Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Kweli nimeamini kila mtu na mbabe wake..jamaa alikua hasikii ukimshauri ni matusi tu.. Pigo moja jamaa kawa mpole kama kafumaniwa.
Bora ungekua unakosoa kwa hekima sio matusi na Kujisu kwa wenzio. Moto huzimwa kwa maji sio moto..ungetaka watu wabadirike ungeshauri kwa upole na hekima.
Be Good mkuu Patigoo..Be humble. It's free of charge.
 
Safi sana mkuu kwa kumtuliza bilionea huyu..
Nb. Mabaharia mjifunze kutoka kwa huyu baharia..maana hakujali urafiki alionao na jamaa ila alichofanya ni kuwa protect nyie at any cost..
Ikibidi kufa kubali kufa ili wenzio waishi..Salute mkuu!
Tunakuvika cheo Cha Kamanda Baharia
Sio kamanda baharia mie kamanda by profesional kabisa
 
Boss Nilipe halafu nitumie ujumbe unaoutaka pm mi niwe nauweka hapa.
Unataka nn sijakuelewa yaacheni huyu ni mwanangu siwezi kumweka hadharani hapa utajiri wetu tunaujua tulikoutoa ila hapa kuna watu wa vipato tofauti tofauti sio vyema kuzungumza hapa , kaka PATIGOO humu huezi eleweka nimepitia comments zako vizuri ndio nikaandika hivi.
Angalizo kama mods mlionipiga ban wiki mbili zilizopita mnaweza iquote ile aya nilioandika ikapelekea kupigwa ban kwa wiki mbili, muiweke hapa.
Vijana watapata ya kujifunza na pia mnaoendelea kula tunda kimasihara endeleeni tu, mwenzenu nilioa kimasihara kilichonikuta nakijua mimi. 0717135641 niko wasap tukutane huko
 
Mkuu hadithia hapa yaliyotokea baada ya kuoa kimasihara..Wasap sio wote watumiaji...
Humu tunajifunza mengi pia sio kuburudika tu.
Amesha fupisha story ndugu yangu mbona kaeleza kila kitu unaweza unganisha dots tu mchoro utakua tayari, navizia nitupie kitu huko njia panda soon na mkumbuke nawambia kabisa I'd zangu ni halisi sio za kukopy.
Tulenitunda kimasihara hasa msimu huu wa sikukuu jamani.
Maumivu perday tuje tutoe na experience ya maumivu ya kimasihara, kiafya, kiuchumi na kiakili hivyo yaani.
 
Unataka nn sijakuelewa yaacheni huyu ni mwanangu siwezi kumweka hadharani hapa utajiri wetu tunaujua tulikoutoa ila hapa kuna watu wa vipato tofauti tofauti sio vyema kuzungumza hapa , kaka PATIGOO humu huezi eleweka nimepitia comments zako vizuri ndio nikaandika hivi.
Angalizo kama mods mlionipiga ban wiki mbili zilizopita mnaweza iquote ile aya nilioandika ikapelekea kupigwa ban kwa wiki mbili, muiweke hapa.
Vijana watapata ya kujifunza na pia mnaoendelea kula tunda kimasihara endeleeni tu, mwenzenu nilioa kimasihara kilichonikuta nakijua mimi. 0717135641 niko wasap tukutane huko
Samahani kwa hiyo mpaka sasa hivi umeoaa au huyo wa kimasiharaaa
 
Da'Vinci, jamaa kawa mpole hata siamini, huko juu alinivurumishia matusi sana..lakini kwa jamaa kanywea dk0
 
Back
Top Bottom