Mkaka alikuwa rafiki tu japo tulikuwa htuonani maranyingi Ila tulifahamiana coz alikuwa sports trainer nami kunakazi nilipewa akwa ananisaidia huwa tunachat Sana nilikuwa likizo zikabaki sikumbili niondoke akaomba nimuone kbla sijaondoka nikampigia akadai Yuko busy Sana anakuwepo kwake kuanzia saa moja niende nisikose
Nikaona sio kesi nikajiandaa saa 12 niwahi kma ilivo kawaida dar foleni nikafika saa 3 kasoro nikaona nimpigie simudada angu hakai mbali Sana ili nikishamuona niende nikalale kwake
Nafika naletew funguo hakuingia hta ndani anasema nimsubir anakuja nikafungua nikakaa sebulen mda unazidi kwenda had saa nne ndo anarudi Ile kufika anaingia ndani akaniinua nilipokaa akanikumbatia Ile ya kunishika kiuno nikashtua akanibana ikabidi nitulie akasema nimsamehe kachelewa nikamwambia mdaumeenda Sana nahitaji niende ukizingatia nipo mwenyew akadai atanisindikiza nimsubir ajiandae Mara akaingia chumbni akaniita

kunakitu nikachukue maramoja naingia akanihug sijakaa vzuri busu nikajisogeza nikanuna akadai hawez nisindikiza nilale
Chumba kimoja nalala wapi usiku ule pia siwez ondoka mda huo saa sita kasoro akanipa shuka nilale kitandani yeye atalala sebuleni nikalala na nguo zangu akakasirika akaanza kunichamba nalalaje na nguo hawez nifanya kitu nikahama nikaenda kulala sebuleni kwenye Kochi
Wakat huo yupo chumbani Mimi usingiz umekata akanitumia sms naomba uje ulale chumbani nikakausha akanifata sebuleni akaanza kunichamba sikumjibu akarudi chumbani, akja Tena kwa upole niende kulala yeye atalal sebulen Hadi muda huo ni saa Saba nikaenda chumbn yeye akbki nikafunga mlango ila sikulala alfajir nikaondoka hatukusemeshana akanuna akaniblock nami namba nikafuta urafiki ukafa...
Ila pale chumbani niliingiwa na kahuruma

sema nikakaza tu alafu nikawaza kaziyake inamkutanisha na watuwangapi wote akiwapitia inakuaje kirohombya kinanijia Tena