Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Wikiendi moja tulivu na ngumu kiuchumi nikiwa home, simu ya mwana inaita anadai tutoke kumbe mfukoni ana 20k tu ( nilijua baada ya kuna home ).

Kafika magheto nikamgomea kutoka baada ya kuona uhalisia wa wallet yake ila later ushawishi unanishinda tunaamua kutoka kuelekea kiwanja G20 .

UBARIKIWE SANA KIJANA WA WAZIRI FLANI SIMTAJI KWA KUUNDA HIO APP YA SIMBANKING YA CRDB.

Tumefika maeneo mwamba kaagiza bia za 10k tukaanza piga mdogo mdogo , ghafla simu yake inaita anaamua kuondoka kwa miadi kua atarudi soon .

Pepo la pombe linaniingia mwilini ghafla na kuikumbuka crdb simbanking naingia upande wa salary advance navuta Tsh laki moja kamili.Nikiwa na bia ya mwisho kutoka kwa zile mjuba alizonunua namuona mdada mzuri na mrembo akiwasili eneo la kiwanja upande wa chakula .Sikujua ni boss wa eneo la vyakula pale baa kwa mda huo kwani nilihisi si type yangu kwa mwonekano wake na nilivyo.

Mwamba anarudi mkaoni na kuonesha kwa kila hali kua anamjua binti vizuri kutokana na kumsalimia kwa kumuita jina lake.Katika kumdodosa sana mwamba ndipo nilipogundua kua yule ni boss wa eneo lile na pale kaenda kukagua tu ofisi kwani ilikua ndio imeanza.Haukupita muda ndipo binti wa watu aliamua kujumuika mkaoni kwa kukaa meza jirani na yangu huku akiagiza Amarula moja na kuanza kuinywa kwa madaha sana. Nikaanza kuingiwa na kiburi cha fedha kua hapa nifanye shoo kali ilinijipatie namba tu kwa huyu mtoto alafu vipengele vingine nivimalize siku zingine.

Baada ya bia kuisha nikaagiza kuku nusu portion 3 .ikiwa mbili ni zetu na moja nikamdedicate yule Mdada. Kiukweli nikaanza ingiwa na hofu baada ya kuona Amarula moja imenyweka zaidi ya nusu saa .

Kwa ufupi mjuba alipoamua kuagiza bia zingine kwa lile ten lake nikatoa wazo la kua tupige kvant tu kwani uhakika wa nyama nishautoa ili kuepuka gharama kitu kilichonishangaza zaidi ni hoja hii kuungwa kwa asilimia zote na mrembo yule.

Tuliamua kujumuika meza moja ila mjuba akikua akifosi aonekane yeye ndio kinara pale isitoshe tulienda na STK na yeye ndio alikua suka.Hua sipendi kufosi kugombania dem ninapoona kuna ushindani hivo jf ikawa inanikosha huku nasukuma kvanf mdo mdo kabisa.

Kosa la kiufundi alilolifanya binti ni kutoa simu yake akataka apige selfie kuweka kumbukumbu ya tukio lile la bata.Simu yake haikua na uwezo mzuri wa kupiga picha na alionesha hali flani ya kujistukia.
ALipomaliza nikaamua makusudi kutoa xiaomi yangu ikiwa na na gcam yake na kumuomba binti atusaidie kuweka kumbukumbu kcamp ushukuliwe kwa uzi wako chalii.
Alipopiga picha moja tu ndani ya ile simu ( redmi note 8T moonlight white), akaomba nimpige picha kadhaa pia ba nilifanya hivo.
Aliomba nimtumie kwa njia ya BT ila nilikataa kua zitapoteza ubora hivo nimtumie kwa njia ya whatsap( hapa mshajua mchawi aliekua akiwindwa ni namba tu).

Nilipewa namba kiulaini kabisa na mda huo sikumtumia kwa kigezo kua simu haina bundle ila tukaendelea kuitafuna kvant kupitia uhisani mkubwa wa salary advance.
Kuna mda rikiboy ukanijia kichwani nikajisemea acha nianze kufikiria namna bora ya kula au kutongoza kimasikhara , nilikua najikuta inferior sana kwake japo nilishagundua ni mtu wa tabaka la chini kiuchumi.

Kupitia laini yangu ya ttcl ( ambayo mpaka leo inatumiwa na mrembo huyo na hataki mawasiliano nami tena), nikaamua kumtumia ujumbe mfupi wa maandishi kua , "Japo haikua dhamira yangu ila najikuta mikono inakufa ganzi please naomba unisindikize chooni ukanisaidie kufungua zipu niweze kupata haja ndogo".

Ile sms haikujibiwa kama dakika kumi hivi ndipo nikajibiwa kua mbona hutangulii sasa au unataka watu wote wajue kinachoendelea hapa?
Jamani jamani nikainuka nikaelekea msalani ( ni eneo la kiuchochoro flani hivi na choo ni kimoja mnashea jinsia zote .Ni kibaa cha mtaa tu wadau.Nafika eneo husika nakojoa fasta kisha namrudisha Athuman kichwa wazi ndani ya kaptula ( Dickies ), ndipo binti anafika bila aibu anaivamia zipu na kunifungua kaptula na kisha kufungua boksa ili niweze kukojoa.

Alipomtoa mdudu akasogea pemben eti ashuhudie zoezi zima , kwa kua nilishachuja mkojo haukutoka nikaanza kumwambia ni hofu ilioniingia labda aushike ndio mkojo utatoka. Alikataa kisha akasepa nami nikaamua kurudi nae mkaoni.

Kvant baada ya kua imeisha binti akasema tusinunue tena tuendelee na lite tu ( hakujua ndio anazidisha kulewa kwani tayari ndani ya masaa mawili hivi anaenda kumix vinywaji vitatu.

NIkamrext tena kua awamu hii naomba nikakunyonye k tu kwa uzuri wako kwani umeanza kurembua na macho yanaanza nivutia najua huezi nipa k niku toe mba mwilini.

Tulienda pamoja na tulipofika tukapiga romance na kupewa kimoja cha nguvu kabisa yaani kisha tukarudi eneo la tukio. Mwamba alikua mpole sana kwani mda huo hata hela ya maji tu alikosa .Binti aliomba tena nikapige bao jingine na tulienda tena awamu hii tulikaa zaidi ya nusu saa na tuliporudi mjuba hatukumkuta ila kwa kua usiku ulikua umeingia tulijificha kwa giza tukaendelea kulewa na kutomasana kama wapenzi wa mda mrefu.

Ilifika mda nikaomba binti nikalale nae guest akagoma akasema kama hujatosheka twende nikakupe tena na nilienda nikato ..mba tena cha tatu.

Siri ya kuchukuliwa laini yangu ilikua ni kwamba baada ya kushindwa kukojoa ile tripu ya kwanza tulipoenda chooni , kuna mda nilijifanya naperuz x kwa kuficha ( makusudi ) kumbe alikua ananichora na zinatia genye .

Kwa hio baada ya kukaa gizani tuliamua kabisa kumtizama Moriah Mills full HD na ndipo akasema kama line ina mb nyingi nimpe kidogo akafanye kazi moja kesho atairejesha .Sikua na hiyana kwani nilikua napewa tu na mwanangu mmoja zile zenye staff bundle hivo nikampa .
Asubuhi ninafika kazini kinyonge kuna mmaza mmoja hivi tumezoea sana kuongea nae mambo ya ngono aliniuliza nikamwambia kuna binti kanisuprise jana akauliza je una ushahidi wowote hapo nikamwambia nina picha zake.

