Ulishawahi kula tunda kimasihara?
ondoa HOFU

Mimi nimetembea nao Sana ,sijawahi ambukizwa

Ukimwi wao Wala HIV

umeniudhi Sana ,hebu tazama msamiati wakutembea nao ,unamanisha Nini mwanao Vanessa ,akiusikia unataka awe anawakimbia au awaone hawafai

Fyuuuuuu ,bangadeshi mkubwa wewe ,usirudie nawao niwatu ,lakini hapa huna wanao wote ni wakuu

Unaogopa Nini kusema umemkaza/umemumbususu au umefanya nae tendo la ndoa!
 
Wakubwa habari ya kwenu,

Mimi kijana wenu nakuja mbele zenu na hitaji msaada wa haraka sana. Ni muda sasa namfukuzia demu kauzu kweli kweli na anajibu short end clear, yani hacheki wala hatabasamu, yupo serious masaa yote ila sometime anaonesha responce.

Demu nimempima sana kimasihara kila siku napokutana nae, na nimegundua anajielewa ila ndiyo kauzu hata uingize gear namba ngapi hachanganyi, sasa naombeni password ndugu zangu.

Hakika huu mwezi sitaki uishe, nimemuanza na sitaki anishinde kwa ukauzu wake na anajua kabisa nataka nini kwake ila anajikuta kauzu sana.

Mimi naamini ni rahisi sana maji kupanda mlima ukiwa na password au funguo sahihi.

Asanteni.


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Tafuta hela
 
NIMESEMWA SANA NA MADOKTA YAANI NIMESEMWA KAMA MTOTO AISEE WANACHO NILAUMU KWA NINI UPIME BAADA YA TENDO WAKATI ILITAKIWA KABLA YA TENDO.

KIJISAHAU KUPO NDO NILICHOJITETEA NAJUTA AISEE UNASEMWA HUKU UNAPEWA NA ELIMU YA DAWA PEP HAHAH NAONDOKA NACHEKA ILA MOYONI SINA AMANI KABISA WAKUU.

NIMETOKA KUOSHA UUME NA SPIRIT NASUBILI MUDA UFIKE NILE NINYWE PEP YANGU NILALE.

ASANTE WOTE MNAONIPA MOYO AJALI KAZINI... PIA ASANTENI WOTE MNAOKEBEI HILI ATA MIMI NILIKEBEI HIVYO HIVYO ILA MUNGU LEO KANIPA FUNDISHO MOJA KUU SANA.

NACHO WASISITIZA WATAALAM TUPIMENI AFYA, HAWA MADEMU WADOGO WADOGO WENGI WAMEUNGUA SABABU WENGI WAO WANATEMBEA NA WAZEE WALIOTANGULIA KULIONA JUA KABLA YAO HIVYO WANAAMBUKIZWA TU BILA WAO KUJIJUA.

NAWAPENDA SANA KESHO NITATOA MREJESHO WA MAUDHI YA PEP BAADA YA KUNYWA LEO.

ASANTE
Nani amekuambia uoshe mashine na spirit??.


Unapomaliza kumwaga shahawa, chakwanza kwanza, ingia bafuni jimwagie maji kwenye mashine uondoe maji maji yote ya ukeni.


Kuna wapuuzi wanamwaga ,wanaendelea kumtuliza mbooo Kwa K alafu baadae wanatoa mbooo nje, wanajifuta 🤣🤣...mtaondoka!!.


Ukishamwaga tu, wee usisubiri , mida huohuo , toa Mboo nje, ingia bafuni, jimwagie maji , USITUMIE SABUNI WALA NN.


HIV anatumia karibia Masaa 72 ( siku tatu ) ili kupata Seli zinazomsaidia yeye kujizalisha.

Kwa Masaa haya 72 HIV atakua anazunguka kule na kule kuzitafuta zeli hizo, akishaingia tu basi, hata PEP hafai tenaa.


Hivo basi kwakua umewahi mapema, PEP itamfanya kazi Kwan bado HIV Yuko kwenye muda wa kuzunguka huko na huko kutafuta makazi ya kuanza kuzaliana .


Kunywa PEP, kula ushibe.

Najua mwezi mzima, hautakua unalala vizuri, ndoto za ajabu, kuhisi unapaa, kuhisi unaitwa itwa, tumbo **** ,kichefu chefu, haya yote ni maudhi ya Dawa ambayo HAUNA BUDI ZAIDI YA KUVUMILIA.


Tombeni sanaaa, kuleni sana masihara, ila ila ila KONDOM NI MUHIM.


Siku mkijiuliza kwann sahizi Kila Kona Kuna MATAKO MAKUBWA, ndo mtajua kua ARVs ni nyingi na zimezigaa mtaani!!.


Mimi pamoja na uhuni woteeee, ulaji tunda Kimasihara sanaaaa, Kondomu Huwa ni lazima, hata tupime, lazima nikutombe Kwa ndomu.


Kuna watu wanachelewa kua Seropositive , Hawa unakuta Ndani ya miezi miwili mpaka minne au sita, wanasoma negative, lkn ni watu ambao ni highly infectious yaan wenyewe wanasoma hawana HIV ila Sasa wanakuaa na kiwango Kikubwa sana Cha HIV kwahiyo wanaambukiza kwelikweli yaan ni kugusa tu paaaa, unaondoka nao.
 
Huyu manzi hataki hela mkuu, wala gari ashobokei,..

Nakumbuka nilichukua gari la msela nika enda tega njiani mida yake ya kazini nikamvizia njiani muda anaenda kazini kipindi cha mvua nika mpalift hadi kazini kwake nikajiongeza nikampa na kaela ka lunch kamsukume sukume ila hashobokei ma vitu ya anasa mkuu

Yani ni mgumu.

Nahitaji haya maji ya pande mlima ndugu yangu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hakuna mwanamke /mwanaume asiyependa hela.

Hapo usikute ulimpa buku ten mwenyewe ukahisi umetoa pesa ya maana.

Ongeza ongeza kibunda uone kama ataruka.
 
Back
Top Bottom