Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Huu uzi umevamiwa sana. Wapuuzi wengine wanaleta mada za magonjwa kwenye uzi wa mapenzi ya tunda za kimasihara.
Watu wa siasa na wanaharakati wameona watu tunafaidi hapa kwenye kutoa experience halisi za maisha.
Wanataka kila wakati tujadili CCM, CHADEMA na ACT wazalendo.
Wametuharibia uzi wetu pendwa.
 
kwa Mara ya kwanza nilipouona huu Uzi niliupuuza kwa kujua ni vijana wanaoanza Balehe na Aina Kama hiyo...........Lakini ninapoona Uzi huu unazidi kupampiwa zaidi nimeona niseme neno japo kidogo

Ngono nyingi zisizotarajiwa eitha kwa upande mmoja au pande zote huleta madhara na sononeko baadae kwa upande mmoja au pande zote........

Kuna Binti mmoja na genge lake la wuza ngono wameanzisha mbinu mpya ya kuwapata Wateja kwa kujifanya wao ni wageni ambao si wazoefu na Mji husika mfano Dar Es salaam sasa wanachofanya ni kuwawinda Mkaka yeyote wanaemuona ni windo Zuri ndipo huelezwa kwa kuombwa Msaada wa kuwa yeye ni Mgeni ametokea mfano Tanga na anakwenda Magomeni kwa Dada yake hivyo amejikuta yupo hapo Tazara na atakueleza amechoka sana kutembea kutoka Ubungo na atakueleza ana simu ambayo ina namba ya Dada yake ingawa simu yake haina salio.....

Ukimuangalia kwa jicho LA Kingono udenda utakutoka...... Hebu niishiae hapa kwa sasa ili nisiwachoshe nitaendelea baadae uone jinsi unavyotegwa.......
 
HAHAHA...wewe masikini tu dogo ...piga kimya huna hela fukara wewe halafu unafanya ngono zembe ...
Inakuuma nini, kwani huna ndugu zako wa kuwasihi, unanzaaje mwanaume mzima kukomaa na IDs fake tena kwa watu usio wajua,

#mkuu kachezee uliko nyea jana, uzi wetu pendwa unaotutolea stress embu achana nao kabisa
 
Hapo ndio mnafeli mabaharia ebwana tafute wallet mahsusi mtembee na ndomu najua hizi ishu hazikwepeki Ila ndomu muhimu

Mi niliwahi piga demu kimasihara tu na alikuwa mzuri Sana akaniachia UTI nashukuru hakuniachia ngwengwe since then sitaki Tena kuuza mechi na Niko makini Sana
Hivi UTI ni moja kati ya STD's???
 
Hapo ndio mnafeli mabaharia ebwana tafute wallet mahsusi mtembee na ndomu najua hizi ishu hazikwepeki Ila ndomu muhimu

Mi niliwahi piga demu kimasihara tu na alikuwa mzuri Sana akaniachia UTI nashukuru hakuniachia ngwengwe since then sitaki Tena kuuza mechi na Niko makini Sana
Mzee baba.... UTI siyo STD, Uti hata mtu ambaye hajawahi kusex anaipata vzr kabisa...

Unaipata as far as upo subjected na bacteria. Tena hao bacteria wanapatika kwenye mwili wako mwenyewe...

Pia mwanamke anaweza kupata UTI kwa urahisi zaidi ukilinganisha na sisi wanaume sababu wao urethra yao ni fupi sana hivyo kupelekea Bacteria kusafiri kwa urahisi zaidi kutoka kwenye K zao hadi kwenye Bladder....

Huwa nafikiria sana kwamba huenda dame wangu aliniacha kwa kufikiria nmemuambukiza UTI...
 
Karibu...maskini mmoja wewe ...
Watu wanapigwa na dola milioni moja
Hehehee.Hapa tunakula tunda kimasihara.
Screenshot_20191201-204544.jpeg
 
Hahahah... hata mimi niliona chakula kipo motoni mara watu wamekulana hadi saa 6 usiku... labda walilishana mikaa
Kosa la kwanza umesema jina unaweka kapuni ila ukamtaja "kuna demu mmoja hivi wakichaga jina kapuni"

Kosa jingine ni hili hapa "ubwaubwa uko jikoni kafunikia kidume nikafatwa kitandani"

Swali langu ni je, uliwezaje kupakuliwa chakula baada ya show ili hali ulidai kuwa dem aliacha chakula jikoni, na hamkuweza achana mpaka saa6 usiku ndio mkala..kwa hiyo mlilishana kunguni??

NAOMBA UFAFANUZI JUU YA HAYA ILI NIWEZE KUELEWA ZAIDI.
 
sitosahau siku ambayo nipo kituo cha kazi hospital flani ivi ghafla wakaja watoto wa field mmoja akawa kisu hatari kila mtu akawa anammendea mm nikiwa kitengo cha CTC( care and treatment clinic ) nikakabidhiwa nimfanyie orientation pale baada ya wiki kupita akaomba namba tuwe tunawasiliana km kuna shida ebwana ee nyege mbaya kuna siku palepale kituo cha kazi wakati anaanda dawa a wagonjwa yy akiwa kasimama mimi nimekaa kwenye kiti nikapitisha mkono kwenye skert flani ilikua fupi nikakutana p*ssy mashavu nikaanzaa kushika hhaaaaaaaaaaaaaa ghafla nikasikia mtu analia anhaaa!!!! anhaaaa!!! kha nilidata kutoa mkono mauterezi kibao kashakojoa nikamwambia akanawe chooni then ajimwagie sprit mikononi ili harufu isitoke maana wagonjwa wangegundua ile harufu ya uterezi.Saa kumi kumi baada ya kutoka kazini tukaenda kula.Baada ya kula nikamwomba anisindikize kwenye site flani yang nikaangalie mafundi km wamefanya kazi kufika pale kama saa kumi na mbili jion ivi nikaaona isiweshida nikaaanza kumshika ebwana yule demu anamaji hata dakika haijapita nguo zote mbichi kalowanisha nikamwinamisha kavukavu kwenye pagale palepale kula **** mpaka ikawa inanukia mishikaki nilipomwaga nikamshawishi tigo hata kimoja aligomama katakata nikampiga chini mpaka leo.Japo wakati anarudi akawa ananilalamikia nimemchubua akikojoa anaungua
Huko nyuma sijui mnakupendea nini... mnakusanya tu UTI for no reason...
 
WAKUU VIPI MBONA MNAPOTEZA NGUVU NYINGI KUBISHANA NA HUYO TAHIRA MMOJA.!WAKATI KUNA OPTION YA KUM BLOCK/IGNORE ..... BASI KAZI KWISHA TUNA ENDELEA NA STORY ZETU ZA KIJIWENI.HUO NDIYO USTAARABU MAKINI.ACHA KUPOTEZA NGUVU NYINGI KUBISHANA NA KICHAA ASIE STAARABIKA.
 
WAKUU VIPI MBONA MNAPOTEZA NGUVU NYINGI KUBISHANA NA HUYO TAHIRA MMOJA.!WAKATI KUNA OPTION YA KUM BLOCK/IGNORE ..... BASI KAZI KWISHA TUNA ENDELEA NA STORY ZETU ZA KIJIWENI.HUO NDIYO USTAARABU MAKINI.ACHA KUPOTEZA NGUVU NYINGI KUBISHANA NA KICHAA ASIE STAARABIKA.
dah mkuu umenikumbusha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom