ndo sisi sisi kwel wa mtaani,ila wewe jamaa sijui hata kitu gani kinakufanya ujiamini
Wewe wahisi nakitu gan Cha kunifanya nijiamin?.
Mwanadam anatakiwa ajiamin kutokea Ndani ya Moyo wako, sio Kwa sababu ana hiki Wala kile ...what if vikiondoka?.
Kwa mantiki hiyo kuna Moja ya Bidada ni ana cheo cha kuchaguliwa na Saa100, ila navyomplekesha Sasa !!
Akinletea ujinga, namchana, Baki na cheo chako, na Kila kitu chako, Sikutakiiii!!.... Alafu Sasa, sijawah hata muomba Mia, ni Mimi tu Mara Kadhaa nimempelekea hiki, nmenunulia hiki, nimesuprise na hiki basi anafurahi !!.
Atanibembeleza kuanzia Asubuh mpaka kesho yake .
As A Man ,ni lazima ujiamin no matter what .
Wengine watahisi kisa Mimi ni Daktari, Noooooop !!!! Kuna Ma Daktari wengi alafu waogaaaaa Sanaa ,wengine mpaka wastue Pombe ndo anakua na Ujasiri !!.
Ukweli nikwamba, Mwanaume lazima ujiamin katika Kila jambo, sio tu Mahusiano.
Hata Ivo Mimi ni keusiiiiii macho kama mjapan , kembamba ,Huwa najikuta modoo ila ukweli ni wembamba tuu 😂😂😂