Kmmake kumbe binti ametokea uchagani baada ya kukaa mda mrefu akaamua kuja kutest fursa kusini n yule maza mtu mzima ni dadake tumbo moja kabisa .Kwa mda huo mmaza hakusema ila mda mfupi tu binti alinitumia meseji kua nipunguze mapepe na umbea nimeharibu kaambiwa akajitegmeee au ahamie kwangu kwani nimemla kizembe mno
 
Soon naleta kisa kingine .jinsi kukwama kwa parcel yangu kutoka aliexpress ( nilikin case ya simu tajwa hapo juu) ilivyonifanya nianze kumla kimasikhara binti mmoja na kudumu nae miaka miwili kwa mahusiano kabla sijaleta hii ya leo
Screenshot_20230129-232459_Messages.jpg
 
Nipo nimempeleka jamaa yangu Lodge flan ivi mitaa ya tmk ..kufika reception kuna demu pisi kali sana..jamaa yangu kashazama room na manzi yake niko hapa na huyu demu wa reception .Gafla nikakumbuka huu uzi wa kula kimasihara mpaka sasa naona nnaongoza kwa 70% lazima nimtafune..
Mission ikikamilika ntaleta mrejesho.

Basi bana Acha niendelee na mrejesho ilivokua jamaa yangu alivozama room na demu wake nikawa nimebak pale reception na yule dada wa mapokez cheupe moja moja matata sana ana maziwa mazur kama embe dodo ..Kamwili simple kama dj sinyorita (senorita) mm sio muumini wa matako makubwa..nafikiri sinyorita alivo mnamjua..

Basi bana nikaanza kumchombeza pale namwambia jamaa yangu yupo ndani anafaid tuu mm nimekaa hapa kinyonge na yy yupo,akacheka. Akanambia si uondoke? Nikamwambia naondokaje na watu nje wakiniona nimetokea humu watajua tu nimetoka kula mzigo kitu ambacho sijafanya hivo..

Akasema kwani ni dhambi kuingia humu ? Na hujatenda dhambi.. nikamwambia ni bora nitende dhambi yenyewe kuliko kutoka hivo na watu wanione.

Nikamwambia kitèndo tu cha mm kutoka humu Lodge mtu yeyote akiniona anajua kabisa nimetoka kurusha maji..kuchakata mbususu .nikamwambia ni bora nifanye hiyo dhambi hata nikitoka watu wakiniona najua haitaniuma ..kuliko kutoka watu wanajua nimetoka kula mzigo kumbe nimepeleka tu mtu..

Basi bana kati nimekaa pale naongea nae kuna watu wakawa wametoka kufanya yao. Akanambia anaenda kufanyia usafi hicho chumba kilichotumika nikamwambia mm ntaenda kukusaidia kudeki.

Akajibu kama unataka twende, Huku chini abdala kichwa wazi alikua ashaanza fujo kitambo..

Tukatoka pale tukaingia kwenye kila chumba akawa anatoa yale mashuka gafla nikamsogelea nikampapasa akawa ametulia ananambia nimwache afanye kazi mm nikawa simjibu nikawa naendelea kumpapasa kiuoni kushuka kwenye hips mana nilisimama kwa nyuma yake.

Nilivokua nampapasa akawa ameduwaa pale na mm nikaongeza mashambulizi nikawa namchezea hadi maziwa akawa anahema tuu .
Alikua kavaa Kigauni flani na chupi tuu nikawa nimefanikiwa kuingizia mkono kwenye mbususu napima oil naona kitu imelowa balaa..

Namgeuza hivi akanambia kama unataka lipia chumba hapa kuna camera boss wake anaeza akaja akachek ikawa noma ..nikamwambia poa nikaenda chumba kingine nikawa namsubiri amalize usafi nikazama kule nikamwambi ukija uje n condom ..

Basi bana baada ya dk 5 mtt huyu hapa katimba na kitabu nikaandikisha pale akanambia ngoja ajimwagie maji chap . Alivotoka kuoga sikutaka maneno mengi nikawa nishavaa zana kabisa..

Kilichoendelea hapo nilipiga shoo moja kama dk 10 hivi nikamwaga mzigo..

Kwa kweli yule Bibie ana mbususu mnato sana na mtelezo.. Basi bana pale chumba ni elfu 25 nikawa nimetoa 40k. Hiyo ingine nikamwabia ni yake akanambia poa nikamwambia siondoki natoka tu nje kumsubir jamaa yangu

Uzur mmoja pembeni kulikua na ki pub moja matata sana nikamwambia naenda kumwagilia moyo pale .akanambia na mm nakunywa serengeti lite.

Kufika pale nikamwagizia 3.. nikawa nimekaa pale ila no yake nilichukua ..
Nimepiga kama bia 3 pale nikamwambia nataka nirud tena akanambia poa nikarud tena nikapiga kingine..Nikarud tena kwenye kile ki pub..

Nikaendelea kugonga vyombo ..bibie nikamwagizia zingine mbili..
Baada ya muda nikamchek tena nikarud nikapiga ..So nikajikuta nimekula kimasihara bao 3 kiulainii tuu.. Basi bana kati naondoka gari nilipak kwa mbali na nilivotokA ilikua kigiza kimeanza akanisindikiza ..basi bana kaona vanguard number E ni ananisumbua balaa anapiga hapa wala simpokelei.

N.B..Jamaa yangu nilimkataa sabab sikutaka ajue kama nimemla huyu dem. Huo ndo mrejesho wangu wa jana..
 
Uzi wa kimasihara ulivyonipa mbususu kimasihara.

PART 1

Mimi ni miongoni mwa wale tunaosoma huu uzi na kuondoka. Leo ngoja niwape kisa kilichotokea na uzi huu ukaokoa jahazi.
Niko zangu airport na mwanangu mmoja nimemsindikiza anasafiri,sasa tuliwahi sana kufika so tukawa tumekaa pale ndani airport tunapiga stori mbilitatu kuhusu safari yake kabla ya mwana kwenda kucheck in. Pembeni yetu kulikuwa na maza mmoja na demu mmoja mkali kinoma.Sitaandika sifa za uyo demu sijui yuko hivi yuko vile ila nawaambia mtoto ni mkali sana.At first mimi sikuwa nimewaona sababu niligeuka flani hivi nimewapa mgongo, huyo mwanangu ndo akanishtua oya geuka nyuma kiaina kuna demu mkali sana dizaini yupo na maza wake,nikatafuta timing ya kugeuka na kuangalia,lahaula! Nikamuona yule mtoto alivyo mkali basi Kama nikachachawa hivi nikasimama.Sababu nilisimama ghafla ikanibidi nizuge kwenda kwenye dirisha la foreign exchange,nikazingua kuulizauliza exchange rates nikarudi kwenye viti pale. Yule mwanangu akaniambia dizaini demu kakupagawisha tuliza kichwa uangalie jinsi ya kupata hata namba.Basi tena stori pale zikawa zishavurugika tunamjadili uyo demu tu.Baada ya muda tukaagana na mshkaji huyoo akaenda zake kucheck in,mimi nikabaki pekeyangu pale nausoma mchezo kujua yule demu na maza wake kama nao ni wasafiri au mmoja wao ndo anasafiri au wamendikiza mtu. Ila nikiangalia muonekano dizaini maza ndo anaonekana kisafarisafari,basi nipo nazugazuga na simu yangu pale mara paap kweli bwana naona wanainuka demu anakokota begi maza katangulia mbele,mstari wa kuingia check in ulishaanza na watu wachache maza akaunga nyuma yao.Wakaagana pale na binti kisha nikaona binti huyoo anarudi kukaa palepale walipokuwa mwanzo, dizaini alikuwa anasubiria mpaka maza aingie ndani kabisa.Yani mimi mpaka muda huo nimeganda namuangalia yule demu na kila kinachoendelea, yani kuna muda ananiangalia anakuta mi namtizama kila akigeukia kwangu anakuta mi nimemtolea macho tu( nikikutwaga na hali hiyo ya kuganda namuangalia demu basi ujue apo mbinu zote za kiutongozaji zinayeyuka kichwani kwangu).Basi baada ya yule maza kuingia ndani nikamuona yule mtoto nae huyoo anainuka anaondoka, daah yani na utu uzima wangu bado nikawa kama nimepigwa ganzi hivi nimeganda sielewi cha kufanya,ghafla nikajikuta nimeinuka namfata anapoelekea, tukatoka nje ya airport kuelekea parking za magari ye mbele mi nyuma.Nikasema apa mtumzima mtoto anaweza kuniponyoka hivihivi hata namba sijachukua HAPO SASA NDO UZI WA KIMASIHARA ULIPOFANYA KAZI.


