Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

PrEP unakunywa kama upo kweny mazingura hatarishi ya kupata HIV(Before Contact) mfano kama hvo unataka kusex na mwenye maambukiz, au unatumia dawa za kulevya, au wanaojiuza
but PEP zinatumika baada ya kua contact na HIV(After)
Apo vidonge vya PEP unapata ndani ya masaa 72 baada ya kujamiiana na mtu unaemuhisi ni muathirika au ni muathirika kweli ukienda Hospital za Govt unapimwa kwanza then unapewa hivyo vidonge ambavyo ni Arv kabisa unatumia kwa muda wa 30days ukimaliza unatakiwa kupima tena HIV/AiDs.

Nmetumia mara mbili mwaka jana mpaka leo kichupa cha dawa ninacho gheto,Mkidonge wake ni mkubwa kisenge japo unaumeza mmoja lakini sio mchezo..

WASHKAJI TUMIENI KINGA MAISHA YA KUMEZA DAWA SHIDA SANA..

Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
 
Apo PEP unakunywa masaa 72 baada ya kujamiiana na mtu unaemuhisi ni muathirika au ni muathirika kweli ukienda Hospital za Govt unapimwa kwanza then unapewa hivyo vidonge ambavyo ni Arv kabisa unatumia kwa muda wa 30days ukimaliza unatakiwa kupima tena HIV/AiDs.

Nmetumia mara mbili mwaka jana mpaka leo kichupa cha dawa ninacho gheto,Mkidonge wake ni mkubwa kisenge japo unaumeza mmoja lakini sio mchezo..

WASHKAJI TUMIENI KINGA MAISHA YA KUMEZA DAWA SHIDA SANA..

Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
....... PEP unakunywa (NDANI YA) masaa 72 baada ya kujamiiana na mtu unaemuhisi ni muathirika au ni muathirika kweli...........
 
Apo vidonge vya PEP unapata ndani ya masaa 72 baada ya kujamiiana na mtu unaemuhisi ni muathirika au ni muathirika kweli ukienda Hospital za Govt unapimwa kwanza then unapewa hivyo vidonge ambavyo ni Arv kabisa unatumia kwa muda wa 30days ukimaliza unatakiwa kupima tena HIV/AiDs.

Nmetumia mara mbili mwaka jana mpaka leo kichupa cha dawa ninacho gheto,Mkidonge wake ni mkubwa kisenge japo unaumeza mmoja lakini sio mchezo..

WASHKAJI TUMIENI KINGA MAISHA YA KUMEZA DAWA SHIDA SANA..

Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Mkuu kama wewe ni mtalaam wa Afya naomba kuuliza, hivi Kuna baadhi ya watu hawawezi kuambukizwa virus vya UKIMWI?
 
Mkuu kama wewe ni mtalaam wa Afya naomba kuuliza, hivi Kuna baadhi ya watu hawawezi kuambukizwa virus vya UKIMWI?
Kwanza me sio mtaalamu wa afya ila kuna doctor aliwahi nambia kuna group la damu wao hawaumwiumwi ovyo na pia damu zao zpo strong si rahisi kupatapata magonjwa hao O(-ive) sijui (+ive) na alisema wapo wachache sana ila kwenye suala la kuambukizwa UKiMWi sijajua ilo.

Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza me sio mtaalamu wa afya ila kuna doctor aliwahi nambia kuna group la damu wao hawaumwiumwi ovyo na pia damu zao zpo strong si rahisi kupatapata magonjwa hao O(-ive) sijui (+ive) na alisema wapo wachache sana ila kwenye suala la kuambukizwa UKiMWi sijajua ilo.

Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu, basi ngoja niendelee na utafiti wangu
 
Mkuu kama wewe ni mtalaam wa Afya naomba kuuliza, hivi Kuna baadhi ya watu hawawezi kuambukizwa virus vya UKIMWI?
WAPO

Wana ulemavu katika CD4 receptors zao!! Hawapati kamwe na hawa ndio hutumia kutibu watu HIV (Kama unasikia sijui Ujerumani kuna mtu kapona HIV) ndio huwa wanawatumia hawa katika tiba inaitwa Steam cells Transpalantation
 
Jana saaa tisa na nusu usiku, napata sms whataps , wazee wa Gb whataps mnajua, nilikuwa online lakin huwez niona kama nipo online, (Hide)
Kaka mambo, naitwa ......., ......., ....nipo dar naomba niwe tafiki yako, kwa kuchat na kuview status,
Profile demu mkali kinoma, Nikasena haya majaribu haya.

Ngoja tuone.....nin kitatokea
Hapo hnaandakiwa kupigwa bonge la mzinga ,na mara nyjngjne ni wanaume wanaweka dp za kike
 
WAPO

Wana ulemavu katika CD4 receptors zao!! Hawapati kamwe na hawa ndio hutumia kutibu watu HIV (Kama unasikia sijui Ujerumani kuna mtu kapona HIV) ndio huwa wanawatumia hawa katika tiba inaitwa Steam cells Transpalantation
Hii ya ujerumani nimeisikia
 
Kidogo siku moja ningekamwatwaga hapo na mke wa mtu.
20230311_191643.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza me sio mtaalamu wa afya ila kuna doctor aliwahi nambia kuna group la damu wao hawaumwiumwi ovyo na pia damu zao zpo strong si rahisi kupatapata magonjwa hao O(-ive) sijui (+ive) na alisema wapo wachache sana ila kwenye suala la kuambukizwa UKiMWi sijajua ilo.

Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
O wanasifika bure, uliza hbr za AB, kwanza hawawezi kufa kisa kukosa damu. Ni universal recipient.
 
Apo vidonge vya PEP unapata ndani ya masaa 72 baada ya kujamiiana na mtu unaemuhisi ni muathirika au ni muathirika kweli ukienda Hospital za Govt unapimwa kwanza then unapewa hivyo vidonge ambavyo ni Arv kabisa unatumia kwa muda wa 30days ukimaliza unatakiwa kupima tena HIV/AiDs.

Nmetumia mara mbili mwaka jana mpaka leo kichupa cha dawa ninacho gheto,Mkidonge wake ni mkubwa kisenge japo unaumeza mmoja lakini sio mchezo..

WASHKAJI TUMIENI KINGA MAISHA YA KUMEZA DAWA SHIDA SANA..

Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Hivi zile PEP ni ARV?
 
Back
Top Bottom