cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,129
Nawee unajibu kwa hasira hizo vipi? Sasa ulivyo eleza kana kwamba mjeshi kajua ni mtoto wako wee, ila kwakua alimlea yeye ndo akakuomba umuachie usisumbue, kheeeeh unawaza ujinga tyuuh mda wotee.Na ww shoga una mambo mengi.....kwaakili yako labda nilizaa na mwanaume mpaka yy ndio anitafute?
Acha kujistukiaaaa lol








