Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Kazi yangu ni pamoja na hii nayoifaanya mkuu. Nalipwa na Yesu ulinzi, uzima,hakuna ajar, hakuna magonjwa. Naskia hata mnaulizana habari za kutumia kinga kondom katika kujamiiana mnaogopa KUFA mmekwisha kufa kiroho Nipo hapa kuwapa Neema itakayowafufua ndicho kilichomleta Yesu duniani nami niliye mjoli wake sitishwi na sauti za kunikemea bali ndo kwanza Sijaanza yaan namtafuta Mtu mmoja tu ambae atakutana na Bwana wangu. Yesu Kristo, Mungu mwenye nguvu na Baba wa Milele si tulia. Bado sana Nipo si hukumu mtu mimi bali nahubir injil wewe utahukumiwa na matendo yako mwenyewe
KWani wewe nawe si utahukumiwa kwa matendo yako..!!!
 
Saa tisa usiku nipo room hotel flani mjini , Demu kakosea room kagonga kwangu, nashtuka sio kawaida, nani huyu ? Anagonga tena, nafungua mlango haaa.. mtoto mkali na kataulo tu.. akasema sorry nimekosea room.. ile narudisha mlango akaita "kaka, naogopa kulala peke yangu" .. naomba nikae hapo kwako, nikaogopa kwanza, nikamuuliza room number yake nikaenda prove kweli yupo alone, nikamuambia poa, karibu hadi kwenye makochi na mie kitandani mtoto akaanza zunguka bafuni nisije kuwa na mtu cheki cheki .. ananiuliza maswali kibao kama mpelelezi vile najibu hili linakuja hili, maana pale nilikuwa nimekaa karibia mieizi sita kwa ajiri ya kikazi.. haraka haraka nikawaza huyu asije kuwa anafatilia nyendo zangu alafu leo nikauza mechi kizembe zembe , kwanza kwanini asiende kwenye vyumba vingine kaja straigh kwangu ? na kutoka kwake hadi kwangu kuna vyumba katik kati hapoa karibua vinne na ni umbali kama wa second 30 kutoka kwake kuja kwangu, akili ikaanza kuwaza hakai kwenye makochi haji kitandani anakagua tu nikasema mwamba nimekosea mahesabu nimevunja mwiko

Kwa hiyo bwana kaka UKAOGOPA KUFA muogope Mungu.

Mathayo 10:28 - Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum.
 
Wengine wana sema niende Jukwaa la Dini. Nami nawauliza. MUNGU DINI GANI? ukipata jibu kaa nalo uwe na hakika sijaingia bahati mbaya.
Walishakuja wengi wewe sijui wa Saba, utaondoka Kama wenzako. Fuatilia replies huko juu utakutana na wachungaji wenzako ambao walitwanga maji yakawashinda wakala kona
 
Walishakuja wengi wewe sijui wa Saba, utaondoka Kama wenzako. Fuatilia replies huko juu utakutana na wachungaji wenzako ambao walitwanga maji yakawashinda wakala kona

Mi wala sishindani kaka. Nikimaliza nlichotumwa basi. Hata wao walimaliza wapo waliopokea ndo mana nikasema Mmoja tu. Hushangai wamekuja wakaondoka wengine nami ni mwingine. Ni mmoja tu aliyepotea bwana anamuhitaji akipatikana haina haja. Ni kama Safina la Nuhu tu wengine walimtukana badae walikufa maji. Relux mbona kama una tetemeka kuona ni jina la Yesu mkuu tulia. Usiwe na haraka. Hata mimi nilikuwa kama wewe gizani kwan kuna ubaya gan nikikutangazia ya Nuruni sasa. Sio lazima uje kwenye taa. Ila uwe na hakika hata Mdudu hapo nyumban kwako anakushinda hataki giza ukiwasha bulbu anajongea kwenye taa. Sio kosa lako bali ni vifungo. Yesu yuko hapa kufungua sasa na wiki nzima hii relux
 
Usitutishe, ukimaliza kilichokuleta jisepeshe.
Acheni kujibishana naye.

Just ignore him....atabwabwaja na mwishowe atakwenda zake...

Atamwokoa nani kwa mabezo, majigambo na matusi? Lugha pekee inayoeleweka kwa mwenye dhambi ni upendo tena kwa vitendo. Huyu hata kwa maneno yake tu unaweza kuona kuwa kuna tatizo mahali...

Na hakuna mijitu minafiki na self righteous kama milokole
 
Saa tisa usiku nipo room hotel flani mjini , Demu kakosea room kagonga kwangu, nashtuka sio kawaida, nani huyu ? Anagonga tena, nafungua mlango haaa.. mtoto mkali na kataulo tu.. akasema sorry nimekosea room.. ile narudisha mlango akaita "kaka, naogopa kulala peke yangu" .. naomba nikae hapo kwako, nikaogopa kwanza, nikamuuliza room number yake nikaenda prove kweli yupo alone, nikamuambia poa, karibu hadi kwenye makochi na mie kitandani mtoto akaanza zunguka bafuni nisije kuwa na mtu cheki cheki .. ananiuliza maswali kibao kama mpelelezi vile najibu hili linakuja hili, maana pale nilikuwa nimekaa karibia mieizi sita kwa ajiri ya kikazi.. haraka haraka nikawaza huyu asije kuwa anafatilia nyendo zangu alafu leo nikauza mechi kizembe zembe , kwanza kwanini asiende kwenye vyumba vingine kaja straigh kwangu ? na kutoka kwake hadi kwangu kuna vyumba katik kati hapoa karibua vinne na ni umbali kama wa second 30 kutoka kwake kuja kwangu, akili ikaanza kuwaza hakai kwenye makochi haji kitandani anakagua tu 😄😄😄😄 nikasema mwamba nimekosea mahesabu nimevunja mwiko
mkuu hukula mbususu yake?
 
Acheni kujibishana naye.

Just ignore him....atabwabwaja na mwishowe atakwenda zake...

Atamwokoa nani kwa mabezo, majigambo na mateso yake haya ya rejareja? Lugha pekee inayoeleweka kwa mwenye dhambi ni upendo tena kwa vitendo. Huyu hata kwa maneno yake tu unaweza kuona kuwa kuna tatizo mahali...

Hakuna mijitu minafiki na self righteous kama milokole

upole kwan nimekufunga mimi mkuu. Shetan anakemewa sio mwanadamu.
 
Back
Top Bottom