Leo asubuhi nilitoka kwenda kipata supu pale Nyuki, nikapokea msg ya bwa shemeji ambaye ndo anamuoa Pendo Jumamosi. Hakua na stori anaulizia tu advance ya mpiga picha tunatakiwa kulipa sh ngapi maana mm ndo nipo kwenye hoyo kamati.
Nikamjibu then nikamwambia anatakiwa arelax so baadae tuonane tupate moja moto moja baridi, kasema poa. So mida ya saa tisa hii naonana na mshkaji mitaa ya Sinza.
Mimi nimeshafika, ni baa moja iko na mandhari poa na private, then ina vyumba vya kulala wenyeji kwa ndani. Sasa shetani kanipa Idea hapa, maana mlango wa kuingia vyumbani ni tofauti na huku garden tutakako kaa na mshikaji, sasa akili inanikataza kabisa kumuita Pendo, ila mwili sasa unanilazimisha. Dah. Ngoja tuone itakavyokua maana hii vita ya mwili na akili sijui nani atashinda.
Kwa uzoefu nilioupata nikiwa Kariakoo kutoka Kwa wafanyabiashara mbalimbali na kutumia uzoefu wangu mwenyewe wa kuagiza mizigo kutoka China kuja Tz kama wew Ndio unaanza Kwa mara ya kwanza kabisa kutaka ku export China to Tz na unaanza kabisa biashara Njia Bora zaidi ni kuaza kununua mzigo pale pale kariakoo au kwenda Nairobi Kenya kununua Kwa wauzaji wakubwa wanaouza jumla Kwa wafanyabiashara mbalimbali
Tuseme unataka kuaza kuagiza boxer za kiume na vesti zake au labda bags like ponaso,Marcelo.jaribu kutafta wazoefu na soko la kariakoo wakusaidie kupata wauzaji wa jumla ununue mzigo kidogo kidogo uaze taratibu kuuza ukitafuta jina na ukiaza process za wew kujua ABC za kusafirisha mzigo kutoa China kuja Bongo zinakuaje
Mfano kitu ambacho inabidi utambue mzigo kutoa China kuja Tanzania unachukua muda gani had kufika usije kufanya haraka kulipa Kodi frame halafu unategemea mzigo utoke China Ndio uaze kuuza itakula upande wako