jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,293
Mwandiko mbaya jamani
Jamaa mbona kaandika vizuri tu mzee.
Duuh naona wenye vitengo wamenijia jaman ebu tuweke stop maana muusika yupo hum na kanijia juu sana ebu tuache jaman tusubir story zingine kwa usalama wangu na mtot ambae wa kwetu woteee
Toka mwanzo nilihisi story zako ni chai nyingi,
Hili sasa limejidhihirisha uliposhindwa kumalizia hii story,
Sio kwamba umefuatwa na kitengo kama unavyodai,
NO,ila umeshindwa utatunga nini uimalizie
Anyway wahuni tuna-enjoy hata za kutunga.