Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mkuu leta visa hata niwe nasoma pekee yangu ambae muandiko haumuwezi aache aanze kusoma za miaka ya nyuma mbona ziko nyingi

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Dah Hakikaa Mkuu nimekupata kwa Moja na Moja Namba..Aise umenena hapo kn Pages 1k na somethings back anaweza zirejea taratibu akihisi tunamuumizia macho..💪
 
Kwan Walio nyanduriwa ni dada zako wa Damu??? Unaumia ukiwa pande za wapii na ushamba mwingi ulonao? Au ni udogo wa elimu? We ulivyo pigiwa makofi kwa kuandika Dictation nzuri juz darasa la 4 ndo unaona ushamaliza maisha unakuj kukosoa watu ambao wana elimu zao ila uzito wa kuandik kw kufuata alama na wepesi wa kuwahi muda kw kuandika vifupi ndo unahis hawajasoma...Fuckin Chicken Head..! Watoto mko weng sana kwny huu Uzi..Im out📌
Kwa mwandiko huu pia unaonekana nawe ndo walewale, una elimu ndogo kijana usipimane na mimi. Kajifunze kubishana kwa Hoja ndo uje tena
 
Oya, Huu Uzi ni matukio ya kula tunda ,matukio yanasamuliwa , Mwandishi anaweza asiwe mzuri kiuamdishi ila anatukio lake.



sasa mtu anapoweka tukio la masihara, achen tabia ya kuanza kushambulia Mwandiko wake.

jikiteni kwenye tukio la kula tunda .


tafadhalini sana, msifanye watu wakaacha kuleta visa vyako .



Wahusika wa Huu Uzi ,mnaelewa maana Huu Uzi, Sina uhakika kama Uzi umevamiwa au lah? Mnaotaka Mwandiko mzuri, mwenden jukwaa lenu la Elimu
Huu uzi ni burudani.. Unapoleta kisa hakikisha unatuburudisha.. Siyo unaandika andika tu, bora ubaki na masihara yako.
 
Wakuu habari, nilitaka kuwasahau wana Jf wenzangu.

Nitakua nawapostia katika uzi huu vitu tofauti tofauti used tu na kwa bei sawa na bure.

Najua pia humu kuna vijana wenzangu wanaoanza maisha, kuna watu ambao uchumi wao haujakaa vizuri hivyo wangehitaji vitu kwa bei ya chini, pia kuna wale wanabana matumizi, kuna wale wanahitaji ila vya dukani bei imesimama sana, basi hapa ndio soko lenu. Takua napost unaangalia unachopenda na unapata. Asanteni wote mlionitumia vitu na wengi vishauzika tayari. Hivyo kama pia unacho unachotaka kuuza (used) njoo tukiuze boss.
 
Wakuu habari, nilitaka kuwasahau wana Jf wenzangu.

Nitakua nawapostia katika uzi huu vitu tofauti tofauti used tu na kwa bei sawa na bure.

Najua pia humu kuna vijana wenzangu wanaoanza maisha, kuna watu ambao uchumi wao haujakaa vizuri hivyo wangehitaji vitu kwa bei ya chini, pia kuna wale wanabana matumizi, kuna wale wanahitaji ila vya dukani bei imesimama sana, basi hapa ndio soko lenu. Takua napost unaangalia unachopenda na unapata. Asanteni wote mlionitumia vitu na wengi vishauzika tayari. Hivyo kama pia unacho unachotaka kuuza (used) njoo tukiuze boss.
Huku ni kimasikhara bosi
 
Wakuu habari, nilitaka kuwasahau wana Jf wenzangu.

Nitakua nawapostia katika uzi huu vitu tofauti tofauti used tu na kwa bei sawa na bure.

Najua pia humu kuna vijana wenzangu wanaoanza maisha, kuna watu ambao uchumi wao haujakaa vizuri hivyo wangehitaji vitu kwa bei ya chini, pia kuna wale wanabana matumizi, kuna wale wanahitaji ila vya dukani bei imesimama sana, basi hapa ndio soko lenu. Takua napost unaangalia unachopenda na unapata. Asanteni wote mlionitumia vitu na wengi vishauzika tayari. Hivyo kama pia unacho unachotaka kuuza (used) njoo tukiuze boss.
Kuna uzi wake, pia unaweza kuanzisha uzi wako mkuu usiharibu uzi mkuu?
 
Wakuu habari, nilitaka kuwasahau wana Jf wenzangu.

Nitakua nawapostia katika uzi huu vitu tofauti tofauti used tu na kwa bei sawa na bure.

Najua pia humu kuna vijana wenzangu wanaoanza maisha, kuna watu ambao uchumi wao haujakaa vizuri hivyo wangehitaji vitu kwa bei ya chini, pia kuna wale wanabana matumizi, kuna wale wanahitaji ila vya dukani bei imesimama sana, basi hapa ndio soko lenu. Takua napost unaangalia unachopenda na unapata. Asanteni wote mlionitumia vitu na wengi vishauzika tayari. Hivyo kama pia unacho unachotaka kuuza (used) njoo tukiuze boss.
Kuna Jukwaa la Biashara Mkuu huko ni Mahsusi kwa ajili ya kutangaza Biashara yako.
Nenda kapost huko apa tuachie Masihara yetu wala usituchanganyie Mambo. Ahsante
 
Wakuu habari, nilitaka kuwasahau wana Jf wenzangu.

Nitakua nawapostia katika uzi huu vitu tofauti tofauti used tu na kwa bei sawa na bure.

Najua pia humu kuna vijana wenzangu wanaoanza maisha, kuna watu ambao uchumi wao haujakaa vizuri hivyo wangehitaji vitu kwa bei ya chini, pia kuna wale wanabana matumizi, kuna wale wanahitaji ila vya dukani bei imesimama sana, basi hapa ndio soko lenu. Takua napost unaangalia unachopenda na unapata. Asanteni wote mlionitumia vitu na wengi vishauzika tayari. Hivyo kama pia unacho unachotaka kuuza (used) njoo tukiuze boss.

Nenda jukwaa la biashara na uchumi utatukuta pia huku ukipost biashara tunamuomba moderator akulambe ban ya nguvu.
 
Nipe ujuzi mkuu tunatumia zipi?....kunazile nyekundu nilitumia zikaisha.....ikabidi niongeze dume hapo dukani chapu...?kwanza ww unaweza kupiga bao tano?
Hapana mkuu, siwezi kupiga bao tano. Nina uwezo wa kupiga bao mbili tu lakini nikadumu kwenye kifua cha mwanamke kwa masaa sita hadi nane

Achana na manailoni, unamsababishia michubuko na allergy mpenzi wako. Siku nyingine tumia Rough Rider au Durex

Sawa mjukuu wangu?
 
Back
Top Bottom