Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Aaah unamaanish nn mkuu?? Kwamba Panapitika au..
Huyo ni demu mkuuu sema tu ni wale ambao wanapenda kutetea mashoga na wanawakubali

anatimiza miaka 23 mwaka huuu
yupo udsm coet mwaka wa mwisho huu
A level kapiga mazinde juuu hapo tanga PCM

Hivyo ni mwanamke maneno yake kwenye keyboard yasikutishe nishamsoma long tu 🎹
 
Huyo ni demu mkuuu sema tu ni wale ambao wanapenda kutetea mashoga na wanawakubali

anatimiza miaka 23 mwaka huuu
yupo udsm coet mwaka wa mwisho huu
A level kapiga mazinde juuu hapo tanga PCM

Hivyo ni mwanamke maneno yake kwenye keyboard yasikutishe nishamsoma long tu 🎹
Duuh Aisee Una INFO nduguu..mi skumjua tu km ni demu ila kuptia comments zke mi nlisham soma n mtu mwny hulka gan..Anacheza na Upper Barz Asiyoijua...anaonekn ana minato ya SUPER GLUE Eh😎
 
Duuh Aisee Una INFO nduguu..mi skumjua tu km ni demu ila kuptia comments zke mi nlisham soma n mtu mwny hulka gan..Anacheza na Upper Barz Asiyoijua...anaonekn ana minato ya SUPER GLUE Eh😎
Mmh cheki baadhi ya nyuzi zake kwanzia 2019 utaweza kuconnect dot vizuri tu

Sema watu wanafikiri ni shogz ila labda lesbian wa kike ila jinsia ni ke

Yupo hapa kwa lengo lake maalumu la kutetea mashoga pia inawezekana wakina melo na mods wanaweza kuungnishwa hapa

N. B cheki zile pics za juzi za jf

Hivyo huwezi jua 😳😳😳

Ni rahisi sana kumsoma mtu kupitia threads na comment zake in a given amount of time
 
2016 kuna mdada nikimtia mimba akakimbia nayo akaenda kuolewa na mjeshi....sikuthubutu hata kunyanyua domo. By 2021, nikatumiwa picha ya mtoto, kwa namba ngeni, kumbe ni mosha mwenyewe....akaniomba nimuachie tu na nimbariki mtoto asije pata matatizo...... nikampa baraka zote, wanaishi vizuri sasahivi, nawaonaga tu status wako mbugani wanakula bata.
One of a kind 1️⃣1️⃣
 
Oyaa mzee huku ni jf na ni uzi wa kuburudika ila kuniambia nina akili mgando hapo umenikosea mkuu, hatujawahi kujibizana nyuma wala mahali popote. Cjui nimekosea wapi.
Nisamehe chief Kuna ID kama nne zilinifuata pm zmefanana kinoma nilikua nishavurugana nazo,,,,am so sorry
 
Mmh cheki baadhi ya nyuzi zake kwanzia 2019 utaweza kuconnect dot vizuri tu

Sema watu wanafikiri ni shogz ila labda lesbian wa kike ila jinsia ni ke

Yupo hapa kwa lengo lake maalumu la kutetea mashoga pia inawezekana wakina melo na mods wanaweza kuungnishwa hapa

N. B cheki zile pics za juzi za jf

Hivyo huwezi jua 😳😳😳

Ni rahisi sana kumsoma mtu kupitia threads na comment zake in a given amount of time
Sikuwahi kumfuatilia ila Kunijibu kwake ki minato kumefany nchukue almost 5 completely minutes kuingia kwny Mindset yake kutak kumjua ni NANI HUYU...always ama Dont care but when It need to Dont, I Do Instead📌
 
Back
Top Bottom