IFRS
JF-Expert Member
- Dec 19, 2014
- 2,920
- 5,267
OP muungano,afande kanole anasema" Sisi hatuwatengenezi kuwa wa mujibu wa sheria,ila tunawatengeneza kama askari wa akina,likitokea la kutokea si tuna no.zenu tunawakurupua tu"..Nikiwasimulia sekeseke la mgambo mujibu wa sasa hvi wanahisi ni movie au nawapiga kamba,Kwa msanga.
Genda genda shamba moja matata,
Miaka ya 2014 kurudi nyuma hapo 835 KJ kozi zilikuwa sio za kitoto kiasi kwamba hamna hata muda wa kudindisha,
Nashangaa sana kusikia eti watu mlikuwa mnahamu ya mapenzi, sisi ilikuwa ukipata upenyo unachowaza ni kulala tu
Kanole hakuwa na ujinga wa kulea kuruti kizembe hivo
Nimemkumbuka captain mberenje jamaa anakupa mateso ya kisaikolojia mpaka ukikutana nae unampkimbia
Kulikuwa na luten mmoja wa kike mzuri kinyama sijui alikuwa anaitwa nani?,Yule captain sikuwa kumuona kuonyesha kuridhishwa hata siku moja,akija utasikia kuruti ndo kitu gni mnafanya....daaa


