Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,341
Haya kaa hapo endelea kuhubiriWengine wana sema niende Jukwaa la Dini. Nami nawauliza. MUNGU DINI GANI? ukipata jibu kaa nalo uwe na hakika sijaingia bahati mbaya.
Haya kaa hapo endelea kuhubiriWengine wana sema niende Jukwaa la Dini. Nami nawauliza. MUNGU DINI GANI? ukipata jibu kaa nalo uwe na hakika sijaingia bahati mbaya.
Safi, weka namba ya mkeo hapa tukuprove wrong.Mke na watoto wawil ninao ndoa ina miaka 5 na nina miaka 37. Nna degree ya Ugavi na nimeokoka nampenda Yesu
Kama mtu unayenilazimisha kuyafuata uyatakayoUkiwa kama Nan
Safi, weka namba ya mkeo hapa tukuprove wrong.
Kama mtu unayenilazimisha kuyafuata uyatako
KWani wewe nawe si utahukumiwa kwa matendo yako..!!!Kazi yangu ni pamoja na hii nayoifaanya mkuu. Nalipwa na Yesu ulinzi, uzima,hakuna ajar, hakuna magonjwa. Naskia hata mnaulizana habari za kutumia kinga kondom katika kujamiiana mnaogopa KUFAmmekwisha kufa kiroho Nipo hapa kuwapa Neema itakayowafufua ndicho kilichomleta Yesu duniani nami niliye mjoli wake sitishwi na sauti za kunikemea bali ndo kwanza Sijaanza yaan namtafuta Mtu mmoja tu ambae atakutana na Bwana wangu. Yesu Kristo, Mungu mwenye nguvu na Baba wa Milele si tulia. Bado sana Nipo si hukumu mtu mimi bali nahubir injil wewe utahukumiwa na matendo yako mwenyewe
Saa tisa usiku nipo room hotel flani mjini , Demu kakosea room kagonga kwangu, nashtuka sio kawaida, nani huyu ? Anagonga tena, nafungua mlango haaa.. mtoto mkali na kataulo tu.. akasema sorry nimekosea room.. ile narudisha mlango akaita "kaka, naogopa kulala peke yangu" .. naomba nikae hapo kwako, nikaogopa kwanza, nikamuuliza room number yake nikaenda prove kweli yupo alone, nikamuambia poa, karibu hadi kwenye makochi na mie kitandani mtoto akaanza zunguka bafuni nisije kuwa na mtu cheki cheki .. ananiuliza maswali kibao kama mpelelezi vile najibu hili linakuja hili, maana pale nilikuwa nimekaa karibia mieizi sita kwa ajiri ya kikazi.. haraka haraka nikawaza huyu asije kuwa anafatilia nyendo zangu alafu leo nikauza mechi kizembe zembe , kwanza kwanini asiende kwenye vyumba vingine kaja straigh kwangu ? na kutoka kwake hadi kwangu kuna vyumba katik kati hapoa karibua vinne na ni umbali kama wa second 30 kutoka kwake kuja kwangu, akili ikaanza kuwaza hakai kwenye makochi haji kitandani anakagua tunikasema mwamba nimekosea mahesabu nimevunja mwiko



muogope Mungu. Usinikwoti kama unaona huniambii mimiWapi nimekulazimisha mkuu. Msalaba wako mwenyewe nikulazimishe mimi kuubeba. Hapana mkuu Neno langu linaweza lisikufaa ila likamfaa hata msomaji tu so usichukie si lako hili
Walishakuja wengi wewe sijui wa Saba, utaondoka Kama wenzako. Fuatilia replies huko juu utakutana na wachungaji wenzako ambao walitwanga maji yakawashinda wakala konaWengine wana sema niende Jukwaa la Dini. Nami nawauliza. MUNGU DINI GANI? ukipata jibu kaa nalo uwe na hakika sijaingia bahati mbaya.
Usinikwoti kama unaona huniambii mimi
Walishakuja wengi wewe sijui wa Saba, utaondoka Kama wenzako. Fuatilia replies huko juu utakutana na wachungaji wenzako ambao walitwanga maji yakawashinda wakala kona
anajongea kwenye taa. Sio kosa lako bali ni vifungo. Yesu yuko hapa kufungua sasa na wiki nzima hii reluxMuache, akichoka atajisepesha.Walishakuja wengi wewe sijui wa Saba, utaondoka Kama wenzako. Fuatilia replies huko juu utakutana na wachungaji wenzako ambao walitwanga maji yakawashinda wakala kona
Muache, akichoka atajisepesha.
Usitutishe, ukimaliza kilichokuleta jisepeshe.Sahihi nikianza kuwaita kwa majina ndo mtajua hamjui
Acheni kujibishana naye.Usitutishe, ukimaliza kilichokuleta jisepeshe.



mkuu hukula mbususu yake?Saa tisa usiku nipo room hotel flani mjini , Demu kakosea room kagonga kwangu, nashtuka sio kawaida, nani huyu ? Anagonga tena, nafungua mlango haaa.. mtoto mkali na kataulo tu.. akasema sorry nimekosea room.. ile narudisha mlango akaita "kaka, naogopa kulala peke yangu" .. naomba nikae hapo kwako, nikaogopa kwanza, nikamuuliza room number yake nikaenda prove kweli yupo alone, nikamuambia poa, karibu hadi kwenye makochi na mie kitandani mtoto akaanza zunguka bafuni nisije kuwa na mtu cheki cheki .. ananiuliza maswali kibao kama mpelelezi vile najibu hili linakuja hili, maana pale nilikuwa nimekaa karibia mieizi sita kwa ajiri ya kikazi.. haraka haraka nikawaza huyu asije kuwa anafatilia nyendo zangu alafu leo nikauza mechi kizembe zembe , kwanza kwanini asiende kwenye vyumba vingine kaja straigh kwangu ? na kutoka kwake hadi kwangu kuna vyumba katik kati hapoa karibua vinne na ni umbali kama wa second 30 kutoka kwake kuja kwangu, akili ikaanza kuwaza hakai kwenye makochi haji kitandani anakagua tu 😄😄😄😄 nikasema mwamba nimekosea mahesabu nimevunja mwiko
mkuu roby pharmacy napajua, nitaenda na mimi kuomba mbususu yakeWhy umetaja mpaka sehemu anayofanyia kazi
mkuu ukipakwa mawese kwenye marinda huko usilieNipo mbioni kula mke ya mtuu ila hii sio kimasiara
Acheni kujibishana naye.
Just ignore him....atabwabwaja na mwishowe atakwenda zake...
Atamwokoa nani kwa mabezo, majigambo na mateso yake haya ya rejareja? Lugha pekee inayoeleweka kwa mwenye dhambi ni upendo tena kwa vitendo. Huyu hata kwa maneno yake tu unaweza kuona kuwa kuna tatizo mahali...
Hakuna mijitu minafiki na self righteous kama milokole![]()


upole kwan nimekufunga mimi mkuu. Shetan anakemewa sio mwanadamu.