Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Miaka kadhaa nyuma natoka Kigali Rwanda nipo Airport nasubiri kuconnect flight inayotoka Entebe Uganda kurudi zangu D'salaam.Ndege ilipofika tukahabarishwa abiria tujivute Onboard,Nikazama ndani ya chombo ilikuwa RwandaAir nikaangaza kuangalia siti namba yangu mara paap nakuta mrembo amekaa ilipo siti yangu. Nikamsamilia na kumwambia umekaa wrong position akaangalia ticket yake akakuta kweli akataka anipishe maana ilikuwa nikae kwa dirishani nikamwambia no worry cute relax ntakaa tu hapa...flight ikatakeover baada ya muda ikakaa level muda wote huo hakuna maongezi kati yetu zaidi ya ile conversation ya awali, pisi ilikuwa inasoma magazine tu.Wahudumu kama kawaida wakapitisha bites na some soft and hot drinks ,mzee baba nikaanzisha story mtindo wa maswali ili nipate data zake akawa anaonyesha ushirikiano mzuri tu nikawa nazidi kupata confedence kadri mda unavyoenda, maongezi muda wote ilikuwa kwa lugha ya malkia maana alikuwa hajuhi kiswahili vizuri.Nikagundua she was so charming ukituona ivi unaweza zani tunajuana kitambo kumbe wapi ni ile uchakalamu wangu tu....flight ikazidi kukata mawingu muda si muda tunasikia tulock belts tunakaribia kutua.Nikasema ngoja nijilipue tu hata kama akichomoa poa tu sio ishu nikajipa moyo nikamuuliza Dar unafikia maeneo gani? akajibu Upanga kwa Mdosi wake wa kimarekani kuna dereva atamfata airport, nikamwambia naomba namba yako huku nampa peni aandike kwenye ticket maana simu tulikuwa tumezima kufata maelekezo ndani ya ndege. Pisi haikuvunga akaandika namba akanitajia na jina lake N...nami nikamtajia langu, Tukatua salama tukaagana maana alikuwa yupo speed sana. Mzee baba nikatoka zangu nikakuta jamaa angu ananisubir tukaamsha mpaka magetoni. Nikatulia kama siku mbili sikumtafuta siku ya tatu jioni flani nikasema ngoja niicheki ile pisi, nikaitext Hey N...watsup its me JJ, ikapita kama nusu saa no reply nikapotezea nikaendelea na mishe zingine kuchek simu tena nikakuta text yake Hi JJ, how u doing? Mzee baba nikasema hapa hakuna kupoteza muda na malove story nikamuuliza unatime jioni tuonane, akaniuliza where? nikamwambia samaki samaki mcity. Akasema fresh kwanza am lonely jamaa yuko busy sana, nikamwabia worry not i will take care of that. Akacheka akamalizia lets go have funny...

Mzee baba kiza kilivyoanza ingia nikajisogeza eneo la tukio nikatafuta position nzuri ili nione wanaoingia pale samakisamaki nikamtext am here waiting for u, akajibu on the way see u soon. Nikasema leo babu wa kizungu pisi yake lazima ipelekewe moto kudadeki...Ghafla nikaona mtoto anakuja kwa mbali kapendeza mbaya halafu anatembea kama twiga flani maana alikuwa na height flani ya kimiss chini kapiga zile buti ndefu nyeusi suruali nyeusi zile za kuteleza na top nyeusi ilioacha mabega wazi halafu ana color flani ya chungwa...watu macho kodo halafu demu full confidence hana habari ahaa haaa , alivyokaribia nikamwambia muhudumu huyo demu muelekeze hapa ni mgeni wangu. Alivyofika huggy kama zote mzee baba nikasema leo ndio leo nami nikajitoa ufahamu mbaya ili twende sawa...tukapiga vyombo pale sio kipolepole, demu wine zikampanda anashake body full kuimbaimba kama ule mziki ulivyokuwa unapigwa pale. Nikachek time nikaona muda umesogea nikamwambia nishabook room hotel twende zetu tukamalizie funny , hakupinga nikamshika mkono hao mdogo mdogo hadi nilipopark. Sikuwa nimechukua room kwa kweli nilizuga nione atasemaje. Nikazama maeneo ya sinza kwny hotel flani nikaulizia room fasta nikalipa nikamfata parking tukazama ndani...nilimpelekea moto yule demu sio wa kipolepole piga mizunguko mitatu ya kiutu uzima hadi anadai dah JJ mkeo atakuwa anajifaidi sana sio kwa kunifu*ck huku nikamwambia kawaida tu mrembo akaishia kuguna tu. Nikamsogeza hadi maeneo ya Upanga karibu na apartment yao mzee baba nikarudi magetoni mwepesiiii....

