Hapa next door kuna mdada ni jiran angu…
Sasa ana dada yake anakujaga mara kwa mara namuona…
Huwa akija kila nikitoka na yeye namuona anatoka kijifanya anaosha osha hata vyombo au kudeki…
Leo nimetoka kusuuza vi glass na yeye akaja sehem ya kuoshea nilivyomaliza nikaondoka akaendelea kuosha…
Nikarud zangu ndani…Baada ya muda na yeye akarudi akaacha mlango wazi nikaona huu mtego huu nkajiongeza nikamgongea nikamwambia naomba tukae wote tupige stori akasema fresh nikazama!….
Nilivyoingia akawa anahema kwa shida mpaka nkawa namsikia… Hapo nilikuwa nimekaa kwenye kochi yeye kitandani…
Tukaongea ongea kidogo nkamwambia basi naomba nkuache ili akubali af nimwombe hug nianze harakati

… Akasema mbona mapema hivyo kaa kaa kidogo nikarud kukaa…
Baada ya muda nikamuomba nikakae nae kitandani akakubali.. Nlivyoenda tukakaa kweli tukaongea ongea baada ya km dk 5 hivi nikaanza toches akasema nisimshike na hapo hapo sim ikaingia…
Akawa anaongea na shoga ake stori zenyew za kudiss wanaume malaya


… Kwenye maongezi inaonekana kuna mla masihara


kamtongoza huyo shoga af shoga ake kaolewa…
Aisee joto la mwili lilipanda ghafla

af ukizingatia mdogo wake tunaheshimiana sana wakuu..
Nimesingizia joto nimerud chumban kwangu

.. Sitoki mpaka kesho asubuh af nawah kazini mapema sana nimechoma kambi