PART 2

Nikamkimbilia kwa nikawa mbele yake huku nimemgeukia yani yeye anaendelea na mwendo mdogomdogo na mimi niko mbele yake tunatizama ila huku nikirudi kinyumenyume taratibu nisidondoke. Nikaanza

Mimi: Hello mambo

Mrembo: Am fine how are you

Mimi: Mbona nakuita toka tunatoka ndani huniitikii (kumbe sijamuita wala nini)

Mrembo: Sure! Mbona sijakusikia kabisa.

Mimi: kweli hukunisikia? Maana nilikuwa naita kwa sauti au labda kwa sababu sikukuita kwa jina lako.

Mrembo: Oh pole sikukusikia kabisa, alafu usitembee hivyo kinyume unaweza dondoka.

Mimi: Dah kweli asante(nikageuka tukawa tunatembea wote sawasawa sasa ile parallel), Samahani unaitwa nani?

Mrembo: Ulikuwa na shida gani, nieleze shida yako jina langu halikusaidii kitu.

Mimi: Oh sorry mimi naitwa Dokezo actually sikuwa na shida na wewe that serious shida yangu ilikuwa ni ya KIMASIHARA TU.

Apo tukawa tayari tumefika parking za magari pale karibu na kibanda cha kupunch zile kadi za gatepass ya gari.Akasimama kuashiria nimalize kuongea na yeye ili aendelee na zake.

Mrembo: I dont understand

Mimi: Yes ni kweli nina shida na wewe ila kama MASIHARA vile lakini ni serious

Mrembo: What do u mean exactly, what do you want (kama ameanza kukasirika hivi)

Mimi: Please calm down, as i told you mimi naitwa Dokezo na nilikuona tukiwa ndani pale muda mrefu sana mpaka unamsindikiza mama yako kwenye line ya kuingia ndani
(Akanikatiza)

Mrembi: Sio mama ni my Auntie yule na nilikuona muda mrefu unaniangalia sikukuelewa.

Mimi: ooh sorry kumbe ni auntie yako anasafiri anaenda wapi?

Mrembo: unataka ujue anaenda wapi ya nini haikuhusu, toka ndani unaniangalia sana na umenifata mpaka huku nje. Please naomba niende i dont think if you have something serious.

Mimi: Sorry please ni kweli i dont have something serious ila nina jambo la KIMASIHARA ambalo ni serious. Please naomba dakika yako moja unisikilize.

Akaanza kupiga hatua anaondoka

Mimi: (nikamuuliza) unafahamu maana ya neno KIMASIHARA?

Mrembo: hapana sijui

Mimi: Niambie hata kidogo unavyoelewa

Mrembo: Please stay away from me na endelea na safari zako maana sikuelewi and you wasting my time.

Mimi: My apology ngoja basi nikueleze tu maana ya neno KIMASIHARA.Hili ni neno lenye maana kinyume na neno serious ambalo ni kwa kiingereza. KIMASIHARA maana yake ni kufanya jambo wakati mwingine ni kubwa sana ila katika hali ya kutokuwa makini nalo na effects zake ambazo huenda zikawa negative au positive.

Hapo alisimama tena na kunipa attention ananisikiliza-

Mrembo: sijakuelewa,sasa hiyo inahusiana nini na mimi?

Mimi: Kiufupi ni hivi wewe mimi haunijui na wala wewe sikujui, we are just strangers to each other. Ndo kwanza tumeonana leo pale ndani airport kila mtu akimsindikiza mtu wake.Shida yangu kwako katika hali ya KIMASIHARA yani bila chembe ya usiriaz naomba tupange tutafutane hata baadae au kesho au tutakapokuwa kuwa na nafasi tufanye mapenzi mi na wewe hivi hivi hata kama sio wapenzi ila tutafanya tu katika hali ya KIMASIHARA na baada ya hapo tutajua kitachoendelea kama ni kuwa wapenzi ambapo ikiwa hivyo nitafurahi sana.

Mrembo: Are out of your mind? Hivi unaongea vitu gani we mkaka.

Mimi: No am not out of my mind ni kweli ninachokueleza ni serious labda jambo lenyewe ndo limekaa KIMASIHARA. Labda mrembo nikuulize haijawahi kutokea ukafanya mapenzi na mtu ambae hujamtarajia kabisa na sio mpenzi wako lakini ikatokea situation ambayo imepelekea kufanya mapenzi na mtu ambae hujamtarajia kabisa. Yani KIMASIHARA tu unajikuta tayari mshafanya??

Mrembo: Daah we kaka unanichekesha sana, yani unataka tufanye mapenzi just simple like that? We kweli hauko siriaz.

Mimi: yees apo apo unapoona sipo siriaz ndio KIMASIHARA ninayomaanisha.Sio lazima leo siku yoyote ile tunawasiliana tunapanga na kwenda kufanga mapenzi.Kama hatujafurahiana basi kilamtu anaishia zake na tukifurahiana basi sasa apo ndo tunakaa na kuanza mahusiano ambayo ni siriaz.

Mrembo: Am sorry my kaka kwa heri naona unanipotezea muda.

Mimi: Nashukuru kwa muda wako ila kama hautajali nisaidie mawasiliano yako. Please hilo usininyime namba yako naomba.

Mrembo; ha ha ha yani we kaka unanifurahisha sana unafanya mambo marahisi sana. Hapana kwa kweli.

