Nimeitafuta mpaka nikaipata.
Kuna mwaka niliekaga mdada flani hivi baada ya kumtongoza kimasihara maana alikuwaga nje ya hospitali niliyokuwa nafanya kazi. Nakumbuka siku natopiga piga tu story na dada huyo nilikuwa sina ata mambo ya kumtongoza.
Wazo likanijia baada ya kunisimuliaga wanaume anaowakataa,, mimi nikamuuliza na waliomtomba. Akajichekesha chekesha nikaomba namba. Siku zikaenda nikajaribu kumuomba mchezo akazingua. Siku moja namuomba mchezo akaniambia kwamba nije usiku ila iwe ni siri yetu.
Siku tunatiana nilishangaa kuona kitu.... alikuwa anahamizuka balaa nikahisi labda yuko kwenye ovulation.
Kesho tukaachana asubuhi,, naja kushangaa ana mimba wala ata anitafuti wala nini! Mtoto akazaliwa mimi nikawa namuona tu wala ata anisumbui matunzo ya mtoto.
Mwisho nikaja jua ana mume wake ila alitaka mbegu yangu kwa sababu mie mchagga.
Alichokisema Kalamaganda ni ukweli mtupo.
View attachment 2562534