Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Na ww shoga una mambo mengi.....kwaakili yako labda nilizaa na mwanaume mpaka yy ndio anitafute?
Nawee unajibu kwa hasira hizo vipi? Sasa ulivyo eleza kana kwamba mjeshi kajua ni mtoto wako wee, ila kwakua alimlea yeye ndo akakuomba umuachie usisumbue, kheeeeh unawaza ujinga tyuuh mda wotee.

Acha kujistukiaaaa lol
 
Daaah nimeshindwa cha kukomenti broo, sijui hata nikusifie au nifanyaje. Yaan ikiwa we mwenyewe huwezi kujilaumu wala kujipongeza juu ya hilo.
Kuna time inakua ngumu kuamua i wish ungeendelea nae, lkn ni mke wa mtu utapoteza future yako. Mtoto ni damu yako ungeweza kumdai na kisheria ungempata, lkn ukifikiria zaidi either uharibu maisha yake, maisha yako au ya mtoto, au familia yako na yake zote ziharibike mara 1.
Kumuacha mtoto ni uamuzi mzuri, na mm ningeshauri umuachie tu, lkn natamani kama ungeweka ukaribu kidogo na mtoto aanze kukufahamu. Akiwa mtu mzima anaweza kuambiwa kua wewe ndo baba yake.
Yaani watu wamtunze mtoto then yeye aje aambiwe kuwa huyu ndo baba yako? Na atakuwa proud kwamba mimi ni baba yako🤔🤔-- What a shame.
 
Mkuu hata ww hii TOM FORD OUD WOOD ulikuwa unatumia copy yake na sio OG, Kwasababu original yake inaanzia 500,000/=.

USA: from 190$
Canada: from 390$
South korea: from 206$

Hii ni premium perfume, copy yake ndo inacheza kwenye 200K-300k

Kwa madiba master copy ni tsh370,000+
 

Attachments

  • Screenshot_20230322-184805.png
    Screenshot_20230322-184805.png
    250.8 KB · Views: 66
Unakuja na ID mbilimbili kima wewe ndio fk21 naona upo sirias teteteeee
Sorry mzee, nahic umechanga hiyo ID nyingine ya fk21 sio yangu brother. Ila kama nilikosea kukomement kwenye post au nimekoment kitu usichokipenda am so sorry.
Ila kama umeni attack kwa sababu ya ya ID ya Fk21 mm sio mmiliki wa hiyo account. Unaweza kuzicheki zote utagundua ni tofauti. Na sijawahi kukoment kejeli mzee. Ukisoma vzr hiyo comment yangu wala haikuitaji ugomvu. Ukipost watu wana comment.
 
Mkuu samahani jamaa hapo unamfahamu nini?...mbona naona amecomment tu ushauri mzuri ila umemjia juu hivyo au mlishakutana kwenye kona zenu
M wala sifahamiani nae na wala sijawahi kujibizana nae mahali popote kanifanisha na ID nyingine. Then ukinifuatilia utahundua kua sina majibu ya hovyo kwa watu wala post zangu za huku jf hua hazizungumzii maisha ya watu direct.
 
Back
Top Bottom