Akasema hivyo uku huyoo anaondoka.
Mimi nikasimama pale pale. Nikajiuliza huyu kaja na gari au anaondokaje. Nikawa namuangalia tu akaenda kuna gari Dualis imepaki kwa pembeni akafungua kama dakika moja hivi namuona anakuja tena nilipo ambapo ni njia ya kwenda kibanda cha kupunch gatepass za gari. Uzuri gatepass yangu mimi siiachagi kwenye gari nilikuwa nayo mfukoni. Akawa anakuja ila kama ananikwepa hivi, nikaona poa tu. Huyo na mimi nikasogea sehemu ya kulipia maegesho na zile mashine za kulipia automatic zilikuwa hazifanyi kazi hivyo wote tunaenda kulipia pale kwa cashier wao ndani ya kibanda. Baada ya mimi kumaliza kulipa elfu mbili yao pale akaja mtu mwingine kisha akafata yeye. Wakati huo mimi nimekaa pembeni dizaini namsubiria flani hivi. Akalipa akatoka sasa kuelekea kwenye gari yake na mimi akili yangu ikanambia hii ndio last last chance itumie vizuri. Nikamfata na kuanza kuongea nae

Mimi: (Kwa sauti ya upole na kujitirisha huruma) My new beautifully friend plz look at me, naonekanaje katika macho yako? Yes nakubali i am a stranger to you but do i look like a bad person may be? Please i dont want to waste your time anymore kindly please give me your mobile number.

Mrembo: Hapana kaka siwezi.

Mimi: Dunia ya marafiki hii huwezi jua wapi unaweza kunisaidia au wapi naweza kukusaidia. Unaweza ukatoka nje apo airport barabarani gari yako ikapata pancha unadhani naweza kukupita nikakuacha barabarani pekeyako? Dsm ni mji wa connection sana huwezi jua, hii dunia ya marafiki mpendwa. Nimejieleza vya kutosha i hope umenielewa niandikie namba yako hapa ( nikampa simu huku nimeshaweka sehemu za kuandika namba)

Akaiandika pale tukiwa tushakaribia kwenye gari yake,nikaipiga ikaita nikwamwambia kama utanisave mi naitwa Dokezo.Sijui wewe nisave vipi maana jina lako hukunitajia, kitu cha kufurahisha kilichotokea akaniambia nisave KIMASIHARA.


PART 3

..................... Daah ngoja niendelee na kazi wazee nitamalizia part 3 na ya mwisho baadae jioni
Weee dokezo Ni mpuuzi snaa[emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Unataka kuoa uyo demu?..wanaume atununiani tukigonga demu mmoja hasa washkaji niliwahi muunganishia mahikaji dem niliekua naweka ila jamaa mwenyewe kazingua
Mi mpaka nimstuka [emoji23],kaandika kwa uchungu sana
 
Wikiendi moja tulivu na ngumu kiuchumi nikiwa home, simu ya mwana inaita anadai tutoke kumbe mfukoni ana 20k tu ( nilijua baada ya kuna home ).
Kafika magheto nikamgomea kutoka baada ya kuona uhalisia wa wallet yake ila later ushawishi unanishinda tunaamua kutoka kuelekea kiwanja G20 .
UBARIKIWE SANA KIJANA WA WAZIRI FLANI SIMTAJI KWA KUUNDA HIO APP YA SIMBANKING YA CRDB.
Tumefika maeneo mwamba kaagiza bia za 10k tukaanza piga mdogo mdogo , ghafla simu yake inaita anaamua kuondoka kwa miadi kua atarudi soon .
Pepo la pombe linaniingia mwilini ghafla na kuikumbuka crdb simbanking naingia upande wa salary advance navuta Tsh laki moja kamili.Nikiwa na bia ya mwisho kutoka kwa zile mjuba alizonunua namuona mdada mzuri na mrembo akiwasili eneo la kiwanja upande wa chakula .Sikujua ni boss wa eneo la vyakula pale baa kwa mda huo kwani nilihisi si type yangu kwa mwonekano wake na nilivyo.
Mwamba anarudi mkaoni na kuonesha kwa kila hali kua anamjua binti vizuri kutokana na kumsalimia kwa kumuita jina lake.Katika kumdodosa sana mwamba ndipo nilipogundua kua yule ni boss wa eneo lile na pale kaenda kukagua tu ofisi kwani ilikua ndio imeanza.Haukupita muda ndipo binti wa watu aliamua kujumuika mkaoni kwa kukaa meza jirani na yangu huku akiagiza Amarula moja na kuanza kuinywa kwa madaha sana. Nikaanza kuingiwa na kiburi cha fedha kua hapa nifanye shoo kali ilinijipatie namba tu kwa huyu mtoto alafu vipengele vingine nivimalize siku zingine.
Baada ya bia kuisha nikaagiza kuku nusu portion 3 .ikiwa mbili ni zetu na moja nikamdedicate yule Mdada.
Kiukweli nikaanza ingiwa na hofu baada ya kuona Amarula moja imenyweka zaidi ya nusu saa .
Kwa ufupi mjuba alipoamua kuagiza bia zingine kwa lile ten lake nikatoa wazo la kua tupige kvant tu kwani uhakika wa nyama nishautoa ili kuepuka gharama kitu kilichonishangaza zaidi ni hoja hii kuungwa kwa asilimia zote na mrembo yule .
Tuliamua kujumuika meza moja ila mjuba akikua akifosi aonekane yeye ndio kinara pale isitoshe tulienda na STK na yeye ndio alikua suka.Hua sipendi kufosi kugombania dem ninapoona kuna ushindani hivo jf ikawa inanikosha huku nasukuma kvanf mdo mdo kabisa.
Kosa la kiufundi alilolifanya binti ni kutoa simu yake akataka apige selfie kuweka kumbukumbu ya tukio lile la bata.Simu yake haikua na uwezo mzuri wa kupiga picha na alionesha hali flani ya kujistukia.
ALipomaliza nikaamua makusudi kutoa xiaomi yangu ikiwa na na gcam yake na kumuomba binti atusaidie kuweka kumbukumbu kcamp ushukuliwe kwa uzi wako chalii.
Alipopiga picha moja tu ndani ya ile simu ( redmi note 8T moonlight white), akaomba nimpige picha kadhaa pia ba nilifanya hivo.
Aliomba nimtumie kwa njia ya BT ila nilikataa kua zitapoteza ubora hivo nimtumie kwa njia ya whatsap( hapa mshajua mchawi aliekua akiwindwa ni namba tu).Nilipewa namba kiulaini kabisa na mda huo sikumtumia kwa kigezo kua simu haina bundle ila tukaendelea kuitafuna kvant kupitia uhisani mkubwa wa salary advance.
Kuna mda rikiboy ukanijia kichwani nikajisemea acha nianze kufikiria namna bora ya kula au kutongoza kimasikhara , nilikua najikuta inferior sana kwake japo nilishagundua ni mtu wa tabaka la chini kiuchumi.
Kupitia laini yangu ya ttcl ( ambayo mpaka leo inatumiwa na mrembo huyo na hataki mawasiliano nami tena), nikaamua kumtumia ujumbe mfupi wa maandishi kua , "Japo haikua dhamira yangu ila najikuta mikono inakufa ganzi please naomba unisindikize chooni ukanisaidie kufungua zipu niweze kupata haja ndogo".
Ile sms haikujibiwa kama dakika kumi hivi ndipo nikajibiwa kua mbona hutangulii sasa au unataka watu wote wajue kinachoendelea hapa?
Jamani jamani nikainuka nikaelekea msalani ( ni eneo la kiuchochoro flani hivi na choo ni kimoja mnashea jinsia zote .Ni kibaa cha mtaa tu wadau.Nafika eneo husika nakojoa fasta kisha namrudisha Athuman kichwa wazi ndani ya kaptula ( Dickies ), ndipo binti anafika bila aibu anaivamia zipu na kunifungua kaptula na kisha kufungua boksa ili niweze kukojoa.
Alipomtoa mdudu akasogea pemben eti ashuhudie zoezi zima , kwa kua nilishachuja mkojo haukutoka nikaanza kumwambia ni hofu ilioniingia labda aushike ndio mkojo utatoka. Alikataa kisha akasepa nami nikaamua kurudi nae mkaoni.Kvant baada ya kua imeisha binti akasema tusinunue tena tuendelee na lite tu ( hakujua ndio anazidisha kulewa kwani tayari ndani ya masaa mawili hivi anaenda kumix vinywaji vitatu.
NIkamrext tena kua awamu hii naomba nikakunyonye k tu kwa uzuri wako kwani umeanza kurembua na macho yanaanza nivutia najua huezi nipa k niku toe mba mwilini .
Tulienda pamoja na tulipofika tukapiga romance na kupewa kimoja cha nguvu kabisa yaani kisha tukarudi eneo la tukio.
Mwamba alikua mpole sana kwani mda huo hata hela ya maji tu alikosa .Binti aliomba tena nikapige bao jingine na tulienda tena awamu hii tulikaa zaidi ya nusu saa na tuliporudi mjuba hatukumkuta ila kwa kua usiku ulikua umeingia tulijificha kwa giza tukaendelea kulewa na kutomasana kama wapenzi wa mda mrefu.
Ilifika mda nikaomba binti nikalale nae guest akagoma akasema kama hujatosheka twende nikakupe tena na nilienda nikato ..mba tena cha tatu.
Siri ya kuchukuliwa laini yangu ilikua ni kwamba baada ya kushindwa kukojoa ile tripu ya kwanza tulipoenda chooni , kuna mda nilijifanya naperuz x kwa kuficha ( makusudi ) kumbe alikua ananichora na zinatia genye .
Kwa hio baada ya kukaa gizani tuliamua kabisa kumtizama Moriah Mills full HD na ndipo akasema kama line ina mb nyingi nimpe kidogo akafanye kazi moja kesho atairejesha .Sikua na hiyana kwani nilikua napewa tu na mwanangu mmoja zile zenye staff bundle hivo nikampa .
Asubuhi ninafika kazini kinyonge kuna mmaza mmoja hivi tumezoea sana kuongea nae mambo ya ngono aliniuliza nikamwambia kuna binti kanisuprise jana akauliza je una ushahidi wowote hapo nikamwambia nina picha zake.
Kmmake kumbe binti ametokea uchagani baada ya kukaa mda mrefu akaamua kuja kutest fursa kusini n yule maza mtu mzima ni dadake tumbo moja kabisa .Kwa mda huo mmaza hakusema ila mda mfupi tu binti alinitumia meseji kua nipunguze mapepe na umbea nimeharibu kaambiwa akajitegmeee au ahamie kwangu kwani nimemla kizembe mno
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Bahariaaa ukatangazaa tenaa
 
