hahahqhqha we jamaa mwongo sana hahahahaha nimecheka hapo unapo sema kimoyo moyo 'we mzee leo natafuna mtoto wa dadako'
 
Mfilaji mkubwa
 
Hilo limenishangaza pia.
Labda wameona uzi umepata wapenzi kuliko mambo yao ya kisiasa.
Watuache sisi na maisha yetu halisi na wao wabaki na maisha ya kufikirika na siasa zao.
Wanaharakati na wanasiasa huwa wanaona maisha ni siasa na harakati tu.
Yap kila mtu ajikite jukwaa linalompendeza la sivyo waondoe jukwaa la mapenzi
 
We jamaa hii chai
 
achana naye mkuu haihitaji kuprove kikubwa tumepata story
 
propaganda hizo za siku ya ukimwi duniani tar 1
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]HIIIIIII CHAAAAAAAAAAAI JAMAAAAAANI..![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Watu wengine mnachekesha ina maana hapo ulipo hujui wali unapikwaje? Nafikiri ulikuwa umeshaiva so ulikuwa umepapaliwa.
Kasome vizuri utaelewa tu, jamaa kadai mboga ndio ilikuwa imeivishwa arafu wali ulikuwa ndio kauweka jikoni, kisha demu akaenda kwa mshikaji na hakuna kisha walaanza romance na tunda kuliwa..hapa sioni sehemu aliyo elezea kuwa demu alipata upenyo wa kwenda kugeuza ama kushusha kile chakula!
 
Jamaa anabisha vitu vya kifalaa sanaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwani wali ili uivee unahitaji miguu ya watu au??? Ukute demu alizima tu gas chap game ikaendeleaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dyudyu ikiwanogea oohoo
Usiseme ufala wakati nimeuliza ili kujua, jamaa hajaeleza kile chakula kilishushwa saa ngapi ili hali walianza show na kupunzika saa6 na kuanza kula msosi mda huo huo, sasa huo wali waliula umeshakuwa mkaa ama???
 
Labda tujue wali kapikia kutumia nini. Maana unaweza kuta ilikuwa kwenye rice cooker huitaji kugeuza.
Me nilivyomuelewa ni kuwa alipika wali then akauacha jikoni mengine yakafuata na ni swala la kawaida.
 
hahahqhqha we jamaa mwongo sana hahahahaha nimecheka hapo unapo sema kimoyo moyo 'we mzee leo natafuna mtoto wa dadako'
Inaonekana ni kweli maana huyu jamaa sjui amejiamini vipi kutaja majina ya wahusika [emoji23][emoji23]bangi mbaya sana
 
Labda tujue wali kapikia kutumia nini. Maana unaweza kuta ilikuwa kwenye rice cooker huitaji kugeuza.
Me nilivyomuelewa ni kuwa alipika wali then akauacha jikoni mengine yakafuata na ni swala la kawaida.
Labda!
 




mabaharia hii story ni ya kweli tukio lilitokea 2017 nakumbuka vizuri kila nikadithia wahuni wananishangaa sana kutafuna makaburini wakati kuna watu wanatafunana kwenye masinagogii hapo story tunatoa za kweli ili watu wajifunze wapate maujanja



basi tukiendelea na story yetu zile tochi kumbe zilikuwa ni sungusungu siunajua mambo ya ulinzi shirikishi maana walishtukizia baada ya kuskia miguno wakawa hawana uhakika ndo wakaja wakafuma nimemuinamisha mtoto juu ya kaburi lilotandikwa mgololo vizuri mashada ya maua yamewekwa pembeni aisee nilikula kichapo maana Kwanzaa walijua ni mwizi wa misalaba kama hii ishu ya kuibiwaga misalaba mshawahi kuuisikiaga pia kutokana na ujinga nliofanya ila manzi walimchapa makofi wakamuachia ilibidi nibonge nao nikaenda nao hadi home nikawatoa mpunga kidogo kesi ikaisha

baadae nitakuja na moja jinsi nilivotafuna kimasihara beach ya raskazone swimming club nlivokuwa tanga ndo maana wakajaga na ile sheria hakuna kufundisha mtu kuogelea sjui kama sahivi IPO
 

Kwani usipogeuza wali hauivi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…