Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,407
- 6,229
Uzi unakimbia speed ya radi
Huyu manzi hataki hela mkuu, wala gari ashobokei,..
Nilisha fanya yote hayo, anapokea anasema asante alafu ana nirudishia ananiambia umenipa nimepokea na mimi na kupa nenda katumie au kaweke zitakusaidia baadae ukikataa anaziweka hata chini mkuuUkimuona mtupie elfu 30 afu muangalie atacheka au atatabasamu
Mimi 32Umri wako kwanza.
Uyo kiburi nambaake s unayo lknNilisha fanya yote hayo, anapokea anasema asante alafu ana nirudishia ananiambia umenipa nimepokea na mimi na kupa nenda katumie au kaweke zitakusaidia baadae ukikataa anaziweka hata chini mkuu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Una uhakika huyo ni mwanamke???Nilisha fanya yote hayo, anapokea anasema asante alafu ana nirudishia ananiambia umenipa nimepokea na mimi na kupa nenda katumie au kaweke zitakusaidia baadae ukikataa anaziweka hata chini mkuu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Namba ninayo ila haisaidii kitu mkuu.Uyo kiburi nambaake s unayo lkn
Ngoja nisikilize NGOMA za Farid kubanda ntarud baadae kukoment.........Nilisha fanya yote hayo, anapokea anasema asante alafu ana nirudishia ananiambia umenipa nimepokea na mimi na kupa nenda katumie au kaweke zitakusaidia baadae ukikataa anaziweka hata chini mkuu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ni mwanamke na uhakika asilimia 99.Una uhakika huyo ni mwanamke???
😂😂😂😂😂 huwaga unakunywa nini lakini Evelyn SaltUna uhakika huyo ni mwanamke???
Hapana mkuu , kwa nilivyo msoma ndiye mwanamke ninae mtaka ana sifa zote za kua mke ila ukauzu wake tuu ndiyo kizingiti yani napiga gear lakini hachanganyi kabisa mgumu kweli kweli. kumbaka naona itanishusha hadhi ya kuwa mume wake labda akikubali atoe mwenyeweMvizie jioni afu mbake
Imeisha hiyo.
Weee kubaka tenaMvizie jioni afu mbake
Imeisha hiyo.