Ulinununua, kula ki masihara hela hazihusiki
Angalia vizur mm ndo nilitoa 40k kama hisani tu sabab hatukua na makubaliano yoyote ya kulipana..Hapo room ni 25k ikabak 15k ..Hiyo 15k ni uungwana tu nilitumia ..ilikua ni maamuzi yangu ..Mpaka anaamua kunipa hakua ameniomba pesa yoyote zaid tu ya ile 25k alonambia nilipie room .
 
Na uongo wao waache kama walivyo humu hawajaandika usome wewe tu, ni kimbelembelr chako kufungua na kuzisoma. Unachotakiwa kufanya ni usijipe umuhimu kwenye miandiko ya watu, wengine humu wanaondoa baadhi ya vitu ili kuficha wasijulikane.

Ukiona ni uongo basi wewe soma za ukweli, wenye uongo waachie wenyewe.
Fact
 
Kwa style hii Madem watakutesa sana,lakin pia Mwanaume ukianza kuwamind wanaume wenzio kisa madem basi utapoteza watu wa msingi kweny maisha yako, huwez mmind mwanao kisa hawa madem,madem wenyew ndo hawa wanaopigwa kimasihara [emoji23],Badilika Mkuu,hawa wakupiga tu,ataekuja kukusaidia ni hao hao wanao sio Madem.
Huna haja ya kumjibu huyo kichaa,hana akili amemaliza form four amepata zero alaf na kidem chake kimefaulu anajua anaachwa alaf analeta makasiriko yake humu.
 
Nimekuja kanda ya ziwa kikazi, nna kazi ya wiki 2 huku. Nimefika hotel moja classic sana jina kapuni, ofisi ndo inalipia sio mimi. Kampuni flani ya wazungu wameniita kuwafanyia mambo flani. So sio kinyonge.

Nimekaa wiki nzima sina manzi na hamna jambo na huu sio mji nnao ujua so nakosa pa kwenda au connection za kupata pisi nzuri na kununua papuchi sio mdau. Jmosi nimeshinda ndani toka mchana nkaona hali imekua mbaya nkaenda baa flani inayotamba tamba sana pale nkaona mhudumu mmoja anafaa kwa matumizi nkamchombeza akajaa, nkachukua namba yake. Lakini sijamtafuta nlivotoka pale, nmewaza nkaona nikomae na msimamo wangu wa kutokupeleka moto kwa wahudumu wa baa.

Home sikuwaambia kuwa nimesafiri, juzi jumapili mchana hivi, mzee kanipigia kuhusu mambo ya home kwao kule ndo nkamuambia nimesafiri na mkoa niliopo.

Juzi hiyo hiyo jioni mama kanipigia ananiambia kaambiwa na mzee kuwa nimesafiri nipo mkoani kanda ya ziwa. Nkajibu ndio, tukaonge ongea pale baadae akaniuliza kama namkumbuka mama flani. Ni mmama wa maeneo ya home kule kwa wazee wanasali wote jumuiya na vitu kama hivyo, huyo mama namfahamu ila watoto wake siwafahamu. Nkimjibu ndio namkumbuka. Ndo mama kaniambia binti yake huyo mama anaitwa S yupo huu mkoa niliopo amepata internship ndo anaifanya toka november mwaka jana, binti chuo kamaliza 2022. Nkaona hapa hapa nipiganishe. Nkamuambia mama anipe namba ya huyo mmama nimsalimie. Akasema sawa. Tulivomaliza maongezi kweli namba kaituma.

Muda huo huo nkampigia huyo mama nkaongea nae pale. Baada ya kujitambulisha akanitambua nkampa salamu pale uongo na ukweli halafu nkamuambia nipo mkoa flani kanda ya ziwa nimekuja kikazi na mama kaniambia binti yake S yupo huku. Akasema ndio akanipa habari mbili tatu za huyo binti, nkamuambia nataka nimsalimie kabla sijarudi Dar. Akataka anitumie namba zake nkakataa, nkamuambia ampe huyo binti yake namba zangu anipigie. Yule mama kasema sawa, tukaagana yakaisha.

Jana jumatatu asubuhi nimeamka nshachelewa, dereva wa hiyo ofisi nnayowafanyia kazi ashafika hotelini ananipigia simu ndo simu yake inaniamsha. Nkajiandaa chap halafu nkashuka reception kuacha funguo. Pale reception nkamkuta manzi mmoja mzuri kinoma, standard af slim, age around 25 au 26 white hivi kapanda hewani, shape nzuri sana kavaa kiofficial kapendeza kinoma ananunikia ni balaa nae anaacha funguo huku anaongea na jamaa wa reception mapozi ya ki slay queen hivi kama analalamikia jambo.