Akawa kila akija Bongo ananichek tuna hung out nakula mbususu kama kawa, hadi yule jamaa ake alivyorudi kwao Marekani nadhani muda wake kuwepo Bongo ulikuwa umeisha na demu nae akakata mguu, last time namchek akaniambia yupo zake Dubai anapiga bizness to and fro Uganda. That is my little story sijuhi kama ni kimasihara au la utajaza wewe , nilichofurahia na kunifanya nisimsahau ni zile vibes zake yaani full kisela ingawa ni mcute hasa...all the best Nelly wherever u'r.
Hi ni kimasiara kabisa big up
 
Maanina zenu mnatupotezea muda mnachat ng'ombe nyie aliyewaambia huu uzi wa kuchati ni nani..? Wengine mnajiuza kupitia huu uzi mbwa nyie...
Ukishaweka story yako kaa pembeni endelea kusoma story za wengine... Mtu akiweka story yake unaanza kumuuliza maswali ya kisenge senge tu... Kuna wanaume mashoga sana humu...
Haya weka basi kimasikhara yako.

Tunachat hapa kimasikhara zimepungua, jazia basi yako.
 
Niliwahi kusimlia humu jinsi yule mheshimiwa alivyonikula kimasihara.
Tuliachana tukapotezana kabisa lakini hatukugombana.

Ashukuriwe member aliyeleta humu Jf uzi wenye link ya kupata namba za simu ulizopoteza hata miaka 10 iliyopita.

Nitarudi kuwaelezea nilivyompata mheshimiwa wangu tukapasha kiporo.....
hyo link iweke humu mkuu.
 
Maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu. Yaani Mungu akae ndani yako. ( Usafi)Lakini hata shetani anakaa ndani ya watu. Wengine anawaita KITI. (Uchafu).

Yesu alipotaka kuzaliwa ndanibya watu alikuwa Nyumba zimejaa wageni.(Maovu)

Wageni ni matendo maovu naongea kwa Habari ya Uzinzi na uasherati yaani kimasihara na vyovyote vile ni Moja ya Machukuzo makubwa maana yanahusisha Mwili ambalo ni hekalu la Roho mtakatifu sasa shetani anamiliki. Sishangai shetani kunitukana maana hayo ndiyo mambo yake.

Tamani kuwatimua wageni ndani yako ili Yesu azaliwe. Mawazo mabaya huharibu tabia njema. Uzinzi na uasherati hufanywa sirini wanaokujua wasikuone. Kama ni haki fanya kwa uwazi tu. Ni Giza yaani matendo ya Giza. Giza ni la shetani.

Ipo Nuru ambayo imetuijilia yenyewe italiangazia Giza wala giza halitaipenda.

Neema yake Mungu iliangazie taifa la Mungu Amina.
umeshawahi kumuona huyo Mungu unaemzungumzia...
 
Nani alimpiga bann mtumishi?
JamiiForums-299521745.jpg
 
Enzi hizo Niko mkoa Fulani, wilaya Fulani mwisho wa reli. Mimi nilikuwa wilayani km in charge wa huko na jamaa zangu wa kampuni moja na mimi walikuwa mkoani. Basi Kila week end ilikuwa lazima niingie mjini, yaani mkoani niungane na jamaa zangu ni-refresh mind.

Week end Moja nikawa na mwenyeji wangu "location" yaani kiwanja Cha kula raha tulikuwa tukiita hivyo. Jamaa alikuwa na demu wake Mimi mgeni Sina mtu nachakata maji na nyama tu. Mara jamaa akamshtua demu wake aniitie rafiki yake anipe kampani. Ilikuwa km utani lkn shemeji akanyanyua simu kumwita rafikiye.

Wkt rafikiye anakuja jamaa na demu wake waliishaenda kujipooza ndani, na Mimi nikawa nimebaki mwenyewe namsubiri mgeni afike. Mara mgeni akafika, kalikuwa kadada karembo kweli, kanyamwezi kale bado kinda fulani hivi. Nikajitambulisha, nikamwambia rafikiye wako ndani wanajipooza na boyfreind wake ila aagize chochote anachotaka.

Baada ya kuagiza vinywaji na maakuli, Mimi nikajitoa ufahamu nikamwambia unaonaje tuhamie ndani ni kuzuri zaidi ya hapo. Salalee!!! akakubali na tukahamishiwa Kila kilichochetu chumbani. Huko sasa ilikuwa ni ufundi wa kuchakata maneno kumkaribisha mgeni ili awe mwenyeji na mchakato ukamilike.

Mshikaji alipotoka na demu wake ilibidi watupigie simu, tukavunga tumehama kiwanja wao waendelee tu na yao.

Baadae jamaa, alishangaa Sana imekuwaje nimemkula mwanachuo haraka hivyo. Ndio hivyo niliuliza kimasahara kuingia ndani, akakubali nikala mpaka mzigo. Aliendelea kuwa demu wangu mpaka nilipohama kikazi.
 
Kudhamini ni bando tu. Sasa kama bando linakula mtu kimasihara sawa.
Wa kunila kimasihara mbona ninae amejaa tele anajipimia tu mda wote...
Sema sipost story bure ndo msimamo wangu
Wanawake washamba Sana .... Sasa kwani usipo tuadithia ndio uzi utatutwa au ....?

Mbona una ubinafsi wa kishamba hivyo ....?
 
Back
Top Bottom