Ulishawahi kula tunda kimasihara?
kuna yule jamaa alitafuna chizi akaweka ahadi ataleta muendelelezo!

bado tunamsubiria[emoji23][emoji23]
Anaseam yule hakuwa chizi ni "kipepeo" wa idara...kasema amecpigwa stop kuendeleza mada ile!
 
Ngoja nami nitupie yangu
Ni mwezi uliopita nilikua nasimamia workshop Fulani vijijini. Sasa katika kijiji Kimoja kuna document nilisahau ikabidi niombe mmoja katika niliokua nawasimamia anitumie kupitia WhatsApp. Sasa kuna Bint mmoja mbichi hivi ndiyo alitumia simu yake kunitumia, nikasave namba yake, baada ya siku mbili tukaanza kuchat kawaida akanikaribisha kwake weekend.
Nikampanga nitakwenda jmosi moja tulivu. Siku hiyo nikafika mitaa ya kwao na kumcheki akaja kunipokea tukazama gheto kwake. Baada ya muda akaja na vinywaji na bites tukaendelea na story kidogo wakati wote sikua na wazo la kumla.
Nilianza kupata hisia Kali za kumtamani aliponiaga anaoga Mara moja nimsubir sebureni , dah Alitoka bafuni na taulo kisha akaniambia karibu kuoga, nikaona huu sasa ni utani, nizama chumbani na kuanza kutouch sana romance za kutosha mwisho nikalala hapo hapo na kupiga mechi safi kabisa, hadi leo huwa najilia
 
Back
Top Bottom