Ma manzi wa aina hii huwa sihangaikagi now kabisa, wana dharau sana na mimi na watu wenye dharau tofauti kabisa, pili wengi wao k zao ndo zinawanawekwa mjini so wanapelekewa moto sana, hawana maajabu kabisa na k zao zinakua kavu. Plus drama na magharama ili kuwala naonaga ni usumbufu tu na hamna maajabu.
Ila coz nipo mkoa wa watu, sina connection wala kaburi lolote la kufufua na kidumu kishajaa nkaona nimsemeshe tu. Nkamuachia jamaa wa reception funguo halafu nkamsalimia yule bibie wakati anajitafakari kujibu nkamuuliza kama anaelekea city centre akajibu ndio, nkamuambia na mimi naenda huko huko dereva kanifata, kama vipi twende wote akakubali. Tulivotoka nje na akaona aina ya gari iliyonifata na chata zilizopo kwa gari yeye mwenyewe kaanza kunisemesha. Nkamuambia mimi nafanya kazi branch ya Dar, hapa nmekuja tu kwa muda, kumbe wapi. Ni ka kazi ka muda mfupi tu.

Nkakaa mbele yeye kakaa nyuma, nkamuuliza anaenda wapi akataja sehemu na ofisi anayoenda anasema alifanyaga interview mwaka jana, kapata hiyo nafasi. Ndo jana yake, yani jumapili kaja na flight mchana kutoka Dar ku saini mkataba. Nkamuomba dereva tumdrop mrembo kwanza, jamaa kakubali. Huyu derva alichowaza kichwani kwake atajua mwenyewe, ni mdingi mdingi hivi na sijazoena nae.

Muda wote sijamsemesha kitu huyo manzi mpaka anashuka ndo nkampa simu kaandika namba nkamuuliza jina akantajia lunaanzia na M nkasave tukasepa.

Mchana kama saa 6 hivi nkampigia nkamuuliza kama amefanikisha ku sign akasema ndio ila kuanza kazi bado so amerudi hotelini amechill tu kesho yake anarudi Dar nkamuambia nkirudi ntamcheki tuonane akasema sawa.

Mida ya saa 9 nataka nisepe nirudi hotelini kuiwahi ile manzi nkaona namba ngeni kupokea ni sauti ya kike. Kajitambulisha ndo yule S mtoto wa yule mama wa kule maskani kwa wazee, kaniambia kapewa namba yake na mama yake kamuambia nipo mkoa aliopo. Tukaongea ongea kaniambia yupo ofsin anatoka saa 10 nkamuambia tuonane ukitoka akasema akitoka ataenda kwake anaopkaa kwanza halafu atanijulisha ili tuonane. Nkajibu poa.

Nmerudi hotelini nkampigia yule M nkamuambia nmerudi nataka niumuone akasema tunaona wapi nkamtajia room namba na jengo nililopo tu, ni aina ya zile hotel inakua na majengo mengi hivi. Ila reception ni moja tu. Sio jengo moja kubwa. Hiyo room waliyonifanyia booking ni zile rooms za juu ambazo bei yake ni mkasi akasema anakuja. Angekataa kuja room ndo nngempeleka baa ya hapo hotelini. Yeye room yake ilikua jengo jingine hapo hapo hotelini.

Kweli mtoto kaja kavaa kigauni simple hivi, bra hamna, naona mstari wa chupi. Hajabeba kitu yupo na simu tu kashika mkononi. Moyoni nkasema kaliwa huyu.

Nkaa kwa kiti yeye akakaa kwenye ki sofa.
Story za kizushi, anaiuliza about me na kazi nayofanya najibu namuuliza na yeye anajibu. Kukawa na ukimwa kama sekunde 10 halafu nkamuambia unajua why nlikusemesha ile asubuhi, akasema hapana, nkamfata pale kwenye sofa nkamshika mkono mmoja nkauvuta kwangu nkamuangalia halafu nkamuambia nlivutiwa sana na wewe, akaguna nkakazia akasema asante. Nkaendelea kumsomesha na kumsifia huku nampiga touch akalainika tukaanza kukiss nkawa namshusha zile kamba za kigauni akawa anazingua baadae kakubali mambo yakawa bam bam tukaamia kitandani. Nkapiga kimoja cha kawaida, kisicho na mbwembwe wala kukamia. Na kweli hana maajabu, watu washaipiga sana, ila ni msafi sana na mwili flani unatia nyege hatari.
Wakati namkaza nkawa naskia simu inaita. Nkaipotezea.

Tulivomaliza akaenda bafuni mimi ndo nkashika simu, nkaona missed kadhaa na moja wapo ni ya yule S, na text yake kuwa yeye yupo kwake muda huo na yupo tayari anansikilizia mimi. Nkamjibu text nkatuma na jina la hotel na maelezo kuwa akifika aniambie. Akajibu poa.

Yule M muda huo ashatoka bafuni karudi kitandani hata nguo hajavaa tena. Nkamfata kitandani tukawa tunapiga story anansimulia mambo yake na mahusiano yake, hapo najua anataka relationship, ashaona nna maisha, kumbe wapi. Hata simsikilizi nawaza namtoaje ili yule S akifika mambo yawe mazuri, hapo nawaza huyo S akija af akizingua au asiponivutia nimtoe fasta niendelee na huyu M tu.

Nkamtumia text jamaa yangu mmoja mshenzi kuliko mimi, namuambia dogo nipigie. Kweli kapiga. Nkaongea nae pale kidogo af nkajifanya kutoka nje kuongea nkarudi muda huo huo nkamuambia huyo manzi kuwa inabidi niingie ofisin chap, nikirudi ntampeleka kiwanja kizuri tule bia akasema poa, kaamka kaanza kuvaa. Namuangalia natamani kishenzi kupiga cha pili ila najua nkianza tu kumshika shika tutaanza cha pili na anaweza asirudi room kwake tena. Nkamsindika hadi room kwake af nkarudi kuweka room sawa nkaweka AC 16 degree kabisa, ule ubaridi uondoe harufu ya mnyanduano.

Kisha nkashuka reception nkakaa restaurant pale nkaagiza maji. Dakika 5 sio nyingi S anapiga simu kafika yupo getini, nkamfuata nkalipa boda tukaingia. Sio mzuri kama yule M. Kabisa yani. Ila bado mdogo halafu kapo natural sana, sura ya baba, ila shape imekubali, na weusi flani hivi. Nkaenda nae room moja kwa moja.
Kalalamika baridi nkazima AC, Kakaa kwa kiti nkakaa kitandani hapo sina njaa na k tena. Nyege mshindo zishaisha kwa M.
Katika story ndo nkajua kuwa huyu manzi mimi ananifahamu, toka miaka hiyo nmemaliza 4 nmetusua kwao story ilikua ni muwe kama mtoto wa mama flan kapiga 1 form 4. Na 6 ilikua hivyo hivyo, hadi chuo na nlivoamishiwa kazi Dar story ilikua hivyo hivyo kutoka kwa mama yao. So anifahamu kwa kunisikia sio kwa kuniona, hii ni coz tokea nmemaliza standard 7 ni mwendo wa boarding tu plus chuo mkoani basi home ni kwa manati sana. Na yeye ni boarding na geti kali akirudi.

