Wakuu nawasalimu.
Katika kituo nilichokuwa nafanya kazi nilihamia idara fulani kulikuwa na bidada mmoja ambae alikuwa mzuri, anakizigo kizuri(sipendi yale mapantamka) na anamacho fulani mazuri. Yule binti hakuwa mtu wa kuongea sana na watu so wengi walimfikiria ni mwenye maringo(ni kweli anayo). Nafikiri sababu ya ndinga(harrier) aliyokuwa nayo basi ilikuwa lazima avimbe hata kwa vijana, mnaelewa warembo walivyo.
Mimi kwa sababu sio mtu wa kuoneshana umwamba na vijana wenzangu always huwa niko cool hata kama watu watapamabania kumpata binti mimi huwa sina kabisa time nahisi sababu ya pesa zangu zina matumizi mengi ya kifamilia nahisi sababu naogopa gharama zisizo za lazima so tulikuwa tukikutana mara moja moja nayo ni salamu tu.
Siku moja tulibahatika kukutana asubuhi ya kazi na hii sijui kama hutokea kwa wengine nikisex night asubuhi yake nikiwa nafanya kazi mikono huwa inatetemeka yenyewe. Then kuna kitu ilitakiwa nifanye nikamuomba anisaidie kufanya akajibu wew ndo ufanye buana si ndo mtaalam wa hayo, nkamwambia kwa leo naomba nisaidie tu. Mwisho akasema au hujalala home nini leo uso wako unaonekana umechoka sana. Nikamjibu hapana nilichelewa tu kulala akacheka akaifanya hiyo kazi.
Kimasihara yenyewe.
Kama baada ya wiki 2 tukakutana tena asubuhi hiyo, alikuja akiwa amechokachoka na hayuko sawa nkamuuliza "vipi mbona umechoka hivyo jana ulilala salama kweli" akacheka akasema ndiyo nililala home ila nahisi kuchoka may be sababu nilijifungia sana jana home. Nkamwmabia haya pole twende tufanye kazi za watu.
Tulifanya kazi tukamaliza, mimi huwa napenda sana niwapo kazini hufanya kazi lakini pia kujifunza mambo, so nilipomaliza nkaingia kwenye computer ya ofisi nkaanza kujisomea kitu kimoja kinaitwa heimlich maneuver hii ni aina ya huduma ya kwanza kwa mtu aliyepata chocking,
wakati nasoma ikatokea issue nikatoka kidogo sasa yeye alikuwepo pale akaona nilikuwa najisomea ile kitu niliporudi akasema sasa unajisomea si ungesema nkufundishe tu hiyo mbona rahisi sana. Wakati nataka kumuomba anifundshe yeye akaitwa eneo jingine so akashindwa nifundisha.
Mida ya kutoka kazini ilipofika akasema amechoka akifika analala nkamwambia umechoka na unataka ulale utakula saa ngapi akasema hajiskii kupika nkamwambia, kama umechoka basi twende home kwangu huwa kuna keki na yoghurt kabla ya kupika huwa nakula ili niweze kupika akakubali. Akanisubiri mpaka namimi muda wangu wa kutoka, tukapanda ndinga yake tukasepa home.
Kufika home nkatoa keki na yoghurt tukaanza kula. Hata nikiwa nyumbani huwa napenda kutazama mambo yanayohusu kujifunza so nikaweka video moja ya masuala ya upasuaji. Wakati tunaendelea kula nikamwambia halafu nimesahau kuchukua video yangu ya heimlich maneuver akasema nilisahau ngoja tumalize nkufundishe then nikalale home.
Hiyo manyuva ni kuwa unasimama nyuma ya mtu aliyapata chocking mikono yako unaikutanisha mbele yake kwenye muunganiko wa tumbo na kifua then unapush kwa nguvu kiasi.
Back to kimasihara, basi akanionesha huo mfano nkasema ngoja namimi nijaribu, sasa mimi kidogo nilimzidi urefu na nina mzuzu kiasi si wakati nafanya hiyo manyuva ndevu zikagusa sikio then kwenye shingo, nashangaa mtu mikono yake inagusa mikono yangu kama mtu anayejizuia asianguke, nikapitisha tena ndevu kwenye shingo naona kama anaweweseka nkasema umeliwa.
Mikono ikaacha kazi yake ya iliykuwa inafanya ikahamia kwenye ikulu yake maana alikuwa kavaa zile suruali wanaitwa bwanga ila asili yake ni nyepesi flani hivi. Nikapitisha meno kidog shingoni na mkono mmoja kule ndani akaishiaaa tu kusemaa aaasssshhhh. Nkampeleka bed nkamla cha kwanza ndani ya dk 5 tu then cha pili na tatu ndo ikawa shughuli pevu maana anapenda sana doggy. Ilifika jioni sana akaondoka kwenda kwake, akawa anasema haamini nkamwambia hata mimi sikupanga iwe hivyo. Nilikuja kujua jamaake ni boss wa mkoa mmoja huko pwani so ikawa akimiss tu tunapeana vitu mpaka nilipokuja kuhama na nkabadilisha namba ya simu.
Wasalaam.