Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Kuna afande alikuwa anaitwa Kessy wa F coy Yule aliyejimwagia ndoo ya maji, kuna afande alikuwa anaitwa Chuga alikuwa kule shambani kwa msanga yaani usiporudi na kuni anakukamata pale shuleni,
Kuna kiafande kilikuwa kinaitwa Mlozi cha E coy kilikuwa kina Mambo ya hovyo sana.
Kuna Mzee mmoja alikuwa Ni staff sajenti jicho lake moja kama halioni vizuri hivi alikuwa anatoa doso hatari pale getini.
Wapiiii afande kayange mwenye mapengooooooo haaahaaaa.
Wapi RSM MATANDA Mzee wa ng'ombe wa mayai.
Wapiiii RSM kikotiiiiiii mzee wa makamanda makamandaaaaaa haaahaaaa
835KJ, mgamboooo
Wapi Afande Ng'ati wapi Mzee wa propeller
 
Wapi Afande Ng'ati wapi Mzee wa propeller
Mimi:Kuruta mguu sawa,mwendo wa haraka kuondoka ktk uzi huu mbele tembea "shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia kundi hima"
Kuruta:" moja mbili"
Mimi:kwa kwenda kula tano kulia mwisho.
 
Mimi:Kuruta mguu sawa,mwendo wa haraka kuondoka ktk uzi huu mbele tembea "shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia shot kulia kundi hima"
 
huyu alikua Nanga, nyege unazitoa wapi kwa doso lile, nakumbuka niliwah jificha na demu lakini sijui nlisinzia saa ngap ata sikuwaza kumla, nimekuja kumla tulivyofika Daslam course imeisha, wazee wa Embakasi, wapi man Gaddafi
Ulikua 842kj
 
Nyiee wa jkt embu anzisheni uzi wenu mnatunyima uhondoo hapa ni kula kimasihara na sivinginevyo laa sivyoo nitawapiga vasco dagama au popo kanyea mbinguu mbavuu zenuuuuuu acheni hizooo
😂😂😂 kurutu mdudu .😂😂😂.
Yanyukweeeeee!!!!!
 
Back
Top Bottom