Niwekee namba za vocha pmNipe no: nikutumie salio
Sinaga story mbovu hata kidogo[mention]Nakadori [/mention] hiyo stori itume kwanza pm kama nzuri
Mtu aisome airidhie kisha atume muamala sio kupata udhamini alafu ukute stor yenyewe mbovu sana
Mjini cha bure shkamoo tu mkuuHuu uzi unapitia nyakat nyingi tofauti tofauti
Mara makuruta
Ikaja mchungaji uchwara
Sasa kulipia ili mtu apost
Mara kunyonyana kwapa
Mjini cha bure shkamoo tu mkuu
Wadhamini watapatikana shostAkipatikana mdhamini wa kueleweka (I mean wa kueleweka) nitaleta namna nilivyopoteza bikira yangu kimasihara

Kudhamini ni bando tu. Sasa kama bando linakula mtu kimasihara sawa.
Wa kunila kimasihara mbona ninae amejaa tele anajipimia tu mda wote...
Sema sipost story bure ndo msimamo wangu



Mbona ya juzi ilidhaminiwa....Wadhamini watapatikana shost![]()
Leta sasa story hiyo tuishi nayoMbona ya juzi ilidhaminiwa....
Uzuri story zangu wala situngi ni ukweli 100%
Ukiona napost basi ujue yupo aliyedhaminiLeta sasa story hiyo tuishi nayo
@Nakadori stori zako za kuliwa kimashara huwa nazipenda balaaAkipatikana mdhamini wa kueleweka (I mean wa kueleweka) nitaleta namna nilivyopoteza bikira yangu kimasihara
Ndo udhamini post.@Nakadori stori zako za kuliwa kimashara huwa nazipenda balaa
Huyu wa kulipiwa/kudhamini ndio kanishangaza kuliko wote. Yaani yeye ili apost ni lazima wawepo wadhamini, basi wenye pesa za kudhamini waje kutoa bundle tupate uhondo...Huu uzi unapitia nyakat nyingi tofauti tofauti
Mara makuruta
Ikaja mchungaji uchwara
Sasa kulipia ili mtu apost
Mara kunyonyana kwapa
Kaa nayo utasimulia wajukuu zako siku ukiwa ajuza.Kudhamini ni bando tu. Sasa kama bando linakula mtu kimasihara sawa.
Wa kunila kimasihara mbona ninae amejaa tele anajipimia tu mda wote...
Sema sipost story bure ndo msimamo wangu
Mkuu wenzako washakubali kudhamini. Kuna watu hawana mbambamba hapa jfKaa nayo utasimulia wajukuu zako siku ukiwa ajuza.
Nipo tayari mpenziNdo udhamini post.
Unapenda kuzisoma halafu unakuwa mgumu kudhamini post...
Unadhan kuandika na kupangilia mtukio hadi uelewe ni kazi rahisii??