Walec
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,364
- 3,401
Yani hawataki kukubali ukweli kabisa,wanawaona ni kama wameshushwa kutokea Jupiter vile [emoji23]Jamaa zinahisi Wanawake ni Malaika. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani hawataki kukubali ukweli kabisa,wanawaona ni kama wameshushwa kutokea Jupiter vile [emoji23]Jamaa zinahisi Wanawake ni Malaika. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akikupa nistue[emoji23]Nipe namba ya Demu wako, alafu usimjuze chochote.
Haijalishi Yuko wapi, nitakuletea Screenshots za meseji .
Ndo utajua una Mke au Vp!!
Oya Wee [emoji23][emoji119][emoji119]Hahaha, Mzee umeongea kijasusi kama agent wa KGB[emoji1787]
Acha ushamba, toa hiyo picha. Mbona unakuwa kama umeanza mapenzi juzi. Sio sifa bali unamzalilisha huyo mwanamkeHapa nimaliza nina njaa kinoma...hizo kilo sio mchezo...singida oyeeeView attachment 2545973
Weee msengeeez kwenye picha Huwa hatufanyi ivi.Hapa nimaliza nina njaa kinoma...hizo kilo sio mchezo...singida oyeeeView attachment 2545973
Mwambieee babuuuuuNa huyo mwanamke wa mtu ana moyo wakuchat na wanaume za watu vile vile,au hujaona hilo? [emoji23]
Jambo zuri kukutana na mtu wa eneo langu,kazi iendeleeKumbe wa nyumban kabisa mm nipo Tunduma mkuu
Mtu asiyejua Wanawake walivyo, lazima aone ni maajabu kinomaaaOyaa kwaiyo huamini au? Ndio wanawake walivyo sio swala la jamaa kujichatisha,,kwanini hamtaki kukubali kua hawa viumbe ni wepesi? [emoji23]
Wao wanahisi Wanawake ni MalaikaYani hawataki kukubali ukweli kabisa,wanawaona ni kama wameshushwa kutokea Jupiter vile [emoji23]
Poa nimeifuta mwananguAcha ushamba, toa hiyo picha. Mbona unakuwa kama umeanza mapenzi juzi. Sio sifa bali unamzalilisha huyo mwanamke
Mwamba umenimind kichiz....nimefuta mwananguWeee msengeeez kwenye picha Huwa hatufanyi ivi.
Huyo ni rahisi kujulikana ,mavazi na body hiyo
Hapo sawa Kamandaa ,kazi iendeleeMwamba umenimind kichiz....nimefuta mwanangu
Hapa nipo cha nneH
Hapo sawa Kamandaa ,kazi iendelee
Apo vidonge vya PEP unapata ndani ya masaa 72 baada ya kujamiiana na mtu unaemuhisi ni muathirika au ni muathirika kweli ukienda Hospital za Govt unapimwa kwanza then unapewa hivyo vidonge ambavyo ni Arv kabisa unatumia kwa muda wa 30days ukimaliza unatakiwa kupima tena HIV/AiDs.PrEP unakunywa kama upo kweny mazingura hatarishi ya kupata HIV(Before Contact) mfano kama hvo unataka kusex na mwenye maambukiz, au unatumia dawa za kulevya, au wanaojiuza
but PEP zinatumika baada ya kua contact na HIV(After)
....... PEP unakunywa (NDANI YA) masaa 72 baada ya kujamiiana na mtu unaemuhisi ni muathirika au ni muathirika kweli...........Apo PEP unakunywa masaa 72 baada ya kujamiiana na mtu unaemuhisi ni muathirika au ni muathirika kweli ukienda Hospital za Govt unapimwa kwanza then unapewa hivyo vidonge ambavyo ni Arv kabisa unatumia kwa muda wa 30days ukimaliza unatakiwa kupima tena HIV/AiDs.
Nmetumia mara mbili mwaka jana mpaka leo kichupa cha dawa ninacho gheto,Mkidonge wake ni mkubwa kisenge japo unaumeza mmoja lakini sio mchezo..
WASHKAJI TUMIENI KINGA MAISHA YA KUMEZA DAWA SHIDA SANA..
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Nimeshaedit apo ni nilitaka kusema vidonge unavipata ndani ya 72hrs after kumnyoosha/kunyooshwa na muathirika....... PEP unakunywa (NDANI YA) masaa 72 baada ya kujamiiana na mtu unaemuhisi ni muathirika au ni muathirika kweli...........
Mkuu kama wewe ni mtalaam wa Afya naomba kuuliza, hivi Kuna baadhi ya watu hawawezi kuambukizwa virus vya UKIMWI?Apo vidonge vya PEP unapata ndani ya masaa 72 baada ya kujamiiana na mtu unaemuhisi ni muathirika au ni muathirika kweli ukienda Hospital za Govt unapimwa kwanza then unapewa hivyo vidonge ambavyo ni Arv kabisa unatumia kwa muda wa 30days ukimaliza unatakiwa kupima tena HIV/AiDs.
Nmetumia mara mbili mwaka jana mpaka leo kichupa cha dawa ninacho gheto,Mkidonge wake ni mkubwa kisenge japo unaumeza mmoja lakini sio mchezo..
WASHKAJI TUMIENI KINGA MAISHA YA KUMEZA DAWA SHIDA SANA..
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Kwanza me sio mtaalamu wa afya ila kuna doctor aliwahi nambia kuna group la damu wao hawaumwiumwi ovyo na pia damu zao zpo strong si rahisi kupatapata magonjwa hao O(-ive) sijui (+ive) na alisema wapo wachache sana ila kwenye suala la kuambukizwa UKiMWi sijajua ilo.Mkuu kama wewe ni mtalaam wa Afya naomba kuuliza, hivi Kuna baadhi ya watu hawawezi kuambukizwa virus vya UKIMWI?
Sawa mkuu, basi ngoja niendelee na utafiti wanguKwanza me sio mtaalamu wa afya ila kuna doctor aliwahi nambia kuna group la damu wao hawaumwiumwi ovyo na pia damu zao zpo strong si rahisi kupatapata magonjwa hao O(-ive) sijui (+ive) na alisema wapo wachache sana ila kwenye suala la kuambukizwa UKiMWi sijajua ilo.
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Chondechilonde usiendelee huku ukiwa unapiga kavu kila manzi.Sawa mkuu, basi ngoja niendelee na utafiti wangu