Tatizo la huyo jamaa ana kihehere cha kike na kujifanya mjuaji.Anaparamia wanaume ovyo ovyo.Anadai anazo pesa kila mtu anamwona dogo.Wengine tuna uwezo wa kumparamia mpaka mamake.
Mwenye pesa anajisemaga.

Kaka mwene pesa hasemi anakaa kimya unaona mwenyewe alafu hana majivuno kabisa, sasa haya mambo analeta jamaa ni ya kitoto, kwan kushauri tu ikaishia kwene ushauri inatatizo gani ? majivuno ya nini ? haina faida yeyote ile, cha msingi ni kuwa na busara na matusi hayasaidii kitu chochote kile.
 
Duh mabaharia wanakula mpaka ndugu hawa angalii makunyanzi.hahahaha ni hatari.
 
Nakumbuka mwaka 2004 nikiwa lamadi nauza duka la nyumban ....mara akaja demu mkali kisu kweli anamtafuta mdogo wangu nikamwambia mbona dogo hayupo

Basi nikaanza naye story za hapa na pale demu katulia tu tunaongea ongea !!

Ikafika mida ya lunch nikamwagizia chakula ...kademu kakali ka kinyantuzu keupe ...nikasema leo hapa dogo nampiga kanzu

Mara nikakaambia mi nataka kutoka niende nyumbani nikaoge kakasema mi narudi nyumbani nikakapa number yangu ya cm ...

Dogo akaja nikaukausha kama demu weke mpya kaja ...
Akaniona tu mi naenda home kuoga na kubadili nguo baadae nikarudi .

Mara nikaona text vip sasa
Nika jib nani kakajitambulisha kwa jina aah nikakambia poa sasa naweza kuchukua chumba ..kakaanza ila wewe

Baadae kakakubali faster nikaenda kulipia chumba taiwan ....mida ya saa mbili kakanifata kakanikuta nimekaa maeneo ya kontenor baa pale lamadi

Tukaondoka zetu mdogo mdogo katoto kamependeza balaa ...nikanunua shark mbili

...tukafika chumbani tukawa tunakunywa huku story katoto mara kakanisogelea na kuanza kunilamba masikioni nikaona mbona nachelewa .

..mzee baba nikaanza shughuli kuja kucheki saa saa nane tokea saa nne !! Katoto k iko poa inatereza halafu hamna harufu tokea siku hiyo

Rehema akawa mpenzi wangu dogo akajua akabaki tu saloot!!
 
khaaa mamaee nakupa heshima zote cheef,yani kama vile naangalia kideo
 
Ntaumalizia jana nilikunywa konyagi nililewa sana hang over mpka saiv[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Poa mkuu ila ukitaka hang over ya konyagii ikate we kunywa,maji ya moto moto tu. Na wakati wa kulala au saizi na msosi mwingi basi.

Uta ni tag
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…