Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,826
- 11,647
Apo vidonge vya PEP unapata ndani ya masaa 72 baada ya kujamiiana na mtu unaemuhisi ni muathirika au ni muathirika kweli ukienda Hospital za Govt unapimwa kwanza then unapewa hivyo vidonge ambavyo ni Arv kabisa unatumia kwa muda wa 30days ukimaliza unatakiwa kupima tena HIV/AiDs.PrEP unakunywa kama upo kweny mazingura hatarishi ya kupata HIV(Before Contact) mfano kama hvo unataka kusex na mwenye maambukiz, au unatumia dawa za kulevya, au wanaojiuza
but PEP zinatumika baada ya kua contact na HIV(After)
Nmetumia mara mbili mwaka jana mpaka leo kichupa cha dawa ninacho gheto,Mkidonge wake ni mkubwa kisenge japo unaumeza mmoja lakini sio mchezo..
WASHKAJI TUMIENI KINGA MAISHA YA KUMEZA DAWA SHIDA SANA..
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
