Mr Miyagi
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 935
- 1,668
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya sasa tuko kwenye phase nyingine ya bei za perfume,.
Mie yangu ni Bluemen 6k tu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya sasa tuko kwenye phase nyingine ya bei za perfume,.
Mie yangu ni Bluemen 6k tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan lazima uhamaki?? Si ujibu tyuuh.Nna mashaka na vitu viwili Afya yako ya akili na Uanaume wako [emoji419][emoji375]
Sorry mzee, nahic umechanga hiyo ID nyingine ya fk21 sio yangu brother. Ila kama nilikosea kukomement kwenye post au nimekoment kitu usichokipenda am so sorry.Unakuja na ID mbilimbili [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kima wewe ndio fk21 naona upo sirias teteteeee
Oyaa mzee huku ni jf na ni uzi wa kuburudika ila kuniambia nina akili mgando hapo umenikosea mkuu, hatujawahi kujibizana nyuma wala mahali popote. Cjui nimekosea wapi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] iyo ni experience ya maisha yangu,Cha kunishauri huna wewe Kwa akili Yako mgando hiyo,maji ushakunywa lkn???tuliza temper
M wala sifahamiani nae na wala sijawahi kujibizana nae mahali popote kanifanisha na ID nyingine. Then ukinifuatilia utahundua kua sina majibu ya hovyo kwa watu wala post zangu za huku jf hua hazizungumzii maisha ya watu direct.Mkuu samahani jamaa hapo unamfahamu nini?...mbona naona amecomment tu ushauri mzuri ila umemjia juu hivyo au mlishakutana kwenye kona zenu
Siwez kuhamak hamak ovyo mim Yan nmejbu hku nme relax..kwasabab natambua Who I am..📌[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan lazima uhamaki?? Si ujibu tyuuh.
Wabongo bhana kwaa unafiki, mkiguswa sasa mnavoruka km motoo wa kifuu.
Ouk relaaaaaxxxx sasa.Siwez kuhamak hamak ovyo mim Yan nmejbu hku nme relax..kwasabab natambua Who I am..[emoji419]
How many times??? While Still ama Always Do😎Ouk relaaaaaxxxx sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Who cares??How many times??? While Still ama Always Do[emoji41]
Mkuu pole , mwenyewe jamaa kanisikitisha maana umemwambia madini ye kakujia juuM wala sifahamiani nae na wala sijawahi kujibizana nae mahali popote kanifanisha na ID nyingine. Then ukinifuatilia utahundua kua sina majibu ya hovyo kwa watu wala post zangu za huku jf hua hazizungumzii maisha ya watu direct.
Kawaida tu mkuu, cjui alifikiria kitu gani. Ila angeweza kukoment kawaida tu na ningemuelewa.Mkuu pole , mwenyewe jamaa kanisikitisha maana umemwambia madini ye kakujia juu
Sio mwanaume huyo mkuu ni jike anajifanya tu ni mwanaume ila sio hivyo mkuuuNna mashaka na vitu viwili Afya yako ya akili na Uanaume wako 📌🔨
Daaah 🤐🤐🤐🤐 basi tu 🤣😅Who cares??
Aaah unamaanish nn mkuu?? Kwamba Panapitika au..Sio mwanaume huyo mkuu ni jike anajifanya tu ni mwanaume ila sio hivyo mkuuu
Simple Nobly..Even I, Suprisly Dont😎Who cares??
Huyo ni demu mkuuu sema tu ni wale ambao wanapenda kutetea mashoga na wanawakubaliAaah unamaanish nn mkuu?? Kwamba Panapitika au..
Uzuri na ww umo 😁😁😁😁Wote mliokoment huu uzi kama moto wa milele upo basi mkachomwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nnDaaah [emoji850][emoji850][emoji850][emoji850] basi tu [emoji1787][emoji28]
Jinsi unavyocheza na akili za watu humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nn