Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Wakubwa habari ya kwenu,

Mimi kijana wenu nakuja mbele zenu na hitaji msaada wa haraka sana. Ni muda sasa namfukuzia demu kauzu kweli kweli na anajibu short end clear, yani hacheki wala hatabasamu, yupo serious masaa yote ila sometime anaonesha responce.

Demu nimempima sana kimasihara kila siku napokutana nae, na nimegundua anajielewa ila ndiyo kauzu hata uingize gear namba ngapi hachanganyi, sasa naombeni password ndugu zangu.

Hakika huu mwezi sitaki uishe, nimemuanza na sitaki anishinde kwa ukauzu wake na anajua kabisa nataka nini kwake ila anajikuta kauzu sana.

Mimi naamini ni rahisi sana maji kupanda mlima ukiwa na password au funguo sahihi.

Asanteni.


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Huyu manzi hataki hela mkuu, wala gari ashobokei,..

Nakumbuka nilichukua gari la msela nika enda tega njiani mida yake ya kazini nikamvizia njiani muda anaenda kazini kipindi cha mvua nika mpalift hadi kazini kwake nikajiongeza nikampa na kaela ka lunch kamsukume sukume ila hashobokei ma vitu ya anasa mkuu

Yani ni mgumu.

Nahitaji haya maji ya pande mlima ndugu yangu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ukimuona mtupie elfu 30 afu muangalie atacheka au atatabasamu
Nilisha fanya yote hayo, anapokea anasema asante alafu ana nirudishia ananiambia umenipa nimepokea na mimi na kupa nenda katumie au kaweke zitakusaidia baadae ukikataa anaziweka hata chini mkuu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Nilisha fanya yote hayo, anapokea anasema asante alafu ana nirudishia ananiambia umenipa nimepokea na mimi na kupa nenda katumie au kaweke zitakusaidia baadae ukikataa anaziweka hata chini mkuu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ngoja nisikilize NGOMA za Farid kubanda ntarud baadae kukoment.........
 
Mvizie jioni afu mbake
Imeisha hiyo.
Hapana mkuu , kwa nilivyo msoma ndiye mwanamke ninae mtaka ana sifa zote za kua mke ila ukauzu wake tuu ndiyo kizingiti yani napiga gear lakini hachanganyi kabisa mgumu kweli kweli. kumbaka naona itanishusha hadhi ya kuwa mume wake labda akikubali atoe mwenyewe

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom