Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

ndo sisi sisi kwel wa mtaani,ila wewe jamaa sijui hata kitu gani kinakufanya ujiamini
Wewe wahisi nakitu gan Cha kunifanya nijiamin?.

Mwanadam anatakiwa ajiamin kutokea Ndani ya Moyo wako, sio Kwa sababu ana hiki Wala kile ...what if vikiondoka?.

Kwa mantiki hiyo kuna Moja ya Bidada ni ana cheo cha kuchaguliwa na Saa100, ila navyomplekesha Sasa !!

Akinletea ujinga, namchana, Baki na cheo chako, na Kila kitu chako, Sikutakiiii!!.... Alafu Sasa, sijawah hata muomba Mia, ni Mimi tu Mara Kadhaa nimempelekea hiki, nmenunulia hiki, nimesuprise na hiki basi anafurahi !!.


Atanibembeleza kuanzia Asubuh mpaka kesho yake .


As A Man ,ni lazima ujiamin no matter what .

Wengine watahisi kisa Mimi ni Daktari, Noooooop !!!! Kuna Ma Daktari wengi alafu waogaaaaa Sanaa ,wengine mpaka wastue Pombe ndo anakua na Ujasiri !!.

Ukweli nikwamba, Mwanaume lazima ujiamin katika Kila jambo, sio tu Mahusiano.

Hata Ivo Mimi ni keusiiiiii macho kama mjapan , kembamba ,Huwa najikuta modoo ila ukweli ni wembamba tuu 😂😂😂
 
Mbona hawaonyeshagi we umejuaje mkuu au kwa vile umewala sana una experience sio
Ndio sababu nmesema ,ukiwajuaa .

Mwanamke yoyote hapendi kuzungumza Ngono kwasababu Wanawake Cha kwanza

1--Hapendi kuonekana Malaya
2---Kama ni Mke wamtu hapendi umshobokee kimapenzi au yeye akuonyeshe anataka mashine mbele ya macho ya jamii.

Lkn ukiwakuta kwenye Maisha Yao ya pekeao, Jitoe ufaham, muingizie Maneno ya Ngono.

anaweza jifanye kukutukana ila wee komaa
 
Huyu hapana aiseeee yani K anaiombaa chap kwa haraka hazunguki...
Women wants to be desired and attention .

Sasa unatakiwa ucheze na akili zao chapchap Kwa mitongozo itakayompa attention wakati huohuo unaamsha Hisia za mapenzi Ndani yake ., Mchocheeeee sanaaaa hiyo hali, hata kama UMEKUTANA NAYE SAA SABA MCHANA, mchocheeeee weeeeeee alafu Anza kukuomba Mzigo.. na umuombe Kwa maneno ya wazi wazi... ....

Sasa nahamu yakuma yako, tunafanyaje??.
 
leo na mimi naona ni.muda rasmi wa kutoa story yangu jinsi nilikula tunda la mlokole kimasila.

Story ipo hivii...

Asee kama mnavyojuq bado nipo dodoma asa kuna jirani hapa ninapo fanyia kazi ni mlokole tena yule wa "tenda neno shika neno"

Siku moja TV yake kidogo ilizingua kama mida kama ya saa 11 hivi jioni..kama unavyojua nikiwa sehemu mbali na mji wangu huwa najifanya mpole mno..asee sijui Ali jichanganya nini kuniita nimsaidie kutengeneza TV yake.

Namnukuu"samahani kaka naomba unisaidie kidogo TV yangu haitoi sauti..kuna mtoto wa mchungaji huwa ananirekebishia naona leo hayupo kabisa maeneo haya...

Kidume mwenye sura ya upole matendo ya mandingo.. nikamwambia"usiwaze sister dikika sifuri tu natatua" kumbuka mimi ni fundi wa mambo ya computer so nikaona jambo dogo tu kwangu...

Kweli TV ikatengenezwa huku yeye anakorofisha jikoni ah! dkk 10 nying nikawa nishatengeneza... mara naskia "ahsante kaka yesu akubariki ila subiri chakula kaka" kwel mlokole yule alivyo mrembo nikasema hapa leo kitaumana...ah

Msosi ukaletwa(pilau mixer na mapochopocho kama yote) huku na yeye akiwa na salani yke ya chakula kumbuka tulikuwa tumekaa kochi moja pale kwenye sebule...tukala na kumaliza

Ah si akanambia subiri chakula kishuke ah!ile lilikuwa kosa kubwa kwangu kunipa upenyo ule legendary...story zikapamba

La haula! Bahati mbaya nisiguse paja nini daah asee ata sijui ilikuwa n isia gani...akawa ananiangalia tu...kidume kujiongeza nikagusa mtindi imoo mtoto Ana niangalia tu..nikapima oil mtoto ananiangalia tu alikuwa kama kapogwa na butwaa hivy

