Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Kwa msanga.

Genda genda shamba moja matata,
Miaka ya 2014 kurudi nyuma hapo 835 KJ kozi zilikuwa sio za kitoto kiasi kwamba hamna hata muda wa kudindisha,

Nashangaa sana kusikia eti watu mlikuwa mnahamu ya mapenzi, sisi ilikuwa ukipata upenyo unachowaza ni kulala tu

Kanole hakuwa na ujinga wa kulea kuruti kizembe hivo
Nimemkumbuka captain mberenje jamaa anakupa mateso ya kisaikolojia mpaka ukikutana nae unampkimbia
OP muungano,afande kanole anasema" Sisi hatuwatengenezi kuwa wa mujibu wa sheria,ila tunawatengeneza kama askari wa akina,likitokea la kutokea si tuna no.zenu tunawakurupua tu"..Nikiwasimulia sekeseke la mgambo mujibu wa sasa hvi wanahisi ni movie au nawapiga kamba,

Kulikuwa na luten mmoja wa kike mzuri kinyama sijui alikuwa anaitwa nani?,Yule captain sikuwa kumuona kuonyesha kuridhishwa hata siku moja,akija utasikia kuruti ndo kitu gni mnafanya....daaa
 
uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

Mkiendelea kupost masuala yenu ya kambini najaza servers
 
uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

Mkiendelea kupost masuala yenu ya kambini najaza servers
 
uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

Mkiendelea kupost masuala yenu ya kambini najaza servers
 
uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

Mkiendelea kupost masuala yenu ya kambini najaza servers
 
uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

Mkiendelea kupost masuala yenu ya kambini najaza servers
 
OP muungano,afande kanole anasema" Sisi hatuwatengenezi kuwa wa mujibu wa sheria,ila tunawatengeneza kama askari wa akina,likitokea la kutokea si tuna no.zenu tunawakurupua tu"..Nikiwasimulia sekeseke la mgambo mujibu wa sasa hvi wanahisi ni movie au nawapiga kamba,

Kulikuwa na luten mmoja wa kike mzuri kinyama sijui alikuwa anaitwa nani?,Yule captain sikuwa kumuona kuonyesha kuridhishwa hata siku moja,akija utasikia kuruti ndo kitu gni mnafanya....daaa
uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

Mkiendelea kupost masuala yenu ya kambini najaza servers
 
Mwanamke mzuri alikuwa ni MP alafu alikuwa analiwa na mshikaji flani wa kujitolea ambaye alikuwa doja maarufu

Maluten wote wa kike walikuwa na sura ngumu.

Kuna jamaa kipindi cha uzalendo alikuwa anavaa kiraia anapiga story na kuruti asubuhi hadi jioni lakini aiku tunafungua mafunzo nkamuona katupia sare kama za magereza ana minyota sijui zile sare ni za jeshi gani
uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

Mkiendelea kupost masuala yenu ya kambini najaza servers
 
Kuna afande alikuwa anaitwa Kessy wa F coy Yule aliyejimwagia ndoo ya maji, kuna afande alikuwa anaitwa Chuga alikuwa kule shambani kwa msanga yaani usiporudi na kuni anakukamata pale shuleni,
Kuna kiafande kilikuwa kinaitwa Mlozi cha E coy kilikuwa kina Mambo ya hovyo sana.
Kuna Mzee mmoja alikuwa Ni staff sajenti jicho lake moja kama halioni vizuri hivi alikuwa anatoa doso hatari pale getini.
Wapiiii afande kayange mwenye mapengooooooo haaahaaaa.
Wapi RSM MATANDA Mzee wa ng'ombe wa mayai.
Wapiiii RSM kikotiiiiiii mzee wa makamanda makamandaaaaaa haaahaaaa
835KJ, mgamboooo
uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

Mkiendelea kupost masuala yenu ya kambini najaza servers
 
uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

Mkiendelea kupost masuala yenu ya kambini najaza servers
 
uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

Mkiendelea kupost masuala yenu ya kambini najaza servers
 
Kuna afande alikuwa anaitwa Kessy wa F coy Yule aliyejimwagia ndoo ya maji, kuna afande alikuwa anaitwa Chuga alikuwa kule shambani kwa msanga yaani usiporudi na kuni anakukamata pale shuleni,
Kuna kiafande kilikuwa kinaitwa Mlozi cha E coy kilikuwa kina Mambo ya hovyo sana.
Kuna Mzee mmoja alikuwa Ni staff sajenti jicho lake moja kama halioni vizuri hivi alikuwa anatoa doso hatari pale getini.
Wapiiii afande kayange mwenye mapengooooooo haaahaaaa.
Wapi RSM MATANDA Mzee wa ng'ombe wa mayai.
Wapiiii RSM kikotiiiiiii mzee wa makamanda makamandaaaaaa haaahaaaa
835KJ, mgamboooo
yule mlozi alikuwa anapenda mademu balaaa
hivi afande inakuwaje unawamendea kuruta aseee
 
uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta

uzi wa makuruta
kurutaaaaaaaa tushushe mambo
 
Kulikuwa na luten mmoja anaroho nguvu hiv,haalafu kuna mmoja alikuwa na Noah mzuri sana
😄😄😄😄😄
Luteni Masalu sharobaro alikuwa anapigiwa saluti na sir meja ambaye ni sawa na babu yake,

Huyo dada mwenye Noah alimpiga makofi mshikaji wangu kisa kupiga saluti akiwa hana kombati
 
Back
Top Bottom