Kwa alivokua anaongea nkanotice kuwa kuna ka admiration flani anako kwangu. Nkasema hapa hapa. Nkamfata alipokua amekaa nkasimama nyuma yake nkawa kama nam massage kwenye mabega nkaanza kumsifia pale, sifa nyingii anabisha bisha na vi aibu aibu, nkamnyanyua nkamgeuzia kwangu halafu nkamuangalia kwa sekunde kadhaa akaangalia chini, nkamsogezea mdogo karibu na lips zake lkn sijazigusa, akazileta mwenyewe.

Romance kwa sana, nkala tunda. Hii ndo ilikua tamu sasa, mtoto wa motooo, k imebana na unamuona anavoipokea, avaoisikilizia na responce zake, hata akikojoa unaona.
Tumemaliza nkasema hapa ndo natulia kwa hizi siku zote, yule M ashapigwa chini. Uzuri ashamaliza kilichomleta anarudi kwao siku inayofuata.
Nkapiga cha pili nkamuitia bolt akasepa. Na mimi nkasepa nkatafuta kiwanja kimoja jina kapuni nkatulia, saa 4 hivi nkamcheki yule M nkamtumia location akaja kweli tumepiga bia pale huku naendelea kuchat na yule S.
Saa 7 nmerudi nae tumeingia room kwake huyu M, romance kizushi nkapiga kingine, nkaishia njiani. K haina ubora wa ile k ya S. So alivokojoa tu na mimi nkahairisha mechi tukalala.
Asubuhi leo nkasepa bila hata kupiga cha asubuhi nkamuacha kalala akiamka ajiandae na safari ya kurudi Dar. Yupo comfortable coz anajua na mimi ntarudi Dar soon tu.
Hapa nsharudi hotelini namsubiri S aje niitendee haki ile papuchi yake
 
Nimekuja kanda ya ziwa kikazi, nna kazi ya wiki 2 huku. Nimefika hotel moja classic sana jina kapuni, ofisi ndo inalipia sio mimi. Kampuni flani ya wazungu wameniita kuwafanyia mambo flani. So sio kinyonge.
Nimekaa wiki nzima sina manzi na hamna jambo na huu sio mji nnao ujua so nakosa pa kwenda au connection za kupata pisi nzuri na kununua papuchi sio mdau. Jmosi nimeshinda ndani toka mchana nkaona hali imekua mbaya nkaenda baa flani inayotamba tamba sana pale nkaona mhudumu mmoja anafaa kwa matumizi nkamchombeza akajaa, nkachukua namba yake. Lakini sijamtafuta nlivotoka pale, nmewaza nkaona nikomae na msimamo wangu wa kutokupeleka moto kwa wahudumu wa baa.

