Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

PEP na HIV test havitakiwa vikosekane unapolala.

Miaka ya nyuma nilishawah kukutana na tukio kama hili kilichoniokoa ni HIV test.

Kabla ya kumlipua Mtoto wa mtu chukua extra caution, hivi vitoto vya 19 - 23 vingi vimeungua .
 
Back
Top Bottom