Ah fasta sikutaka kuchelewa nikamvua kiblauz kile akabaki na pichu...aha nikaona kama nachelewa nikaongia mkunyenge huku pichu ikiwa ipo haijavuliwa aha aseee yule mlokole alikuwa anajoto balaaa

Nikapiga viwili vizito...nikavaa huyooo daah sikuamini mana yule dada alikuwa mlokole hasaaa mtaani wadau wote walikuwa wanamuona ukoma na alikuwa mzuri mnoo...naisi alikuwa analiwa na mchungaji tuu

Siamini dada mlokole kula tunda lako kimasiala tena hata sikutupia swaga ubarikiwe...sana

Nb:walokole nao wananyege tuache kuwaogopa vijana wanalika hata kimasiala
Nakumbuka sna miwani yangu nilio sahau kwenye seble yako mpe mchungaji avae
Hahahahahhha...umenikumbusha mlokole wangu hadi shanga anavaaa, anasema hizi kwa ajili ya kurekebisha kiuno, mtoto ana K tamu na inabana, anachoniboa ni mlokole wa mizinga, anapiga mizinga kishenzi
 

Jana nipo job nikasoma hii ya Carlos The Jackal , nilivyorudi mtaani jioni nikafanya majaribio kuchukua namba za simu...nikapata mbili kimasihara kabisa......nikaomba na **** kimasihara mmoja akasema nimtafute leo maana mmewe leo anasafiri....heheheehehhee​


Leo nimechukua namba kwa kisu flani mpaka waliogundua walishangaa sana.

Tupo kwenye foleni ikaja Ndinga pembeni yangu anaomba achomeke aingie road upande wangu wa kushoto. Sasa mie vioo nilishusha yeye akaniomba huku hajashusha vioo anakula AC but vioo vyake havina tinted. Nikakubali huku nasubiri gari zisogee.

Akashukuru nae akawa anasubiri gari zisogee nami namchora tu. Demu ana sura nzuri yule hatari muonekano wake kama mke mdogo wa Mengi vile. Sasa sijui umbo lake huko but reception ni kisu hatari. Ndinga yake kwa thamani ni mara 4 zaidi kulinganisha na ya kwangu.

Nikawaza mbinu za kivita nikapiga honi anganiangalia nikawa naongea nae hasikii ikabidi ashushe vioo nikamwambia naomba namba yako please. Akataja 07......... nikamtext akajibu Okay.

Kuna jamaa walikuwa pembeni yangu wanaangalia kinachoendelea mpaka nakamilisha wakawa wananicheka tu.

Dada kama unasoma huku basi you are so beautiful . Tutayajenga
 
Hahahahahhha...umenikumbusha mlokole wangu hadi shanga anavaaa, anasema hizi kwa ajili ya kurekebisha kiuno, mtoto ana K tamu na inabana, anachoniboa ni mlokole wa mizinga, anapiga mizinga kishenzi
Hahahah ety mlokole wa mizinga
 
Mbinu za Carlos The Jackal zinafanya kazi sana, tena kama upo serious zinafanya kazi sana tu. Sema wengine tushajichokea na uzee huu ni michosho tu ila zinafanya kazi vizuri kabisa.

One day one time nilijaribu kwenye public transport, hadi nashuka mbezi mwisho i was guaranteed. Sema nilivyofika home nikafuta na namba...ucheshi, unadhifu, chagua maneno mazuri yasiyokera, jiamini...kipapa utakikula tu.
 
Mbinu za Carlos The Jackal zinafanya kazi sana, tena kama upo serious zinafanya kazi sana tu. Sema wengine tushajichokea na uzee huu ni michosho tu ila zinafanya kazi vizuri kabisa. One day one time nilijaribu kwenye public transport, hadi nashuka mbezi mwisho i was guaranteed. Sema nilivyofika home nikafuta na namba...ucheshi, unadhifu, chagua maneno mazuri yasiyokera, jiamini...kipapa utakikula tu.
Tatizo Vijana hawajiamini.

Kuna Bidada ,Boss Mmoja hivi pisii kinyama, watu wanamuogopa,

Yule Bidada wakati naanza naye mazoea nikawa Nampa mastori yangu ya kihuni.

Akajilipokesha... unajua nn Carlos, Yaan unaweza muona mwanamke ni Boss, Mzurii sana, ukaogopa kumtongozaa, kumbe hataaa mwenzio naye anataman kupendwa.


Hao ndo Wanawake !! Kwenye kuongea naye wee kua simpooo simpooo
 
Back
Top Bottom