Miaka kadhaa nyuma natoka Kigali Rwanda nipo Airport nasubiri kuconnect flight inayotoka Entebe Uganda kurudi zangu D'salaam.Ndege ilipofika tukahabarishwa abiria tujivute Onboard,Nikazama ndani ya chombo ilikuwa RwandaAir nikaangaza kuangalia siti namba yangu mara paap nakuta mrembo amekaa ilipo siti yangu. Nikamsamilia na kumwambia umekaa wrong position akaangalia ticket yake akakuta kweli akataka anipishe maana ilikuwa nikae kwa dirishani nikamwambia no worry cute relax ntakaa tu hapa...flight ikatakeover baada ya muda ikakaa level muda wote huo hakuna maongezi kati yetu zaidi ya ile conversation ya awali, pisi ilikuwa inasoma magazine tu.Wahudumu kama kawaida wakapitisha bites na some soft and hot drinks ,mzee baba nikaanzisha story mtindo wa maswali ili nipate data zake akawa anaonyesha ushirikiano mzuri tu nikawa nazidi kupata confedence kadri mda unavyoenda, maongezi muda wote ilikuwa kwa lugha ya malkia maana alikuwa hajuhi kiswahili vizuri.Nikagundua she was so charming ukituona ivi unaweza zani tunajuana kitambo kumbe wapi ni ile uchakalamu wangu tu....flight ikazidi kukata mawingu muda si muda tunasikia tulock belts tunakaribia kutua.Nikasema ngoja nijilipue tu hata kama akichomoa poa tu sio ishu nikajipa moyo nikamuuliza Dar unafikia maeneo gani? akajibu Upanga kwa Mdosi wake wa kimarekani kuna dereva atamfata airport, nikamwambia naomba namba yako huku nampa peni aandike kwenye ticket maana simu tulikuwa tumezima kufata maelekezo ndani ya ndege. Pisi haikuvunga akaandika namba akanitajia na jina lake N...nami nikamtajia langu, Tukatua salama tukaagana maana alikuwa yupo speed sana. Mzee baba nikatoka zangu nikakuta jamaa angu ananisubir tukaamsha mpaka magetoni. Nikatulia kama siku mbili sikumtafuta siku ya tatu jioni flani nikasema ngoja niicheki ile pisi, nikaitext Hey N...watsup its me JJ, ikapita kama nusu saa no reply nikapotezea nikaendelea na mishe zingine kuchek simu tena nikakuta text yake Hi JJ, how u doing? Mzee baba nikasema hapa hakuna kupoteza muda na malove story nikamuuliza unatime jioni tuonane, akaniuliza where? nikamwambia samaki samaki mcity. Akasema fresh kwanza am lonely jamaa yuko busy sana, nikamwabia worry not i will take care of that. Akacheka akamalizia lets go have funny...
Mzee baba kiza kilivyoanza ingia nikajisogeza eneo la tukio nikatafuta position nzuri ili nione wanaoingia pale samakisamaki nikamtext am here waiting for u, akajibu on the way see u soon. Nikasema leo babu wa kizungu pisi yake lazima ipelekewe moto kudadeki...Ghafla nikaona mtoto anakuja kwa mbali kapendeza mbaya halafu anatembea kama twiga flani maana alikuwa na height flani ya kimiss chini kapiga zile buti ndefu nyeusi suruali nyeusi zile za kuteleza na top nyeusi ilioacha mabega wazi halafu ana color flani ya chungwa...watu macho kodo halafu demu full confidence hana habari ahaa haaa , alivyokaribia nikamwambia muhudumu huyo demu muelekeze hapa ni mgeni wangu. Alivyofika huggy kama zote mzee baba nikasema leo ndio leo nami nikajitoa ufahamu mbaya ili twende sawa...tukapiga vyombo pale sio kipolepole, demu wine zikampanda anashake body full kuimbaimba kama ule mziki ulivyokuwa unapigwa pale. Nikachek time nikaona muda umesogea nikamwambia nishabook room hotel twende zetu tukamalizie funny , hakupinga nikamshika mkono hao mdogo mdogo hadi nilipopark. Sikuwa nimechukua room kwa kweli nilizuga nione atasemaje. Nikazama maeneo ya sinza kwny hotel flani nikaulizia room fasta nikalipa nikamfata parking tukazama ndani...nilimpelekea moto yule demu sio wa kipolepole piga mizunguko mitatu ya kiutu uzima hadi anadai dah JJ mkeo atakuwa anajifaidi sana sio kwa kunifu*ck huku nikamwambia kawaida tu mrembo akaishia kuguna tu. Nikamsogeza hadi maeneo ya Upanga karibu na apartment yao mzee baba nikarudi magetoni mwepesiiii....
Akawa kila akija Bongo ananichek tuna hung out nakula mbususu kama kawa, hadi yule jamaa ake alivyorudi kwao Marekani nadhani muda wake kuwepo Bongo ulikuwa umeisha na demu nae akakata mguu, last time namchek akaniambia yupo zake Dubai anapiga bizness to and fro Uganda. That is my little story sijuhi kama ni kimasihara au la utajaza wewe , nilichofurahia na kunifanya nisimsahau ni zile vibes zake yaani full kisela ingawa ni mcute hasa...all the best Nelly wherever u'r.