Home sikuwaambia kuwa nimesafiri, juzi jumapili mchana hivi, mzee kanipigia kuhusu mambo ya home kwao kule ndo nkamuambia nimesafiri na mkoa niliopo.
Juzi hiyo hiyo jioni mama kanipigia ananiambia kaambiwa na mzee kuwa nimesafiri nipo mkoani kanda ya ziwa. Nkajibu ndio, tukaonge ongea pale baadae akaniuliza kama namkumbuka mama flani. Ni mmama wa maeneo ya home kule kwa wazee wanasali wote jumuiya na vitu kama hivyo, huyo mama namfahamu ila watoto wake siwafahamu. Nkimjibu ndio namkumbuka. Ndo mama kaniambia binti yake huyo mama anaitwa S yupo huu mkoa niliopo amepata internship ndo anaifanya toka november mwaka jana, binti chuo kamaliza 2022. Nkaona hapa hapa nipiganishe. Nkamuambia mama anipe namba ya huyo mmama nimsalimie. Akasema sawa. Tulivomaliza maongezi kweli namba kaituma.
Muda huo huo nkampigia huyo mama nkaongea nae pale. Baada ya kujitambulisha akanitambua nkampa salamu pale uongo na ukweli halafu nkamuambia nipo mkoa flani kanda ya ziwa nimekuja kikazi na mama kaniambia binti yake S yupo huku. Akasema ndio akanipa habari mbili tatu za huyo binti, nkamuambia nataka nimsalimie kabla sijarudi Dar. Akataka anitumie namba zake nkakataa, nkamuambia ampe huyo binti yake namba zangu anipigie. Yule mama kasema sawa, tukaagana yakaisha.
Jana jumatatu asubuhi nimeamka nshachelewa, dereva wa hiyo ofisi nnayowafanyia kazi ashafika hotelini ananipigia simu ndo simu yake inaniamsha. Nkajiandaa chap halafu nkashuka reception kuacha funguo. Pale reception nkamkuta manzi mmoja mzuri kinoma, standard af slim, age around 25 au 26 white hivi kapanda hewani, shape nzuri sana kavaa kiofficial kapendeza kinoma ananunikia ni balaa nae anaacha funguo huku anaongea na jamaa wa reception mapozi ya ki slay queen hivi kama analalamikia jambo.
Ma manzi wa aina hii huwa sihangaikagi now kabisa, wana dharau sana na mimi na watu wenye dharau tofauti kabisa, pili wengi wao k zao ndo zinawanawekwa mjini so wanapelekewa moto sana, hawana maajabu kabisa na k zao zinakua kavu. Plus drama na magharama ili kuwala naonaga ni usumbufu tu na hamna maajabu.
Ila coz nipo mkoa wa watu, sina connection wala kaburi lolote la kufufua na kidumu kishajaa nkaona nimsemeshe tu. Nkamuachia jamaa wa reception funguo halafu nkamsalimia yule bibie wakati anajitafakari kujibu nkamuuliza kama anaelekea city centre akajibu ndio, nkamuambia na mimi naenda huko huko dereva kanifata, kama vipi twende wote akakubali. Tulivotoka nje na akaona aina ya gari iliyonifata na chata zilizopo kwa gari yeye mwenyewe kaanza kunisemesha. Nkamuambia mimi nafanya kazi branch ya Dar, hapa nmekuja tu kwa muda, kumbe wapi. Ni ka kazi ka muda mfupi tu.
Nkakaa mbele yeye kakaa nyuma, nkamuuliza anaenda wapi akataja sehemu na ofisi anayoenda anasema alifanyaga interview mwaka jana, kapata hiyo nafasi. Ndo jana yake, yani jumapili kaja na flight mchana kutoka Dar ku saini mkataba. Nkamuomba dereva tumdrop mrembo kwanza, jamaa kakubali. Huyu derva alichowaza kichwani kwake atajua mwenyewe, ni mdingi mdingi hivi na sijazoena nae.
Muda wote sijamsemesha kitu huyo manzi mpaka anashuka ndo nkampa simu kaandika namba nkamuuliza jina akantajia lunaanzia na M nkasave tukasepa.
Mchana kama saa 6 hivi nkampigia nkamuuliza kama amefanikisha ku sign akasema ndio ila kuanza kazi bado so amerudi hotelini amechill tu kesho yake anarudi Dar nkamuambia nkirudi ntamcheki tuonane akasema sawa.
Mida ya saa 9 nataka nisepe nirudi hotelini kuiwahi ile manzi nkaona namba ngeni kupokea ni sauti ya kike. Kajitambulisha ndo yule S mtoto wa yule mama wa kule maskani kwa wazee, kaniambia kapewa namba yake na mama yake kamuambia nipo mkoa aliopo. Tukaongea ongea kaniambia yupo ofsin anatoka saa 10 nkamuambia tuonane ukitoka akasema akitoka ataenda kwake anaopkaa kwanza halafu atanijulisha ili tuonane. Nkajibu poa.
Nmerudi hotelini nkampigia yule M nkamuambia nmerudi nataka niumuone akasema tunaona wapi nkamtajia room namba na jengo nililopo tu, ni aina ya zile hotel inakua na majengo mengi hivi. Ila reception ni moja tu. Sio jengo moja kubwa. Hiyo room waliyonifanyia booking ni zile rooms za juu ambazo bei yake ni mkasi akasema anakuja. Angekataa kuja room ndo nngempeleka baa ya hapo hotelini. Yeye room yake ilikua jengo jingine hapo hapo hotelini.
Kweli mtoto kaja kavaa kigauni simple hivi, bra hamna, naona mstari wa chupi. Hajabeba kitu yupo na simu tu kashika mkononi. Moyoni nkasema kaliwa huyu.
Nkaa kwa kiti yeye akakaa kwenye ki sofa.
Story za kizushi, anaiuliza about me na kazi nayofanya najibu namuuliza na yeye anajibu. Kukawa na ukimwa kama sekunde 10 halafu nkamuambia unajua why nlikusemesha ile asubuhi, akasema hapana, nkamfata pale kwenye sofa nkamshika mkono mmoja nkauvuta kwangu nkamuangalia halafu nkamuambia nlivutiwa sana na wewe, akaguna nkakazia akasema asante. Nkaendelea kumsomesha na kumsifia huku nampiga touch akalainika tukaanza kukiss nkawa namshusha zile kamba za kigauni akawa anazingua baadae kakubali mambo yakawa bam bam tukaamia kitandani. Nkapiga kimoja cha kawaida, kisicho na mbwembwe wala kukamia. Na kweli hana maajabu, watu washaipiga sana, ila ni msafi sana na mwili flani unatia nyege hatari.
Wakati namkaza nkawa naskia simu inaita. Nkaipotezea.
Tulivomaliza akaenda bafuni mimi ndo nkashika simu, nkaona missed kadhaa na moja wapo ni ya yule S, na text yake kuwa yeye yupo kwake muda huo na yupo tayari anansikilizia mimi. Nkamjibu text nkatuma na jina la hotel na maelezo kuwa akifika aniambie. Akajibu poa.
Yule M muda huo ashatoka bafuni karudi kitandani hata nguo hajavaa tena. Nkamfata kitandani tukawa tunapiga story anansimulia mambo yake na mahusiano yake, hapo najua anataka relationship, ashaona nna maisha, kumbe wapi. Hata simsikilizi nawaza namtoaje ili yule S akifika mambo yawe mazuri, hapo nawaza huyo S akija af akizingua au asiponivutia nimtoe fasta niendelee na huyu M tu.
Nkamtumia text jamaa yangu mmoja mshenzi kuliko mimi, namuambia dogo nipigie. Kweli kapiga. Nkaongea nae pale kidogo af nkajifanya kutoka nje kuongea nkarudi muda huo huo nkamuambia huyo manzi kuwa inabidi niingie ofisin chap, nikirudi ntampeleka kiwanja kizuri tule bia akasema poa, kaamka kaanza kuvaa. Namuangalia natamani kishenzi kupiga cha pili ila najua nkianza tu kumshika shika tutaanza cha pili na anaweza asirudi room kwake tena. Nkamsindika hadi room kwake af nkarudi kuweka room sawa nkaweka AC 16 degree kabisa, ule ubaridi uondoe harufu ya mnyanduano.
Kisha nkashuka reception nkakaa restaurant pale nkaagiza maji. Dakika 5 sio nyingi S anapiga simu kafika yupo getini, nkamfuata nkalipa boda tukaingia. Sio mzuri kama yule M. Kabisa yani. Ila bado mdogo halafu kapo natural sana, sura ya baba, ila shape imekubali, na weusi flani hivi. Nkaenda nae room moja kwa moja.
Kalalamika baridi nkazima AC, Kakaa kwa kiti nkakaa kitandani hapo sina njaa na k tena. Nyege mshindo zishaisha kwa M.
Katika story ndo nkajua kuwa huyu manzi mimi ananifahamu, toka miaka hiyo nmemaliza 4 nmetusua kwao story ilikua ni muwe kama mtoto wa mama flan kapiga 1 form 4. Na 6 ilikua hivyo hivyo, hadi chuo na nlivoamishiwa kazi Dar story ilikua hivyo hivyo kutoka kwa mama yao. So anifahamu kwa kunisikia sio kwa kuniona, hii ni coz tokea nmemaliza standard 7 ni mwendo wa boarding tu plus chuo mkoani basi home ni kwa manati sana. Na yeye ni boarding na geti kali akirudi.
Kwa alivokua anaongea nkanotice kuwa kuna ka admiration flani anako kwangu. Nkasema hapa hapa. Nkamfata alipokua amekaa nkasimama nyuma yake nkawa kama nam massage kwenye mabega nkaanza kumsifia pale, sifa nyingii anabisha bisha na vi aibu aibu, nkamnyanyua nkamgeuzia kwangu halafu nkamuangalia kwa sekunde kadhaa akaangalia chini, nkamsogezea mdogo karibu na lips zake lkn sijazigusa, akazileta mwenyewe.
Romance kwa sana, nkala tunda. Hii ndo ilikua tamu sasa, mtoto wa motooo, k imebana na unamuona anavoipokea, avaoisikilizia na responce zake, hata akikojoa unaona.
Tumemaliza nkasema hapa ndo natulia kwa hizi siku zote, yule M ashapigwa chini. Uzuri ashamaliza kilichomleta anarudi kwao siku inayofuata.
Nkapiga cha pili nkamuitia bolt akasepa. Na mimi nkasepa nkatafuta kiwanja kimoja jina kapuni nkatulia, saa 4 hivi nkamcheki yule M nkamtumia location akaja kweli tumepiga bia pale huku naendelea kuchat na yule S.
Saa 7 nmerudi nae tumeingia room kwake huyu M, romance kizushi nkapiga kingine, nkaishia njiani. K haina ubora wa ile k ya S. So alivokojoa tu na mimi nkahairisha mechi tukalala.
Asubuhi leo nkasepa bila hata kupiga cha asubuhi nkamuacha kalala akiamka ajiandae na safari ya kurudi Dar. Yupo comfortable coz anajua na mimi ntarudi Dar soon tu.
Hapa nsharudi hotelini namsubiri S aje niitendee haki ile papuchi yake
kaz na mapenz, kila la kheri
 
Wakuu.

Wanaume now days wamekuwa wa kichepuka sana na kutumia gharama nyingi.

Kwa utafiti wangu binafsi niseme mimi nachepuka sababu ni moja natafuta MNATO.

Mara ya mwisho ni miaka zaidi ya kumi iliyopita.

Sio watoto sio watu wazima.

sijawahi kuupata hadi leo.

Wanawake shida iko wapi?

NOTE.. Nimefanya kwa wanawake 150 kuanzia mwaka 2020 hadi 2023 tar 31 jan saa 3 dk 21.
 
Back
Top Bottom