mimi ilikua mwaka 2019 maeneo ya Makao mapya Arusha nilikua baa moja maarufu Picnic nimekaa mwenyewe ninagonga bia na nyama choma,meza ya mbele yangu alikaa demu mmoja na jamaa yake demu alikua anatazama upande wangu na jamaa alikua anatazama upande wa tv yaani opposite na uelekeo wangu,nilichofanya nikampungia demu mkono akijibu kwa kuitikia kwa kichwa, nikamuita muhudumu nikampa namba yangu ya simu ajitahidi ampe yule demu,mhudumu alimfuata yule demu akamuomba jamaa yake demu akamfunge zip ya sketi chooni ndipo mhudumu akampa namba tukachat pale pale demu akaniambia nitoke nje sehemu nimsubiri niandae boda, demu alivyotoka tukachomoka nikagonga mashine, mara jamaa akampigia demu simu inaita demu akaizima tukala raha .