Kuna mdada nilikuwaga nammezea mate mda mrefu. Tumezoeana Sana ila namba sikuwa nayo. Maana Mimi nikishamiliki namba simcheleweshi. Kwa hiyo kabla sijachukua namba lazima nipime upepo kama nitakula. Yaani udhaifu wake upo wapi?
Ijumaa jioni iliyopita nikamkuta kanisani wanasubiliana na wanakwaya wenzie, walikuwa na kisafari kwenda kuimba sehemu Fulani kulikuwa na sherehe ya katekista.
Aliponiona kanikimbilia, mara naomba unisaidie elfu 5 ya nauli tumekurupushwa hatujajiandaa. Ili kummakinisha zaidi nikamwambia utapitia ofisini kwangu. Baadae kweli akapitia nkampa na namba akasepa.
Jumamosi akarudi mapema akadai ameugua, nkampa pole pale, nkapotezea.
Jumapl kwenye saa tatu usiku nikampigia. "Vipi mgonjwa unaendeleaje? Nakuja kukusalimu ila sitaki kufika kwako, nataka nikuone wewe tu. Tukutane sehem fulani". Dem akarespond, nkamkuta eneo la tukio. Sikumpa ata salamu, nikamwambia hapa si salama, nifate. Nikaongoza njia akaongoza mpaka kwenye jumba halijaisha. Hatukingia ndani tukaa kwenye velanda ya ile nyumba.
Hapo ndo nikamuliza za homa na kumpa pole nyingi.
Nikaona hapa namaliza mchezo. Nkawa najaribu kushika maeneo muhimu Wala sipati pingamizi. Tatizo alikuwa amevaa njisi kwa ndani, afu ataki nicheze na ikulu.
Nikajisemea hapa Ni kukomaa mpaka kieleweke, Kuna mda nkawa nmekata tamaa. Kumbe anavunga tu alikuwa amechoka. Akaniambia, ungekuwa na salama ningekupa. Akiwa anajua kabisa Sina. Wakati kanuni yangu namba moja Kama naenda kukutana na mwanamke kwa lengo la kumtongoza Cha kwanza nabeba kondom, yaan Bora nikose ****, nikarudi na ndomu zangu.
Nikamwambia Hilo sio tatizo.
Mara nirudi home kwanza nitakukuta hapa.
Nikasema poa ila nyie hamuaminiki, nikampokonya mtandio na alikuwa ameufungia fundo la hela, kiasi sikukijua. We nenda usiporudi mtandio na hela halali yangu. Na utanikuta pale. Akasema poa.
Kaenda kuoga karudi na kanga moko.
Nilimpa show moja. Leo siku ya tatu ananimwagia sifa kedekede kila mara.