Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,558
Kweli nimeamini kila mtu na mbabe wake..jamaa alikua hasikii ukimshauri ni matusi tu.. Pigo moja jamaa kawa mpole kama kafumaniwa.
Bora ungekua unakosoa kwa hekima sio matusi na Kujisu kwa wenzio. Moto huzimwa kwa maji sio moto..ungetaka watu wabadirike ungeshauri kwa upole na hekima.
Be Good mkuu Patigoo..Be humble. It's free of charge.
Bora ungekua unakosoa kwa hekima sio matusi na Kujisu kwa wenzio. Moto huzimwa kwa maji sio moto..ungetaka watu wabadirike ungeshauri kwa upole na hekima.
Be Good mkuu Patigoo..Be humble. It's free of charge.


