Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Imeishaaa.

Kuna Jamaa aliwah gombana na Demu wake, akaja JF kuweka meseji anaomba mawazo, akawa kaficha namba, ila Kwa macho ya kichina kama yangu ukizoom ,zikawa zinaonekana.


Toka huo mwaka 2018 mpaka Leo, Demu wake najitafunia Kila napopata nafasi ya kuja maeneo yaleeee !!.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimejikuta nacheka vijana wa hovyo bana
 
Back
Top Bottom