Cauldron
JF-Expert Member
- Apr 27, 2016
- 366
- 593
Huyu mswahili asilia, amejitahidi kutumia "Sheng" ya Kenya lakini huko mwishoni katembea na kiswahili saafiHuyu ni mkenya wala sio uandishi wa Tz Bongo bongo
Huyu mswahili asilia, amejitahidi kutumia "Sheng" ya Kenya lakini huko mwishoni katembea na kiswahili saafiHuyu ni mkenya wala sio uandishi wa Tz Bongo bongo
Gerald Mzawa,
Aaah! Nakumbuka mwaka jana mwezi 7
, nikaanza kujisema kimoyomoyo " huyu mtoto leo amevamia mtumbwi wa vibwengu "![]()

Kitu cha bufeeeee!!!Huyu mbongo kabisaa, kajitahidi kuandika sheng ya Kenya, kaweka uchuga humo ndani. Mwishoni katumia kiswahili cha mtaani
Mzinzi mojaMwaka 2000 mwezi wa 12 nilikuwa natoka Mtwara kuja Dar, wakati huo mvua tayari ilikuwa imeshaanza kunyesha so barabara ilikuwa mbovu sana. Lakini mwisho wa siku tulikuja kukwama Rufiji mtoni wakati huo hakuna daraja, mto umefurika so pantoni haiwezi kufanya kazi kwa namna ile. Ilikuwa saa kumi na mbili hivi jioni niliangalia mandhari ya pale nikajisemea tu 'Bora kufa nimesimama kuliko kufa kihoro nimelala' navuka na mtumbwi potelea mbali.
Hakuna aliyenisapoti miongoni mwa abiria wenzangu but kuna kabinti kakawa kanasita sita abaki au aungane nami!! Jamaa wa mtumbwi alipokuja naona na binti ananishika shati, ananiambia tutakufa wote but hapa siwezi kulala katu.
Tukavukia upande wa pili, ambapo maji yalijaa karibu na Ikwiriri so tulienda kwa miguu tu na bahati mbaya kufika pale hakuna mabasi ya kwenda Dar isipokuwa ni pazuri kuliko pale mtoni tulikotoka.
Tulipata kagesti fulani hivi tukalala hapo, nilikatafuna kale kabinti bila bughudha usiku kucha! Kesho yake saa kumi na mbili tupo garini kwenda Dar na hatukuwahi kuonana wala kuwasiliana tena.
Bila shaka Mkenya huyuAcha kutuandikia lugha za kihuni pumbavu wewe usirudie siku nyingine
M nimesoma sentensi Moja Niko hoiNimesoma AYA mbili tu nimechoka kama nimesoma riwaya Ya kurasa 500


nikasema ngoja niendelee labda itakaaa poa
nikaona Tena hoi nikakimbia ,.Nenda makaburi waziOya wadau nipo Kasulu ndio nimeingia nipeni connection ya kutafuna mbususu.




Tuyuko mkuu.Nyie Malaya mpo ?![]()
Ngoja waje, nimeliwasilisha hili kwenye baraza kuu.Na waona nawaona
Haya Leo nani kamgonga nani![]()
I'm just waitingNgoja waje, nimeliwasilisha hili kwenye baraza kuu.




Mkuu....ndo nini sasa ii?Juz kati wakt wa sensa ina take over, nipo getto nimechil kuna binti mdogo age ya 18, yupo likizo,
Kutokea mbeya kaja dar kwa bi mkubwa wake na mama ake ni mtu wa kurudi nite mare sana, tunaishi nyumba za wapangaji,
Sasa walikuja wakt mm niko likizo arusha it means hajawai kuniona ,siku ya tukio nimechelewa kuamka kwa uchovu wa hp na pale,
Nikastushwa na hodi ya mtu wa sensa kidume nikaamka kufungua door, ni karani wa sensa(male) baada ya salam
Nikamchana kuwa nimekuwa counted tyr
Akasema fresh gafla yule binti anatoka kwenda dukani face to face na mm
Nikajiapiza moyoni huyu nitadeal nae tu
Bs bana karani akachimba mm nikarud ndan nikafunga mlango nikawasha redio
Nika tune 88.9 clouds nasikiliza michezo yao ya mchongo pesa
Gafla ikanijia taswira ya yule binti sio pisi qali but ni black, ana kimwili mwili, ila ana tako linalo chipukia hii ndo nilidata,sura mbovu
Demu ni mtu wa mbeya but ni mdogo...
sasa.....
Jinga Sana wew umetoa hbr gani sasaSawa mkuu....haitaki makasiriko!!!
Mambo ya kiswahili mkuu wapi na wapi mm engineer mzeee@goroko77 najua kuunga silabi na irabu lakini wakati mwingine uandishi wako unanitatiza kusoma comments zako