Picha nimeweka hapo ila Jamiiforums sijui vipiTest ya syphilis afu unasema ana ukimwi? Picha ya SD bioline iko wapi? Uni gold je
Hatari sanaNoma sana!
Basi mtoto kweli ni mdogo Sana age 23 anasema kazaliwa 2002..
kweli umechanganyikiwa😬age 23 anasema kazaliwa 2002
kwa kuchora watu uko vizuri😬Kula vizuri,fanya mazoezi ukizingatia haya utaishi kwa matumaini mtoa mada.
Sawa bosiHabari zenu
Wataalam nimekutana na mkasa huu lisaa limoja lilopita navyoongea sasa nipo Hospital nachukua dawa za PEP Mungu Mwema naamini sijapata...
Habari zenu
Wataalam nimekutana na mkasa huu lisaa limoja lilopita navyoongea sasa nipo Hospital nachukua dawa za PEP Mungu Mwema naamini sijapata...