Mwaka 2013 nikiwa mwaka wa pili chuo x,Kuna sehemu nilkua naenda kupiga



ilkua kama supermarket Fulani hivi ina vitu vingiii sana pombe aina zote,vyakula nk.alikua anauza mdada mzuriii wa sura,umbo, chocolate color na wafnyakazi wawili wa kike
cku hiyo nimeenda nimeagiza bia naanza kunywa mvua ikaanza kunyesha,,
Kuna rafiki yake alikua mfanyakazi wa chuo alikuepo hapo,,huyo mdada
Mwenye duka alikua anataka namba yangu sasa ikabidi ajifanye kuazima simu yangu akaandika namba yangu kwenye simu yake akajipigia akarudisha cm yangu
Akanza kunitumia meseji eti uyu nae sijui anataka Nini apa SI aende
Mimi:Kwa Nini unataka aende lakini SI rafiki Yako huyu
Mdada:huyu mbea mbea sana mi ata simpendi siku hizi
Nikaacha kumtumia meseji,nikajua anachotaka ili nijue anataka Nini akajua sina sms akatuma ten apoapo nikajibu Asante,mara rafiki yake akaondoka
Akaniuliza unakula nini nkamwambia Chochote akaniagizia mchemsho wa kuku
Nikaaga Ile naondoka akaniambia tuondoke wote mwenyewe anataka kufunga ofisi,tukiwa njiani mdogomdogo stori Kwa sana nikamuuliza unaishi na nani akasema anaishi na wafnyakazi na mdogo wake wa kike,nikatest kushika Tako kimya,kugusa titi katulia mkono nikauingiza kiunoni mara mkono ndani ya punani,,tumbua mvimbo akaanza kuhema juujuuu nkamwambia tusogee mbele kidogo Kuna Giza,
akakubali wee nikainua sketi juu nkaifyatua mboo njeee,,nikamuinamisha mboo ndaniii Tako kadhaaa wazungu haoooo
Nikamuaga mabusu ya kutosha uyooo chuoni
Simu zikawa hapa Kwa hapa mara meseji umekula, nakuagizia chakula boda anatumwa msosi umefika
Nikaanza kunywa bia Bure,akawa ananihonga sana pesa ,akaniwekea bill restaurant Fulani
Restaurant alikua anamiliki mdada nae akaanza shobo hakunivutia sikumshobokea
Kilichonishangaza sijawahi kumtombea guest alikataa ikabidi nitafute rafiki kitaa nikawa naenda kumla huko,uyo jamaa mwenyewe hajawahi kumuona uyo demu Hadi Leo hii natoa Siri show zilikua za usiku
Nilikua na home boy wangu ndio alikua anajua iyo Siri demu ni mzuri ana hela Hakua na mambo mengi kwangu nitachomwambia kinafanyika,
Kumbe alikua ana mume wake jamaa alikua mtu wa safari sana mara japani,marekani,Dubai kama kutoka Moro to dar
Nkamuuliza yule mdada kwa Nini akunambia kama kaolewa akasema alikua anataka mtoto tu kwangu Kwakua nina muonekano kama mume wake hakutaka doubt za walimwengu
na mumewe kizazi kaweka kwenye Mali wakinga kiboko,yy hataki kufa akiwa Hana mtoto,akaomba iwe Siri yangu akaniuliza mrngoswe sh ngapi nikupe nikamuambia usinipe pesa Nina dada zangu nyumbani hivo nakuona kama wao tyu
Nikakaa mbali na yule mdada kwa kipindi nilichokua nimebakiza pale chuoni,
Namshukuru niliishi vizuri sana alifanya baadhi mambo yangu yaende vizuri baada ya kumaliza chuo alinipa connection za kutosha Kwa kua alikua ana jina mjini
Kuna rafiki yangu aliniambia mrngoswe pale uliacha damu yako
Nikajipanga nikasafiri Hadi hio sehemu nikamkuta bidada yupo ofisini kama kawaida alishtuka sana alitamani kumficha mtoto lkn nilikua nishafika tayari,mtoto wa kike kafanana na dada zangu, nkamuuliza mtoto wa nani akasema tu ukweli wako
Nikamuambia kua na amani mtoto huyo ni zawadi Yako nimekupa siwezi kumdai Wewe ni mke wa mtu,nitaharibu maisha ya mtoto na yako hakuna faida nitayopata
Kuna vitu nikikumbuka uwa najivunia lkn hili tukio nkikumbukaga huwa sijivunii Chochote
Siyo Kila mwanamke anayekutaka kakupenda wengne wanataka mbegu tu
Mke wa mtu sumu
Karibuni



kama nimekosea uandishi mniwie radhi wadau wa kula kimasihara
Nawasilisha wadauu