Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Sikujua kama nitakutana na omba omba humu. Ukatae ukubali ww ni omba omba unayekuja kwa style yako. Na tukikuendekeza utageuza iwe haki yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣
Haya mkuu
 
Maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu. Yaani Mungu akae ndani yako. ( Usafi)Lakini hata shetani anakaa ndani ya watu. Wengine anawaita KITI. (Uchafu).

Yesu alipotaka kuzaliwa ndanibya watu alikuwa Nyumba zimejaa wageni.(Maovu)

Wageni ni matendo maovu naongea kwa Habari ya Uzinzi na uasherati yaani kimasihara na vyovyote vile ni Moja ya Machukuzo makubwa maana yanahusisha Mwili ambalo ni hekalu la Roho mtakatifu sasa shetani anamiliki. Sishangai shetani kunitukana maana hayo ndiyo mambo yake.

Tamani kuwatimua wageni ndani yako ili Yesu azaliwe. Mawazo mabaya huharibu tabia njema. Uzinzi na uasherati hufanywa sirini wanaokujua wasikuone. Kama ni haki fanya kwa uwazi tu. Ni Giza yaani matendo ya Giza. Giza ni la shetani.

Ipo Nuru ambayo imetuijilia yenyewe italiangazia Giza wala giza halitaipenda.

Neema yake Mungu iliangazie taifa la Mungu Amina.
umeshawahi kumuona huyo Mungu unaemzungumzia...
 
Nani alimpiga bann mtumishi?[emoji23]
JamiiForums-299521745.jpg
 
Enzi hizo Niko mkoa Fulani, wilaya Fulani mwisho wa reli. Mimi nilikuwa wilayani km in charge wa huko na jamaa zangu wa kampuni moja na mimi walikuwa mkoani. Basi Kila week end ilikuwa lazima niingie mjini, yaani mkoani niungane na jamaa zangu ni-refresh mind.

Week end Moja nikawa na mwenyeji wangu "location" yaani kiwanja Cha kula raha tulikuwa tukiita hivyo. Jamaa alikuwa na demu wake Mimi mgeni Sina mtu nachakata maji na nyama tu. Mara jamaa akamshtua demu wake aniitie rafiki yake anipe kampani. Ilikuwa km utani lkn shemeji akanyanyua simu kumwita rafikiye.

Wkt rafikiye anakuja jamaa na demu wake waliishaenda kujipooza ndani, na Mimi nikawa nimebaki mwenyewe namsubiri mgeni afike. Mara mgeni akafika, kalikuwa kadada karembo kweli, kanyamwezi kale bado kinda fulani hivi. Nikajitambulisha, nikamwambia rafikiye wako ndani wanajipooza na boyfreind wake ila aagize chochote anachotaka.

Baada ya kuagiza vinywaji na maakuli, Mimi nikajitoa ufahamu nikamwambia unaonaje tuhamie ndani ni kuzuri zaidi ya hapo. Salalee!!! akakubali na tukahamishiwa Kila kilichochetu chumbani. Huko sasa ilikuwa ni ufundi wa kuchakata maneno kumkaribisha mgeni ili awe mwenyeji na mchakato ukamilike.

Mshikaji alipotoka na demu wake ilibidi watupigie simu, tukavunga tumehama kiwanja wao waendelee tu na yao.

Baadae jamaa, alishangaa Sana imekuwaje nimemkula mwanachuo haraka hivyo. Ndio hivyo niliuliza kimasahara kuingia ndani, akakubali nikala mpaka mzigo. Aliendelea kuwa demu wangu mpaka nilipohama kikazi.
 
Kudhamini ni bando tu. Sasa kama bando linakula mtu kimasihara sawa.
Wa kunila kimasihara mbona ninae amejaa tele anajipimia tu mda wote...
Sema sipost story bure ndo msimamo wangu
Wanawake washamba Sana .... Sasa kwani usipo tuadithia ndio uzi utatutwa au ....?

Mbona una ubinafsi wa kishamba hivyo ....?
 
Maanina zenu mnatupotezea muda mnachat ng'ombe nyie aliyewaambia huu uzi wa kuchati ni nani..? Wengine mnajiuza kupitia huu uzi mbwa nyie...
Ukishaweka story yako kaa pembeni endelea kusoma story za wengine... Mtu akiweka story yake unaanza kumuuliza maswali ya kisenge senge tu... Kuna wanaume mashoga sana humu...

Oyaaa
 
Nyiee wanawake washamba toeni njaa zenu humu.

Na nyie wanaume mawumanaiza acheni ulimbukeni mnatumika vibaya na kizembe Sana hivyo vishilingi Mwenyezi Mungu alivyo wajaalia vitumieni vizuri ..msivitumie kufurahisha Hawa washamba cos vikija kuisha mtanyooka.

Huu uzi umesonga bila story zenu kuwepo na utasonga bila story zenu.

Kama unahisi story yako ni big deal keep it utamuadisia Basha wako period.
 
Back
Top Bottom