timeline
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 458
- 2,396
Watu wa siasa na wanaharakati wameona watu tunafaidi hapa kwenye kutoa experience halisi za maisha.Huu uzi umevamiwa sana. Wapuuzi wengine wanaleta mada za magonjwa kwenye uzi wa mapenzi ya tunda za kimasihara.
Wanataka kila wakati tujadili CCM, CHADEMA na ACT wazalendo.
Wametuharibia uzi wetu pendwa.