 
Mke wa mtu huyu ananitafutia matatizo
Screenshot_20231023-095118.jpg
 
Mambo ni mengi. Kuandika uvivu sana.

Kuna Money Point moja classic hivi (Tigopesa, Mpesa, CRDB, NMB na huduma zingine zote za kifedha na kibenli) ipo karibu na ofisi yetu mjini katikati hapa DSM na ndo nnapoendaga sana kufanya miamala toka kitambo tu.
Wafanyakazi wapo mabinti wawili mmoja T, age around 25 hivi black beauty ana mwili mwili hivi na shape ipo ya kutosha na mwenzie A, age around 21 au 22, pisi ya kitanga, imenyooka balaa ipo bomba kuanzia sura, rangi, shape na urefu tatizo ina ringa ringa sana.
Sijawahi waza kutoka na hata mmoja wao so sijawahi angaika nao, ila namba zao wote nnazo coz nafanyaga miamala sana hapo hasa Tigopesa na CRDB.
Mwaka huu around mwezi wa 7 hivi nlienda pale jion nkamkuta yule mkubwa T yuko peke yake wakati ananihudumia story story nkawa namuangalia mawazo ya kishetwani yakanijia, nkamuambia leo nakutoa out mkifunga tukale diner akauliza kweli, nkajibu ndio. Nkaondoka, around saa 1 na dakika akanitext whatsapp kuwa ndo anafunga, ikabidi niende nkamchukua na kumpeleka maeneo ya coco beach, kuna sehem nzuri sana wanauza pizza na burger poa sana kwa bei za kitanzania.
Wakati tupo pale tunapiga story kusubiri msosi ikabidi tu nimtongoze, hakukua na namna. Hakukataa lakini kaanza kulalamika sijui wanaume waongo walimfanya nini na nini huko mimi nakomalia tu coz najua hapa tayari. Nkataka akanipe utelezi siku ile ile ila akazingua kuwa hajajipanga so kesho yake akitoka kazini atakuja kulala kwangu. Na ofcourse hakuzingua, kesho yake kweli nkampitia wakati wanafunga nkamkuta na yule mwenzie A, nkawasimia na story kizushi wakafunga. Tukaaagana na A kisha mimi na T tukaondoka, kwenda home na nkajilia mema ya nchi, bado papa iko poa sana, na naendelea kuyala mema ya nchi

Baada ya kuanza kumla huyu T yule mwenzie A mtanga akawa ananiita shem tu na sikupenda nizoeane nae, maisha yakawa yanasonga. Nkienda pale kupata huduma yoyote ntakayemkuta fresh ila T akawa anaendelea kuja home mara moja moja kucheza na dudu la yuyu
Mwezi wa tisa katikati hivi nkaanza kupokea text whatsapp za yule A, mwanzo ilianza salamu halafu akawa anichatisha chatisha, mimi najibu kwa tahadhari coz yule T utamu wake bado nautaka so sitaki kutengeneza evidence za kiduanzi mambo yakawa mengi.
Hiyo siku ilikua jumamoei mida ya saa 6 hivi mchana nipo na washkaji tunapiga FIFA, ukifungwa unaachia padi unasubiri zamu yako, tunavuta muda ifike mchana mchana saa 8 hivi tuende bar kula na kusubiri kuangalia mechi huku tunafyonza bia. Huyo A nachat nae kizushi, yupo kazini kwao pale peke yake, T hayupo kaenda kwenye mambo yake.
A Akaniuliza niko wapi nkamjibu nipo home akauliza kama T atakuja au nipo nae muda huo ndo maana hayupo kazini nkajibu hapana, Sina ratiba nae akasema basi atakuja yeye akifunga saa 7 na nusu, ila anaogopa, nkauliza anaogopa nini, akajibu anaogopa mimi sio kijana mzuri ntamsumbua huku ameweka vi emoji vile vya kuziba macho.
Ilivoingia hiyo text, nkaacha kujibu kwanza, nkahisi labda wananichora na T. Nkawaza nkaona potelea pwete. Nkamjibu awe na amani, nimfate au atakuja na bolt. Akasema atakuja na bolt, nkfanya muamala wa kutoa 20k tigopesa yao chap kisha nkamtext nkamuambia ndo nauli hiyo, nkamtumia na location akajibu akiwa anakuja atasema.
Tumeendelea kupiga FIFA na jamaa mpaka saa 8 na dakika tukaenda kula manzi yupo kimya tu, kuuliza naona itafanya nionekane nipo thirsty sana. Around saa 9 na dakika akantext kuwa ndo anakuja alienda wapi sijui kwanza nkajibu poa. Nkamuagizia chips na makamge ya kuku, wakati anafika bado hayajaiva so nkamuelekeza mpaka hapo kwenye hiyo sehemu nliyokua na jamaa zangu, kafika kawaka kinoma, nkampokea nkamtambulisha kwa jamaa kama shemeji yao wakamkaribisha akakaa. Kantext huo ushemeji vipi na T ndo demu wangu nkajibu kwa viemoji vya kucheka nae akacheka yakaisha. Uzuri jamaa zangu maneno mengi sana, manzi anacheka haboreki.
Msosi ulivokua tayari wakatufungia nkaenda nae home. Nmejilia mema ya nchi mpaka saa 3 hivi bila kutumia nguvu, ingawa inaonekana yupo kwenye rotation kali ya kupigwa mashine ila anajua kunyonya mashine sio poa, pia anakunjika vzuri sana na tigo anatoa ukimuandaa vizuri (hii nmejua baadae, siku ya kwanza nlikua nawaza kula papa tu).
Nmeendelea kuwala wote kila mmoja kwa muda wake ingawa T hajui kuwa na mwenzie namla. Nimekuja kujua baada ya zaidi ya mwezi kwanini yule A aliniletea uchi kirahisi vile bila hata kuomba wala kuonyesha dalili ya kuomba. Kumbe waligombana mambo yao tu ya kike, A akamind sana akatafuta jinsi ya kumkomoa mwenzie akaona njia bora ni kunipa papa, akawa anachatisha chatisha labda ntaomba au ntamtongoza lakini mimi sina habari. Ndo akaona aforce ile siku na kweli ikatiki moyo wake una amani. Alipanga anipe siku ile moja tu ila kanogewa so nkihitaji tu anaileta.
Jana jumapili ndo nimewala wote siku moja ingawa sio threesome. Asubuhi kaja T alivotoka kanisani, kafanya usafi, kaosha vyombo kachezea mashine saa 10 kaondoka. Saa 2 usiku kaja A mjuba nimeandaa mafuta tu vilainishi ameliwa kama samaki usiku kucha, asubuhi nimetoka nae, kuna sehem nimemuacha kadaka boda kwenda kazini kwao mimi nimeenda job.
Tunapigiwa sana kelele na wazazi na jamii tuoe lakini kwa style hii bado sana kuoa.
Dah...!

Unaturahibia wake zetu WA baadae. Kwann uwageuze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom