Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Sikia nikwambie sina shida ndgo ndgo wala kutaka attention ya watu nimeamua nishare story yang baada ya kusoma za wengine.
Wengi wanataka niendelee hvy ngoja niwape ubuyu
Usiwasikilize vichaa brina_ wenye akili akina Sexless tunakufuatilia. Endelea na stori.
 
tukaenda sehemu tukanywa supu akaenda kutaka pesa akanipa laki 5
Uzuri unalipa sana hapa mjini.

Basi wenye sura za baba zao ambao hawajawahi kuhongwa hata laki 1 wananuna wakisoma hii stori... !!

Na ndiyo wanakutukana ati wewe ni mwanaume.
 
Mgawane vipi mufti Ahmed wakati tukisema 'ipo siku tutauzwa' mnatufukuza kwenye viti vya wenye kulamba Asali na vinono!.
Inabidi muwe na imani na mama kwani anania njema na ninyi ikitokea tukaiuza hii nchi tunachopata kitasaidia kujenga mahospitali na shule za wasichana ndio maana unaviona vikiota kama uyoga kila mkoa.
 
Back
Top Bottom