Heee!! Ulishindwa kumwachia Anko ukachonga mzinga kabisa.
 
Hatariiii Sana

Haya mambo ni hatariiii Sana wakuuu soma hiyo..............

Mwaka 2000 mwezi wa 12 nilikuwa natoka Mtwara kuja Dar, wakati huo mvua tayari ilikuwa imeshaanza kunyesha so barabara ilikuwa mbovu sana. Lakini mwisho wa siku tulikuja kukwama Rufiji mtoni wakati huo hakuna daraja, mto umefurika so pantoni haiwezi kufanya kazi kwa namna ile. Ilikuwa saa kumi na mbili hivi jioni niliangalia mandhari ya pale nikajisemea tu 'Bora kufa nimesimama kuliko kufa kihoro nimelala' navuka na mtumbwi potelea mbali.

Hakuna aliyenisapoti miongoni mwa abiria wenzangu but kuna kabinti kakawa kanasita sita abaki au aungane nami!! Jamaa wa mtumbwi alipokuja naona na binti ananishika shati, ananiambia tutakufa wote but hapa siwezi kulala katu.

Tukavukia upande wa pili, ambapo maji yalijaa karibu na Ikwiriri so tulienda kwa miguu tu na bahati mbaya kufika pale hakuna mabasi ya kwenda Dar isipokuwa ni pazuri kuliko pale mtoni tulikotoka.

Tulipata kagesti fulani hivi tukalala hapo, nilikatafuna kale kabinti bila bughudha usiku kucha! Kesho yake saa kumi na mbili tupo garini kwenda Dar na hatukuwahi kuonana wala kuwasiliana tena.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we fala kumbe ulikuwa KO ulishindwa Nini kujiunga na kwata la kimyakimya au singe. Nyie ndo siku ya kulenga shabaha mlikuwa mnaua mijusi tu hulengi hata moja.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we fala kumbe ulikuwa KO ulishindwa Nini kujiunga na kwata la kimyakimya au singe. Nyie ndo siku ya kulenga shabaha mlikuwa mnaua mijusi tu hulengi hata moja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Kwata Wengne Tulipunguzwa tukaona Bora u KO tu siku ya shabaha si kwata wala KO wote walifanya hamna[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Simba mwenzako huyo
Na huko Yanga,? Mmefukuza kabwili mbna fei toto yupo bado? Au kisa basha wao mkoko tonombe katoka? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Huko yanga wachezaji wengi ni wanageuzana, na kabwili alitaka kuwalipua wote mkaona mumpoze na chochote kitu, hahahah

Yanga mnalo hiloooo.
 
Hivi kweli hukupata DIVISIO 0 wewe! Kidato cha VI kwa uandishi huu, hakuna kituo wala nini! Jamani, inabidi mtaala wetu wa elimu uangaliwe upya!
 
Kama kumbukumbu zangu ziko vizuri hii kama uliihadithia huko juu mwanzoni mwanzoni, unless umeamua kuirudia. Ila it's a good one[emoji1474]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we fala kumbe ulikuwa KO ulishindwa Nini kujiunga na kwata la kimyakimya au singe. Nyie ndo siku ya kulenga shabaha mlikuwa mnaua mijusi tu hulengi hata moja.
Mkuu 2018 nlikuwa mujibu 822kj.. tulivyoenda Shabaha nilikuwa target namba moja,yani ile ilikuwa kama imepinda hivi na unaona kabisa imepinda lakini anamuuliza mkuu anakwambia,"kwahiyo unategemea adui atajiweka hapo mbele akwambie haya niue"😃😃.

Mpaka tunamaliza ile kitu details zaidi ya 40 haikupigwa na mtu.Lakini mule katikati watu wanapigiana kinoma,unakuta kidada hakina hata nguvu ya kubeba mashine et kimepiga tatu😂😂
 
Kama kumbukumbu zangu ziko vizuri hii kama uliihadithia huko juu mwanzoni mwanzoni, unless umeamua kuirudia. Ila it's a good one[emoji1474]
Ni sahihii hiiki kisaa kishawah simuliwaa huko juuu[emoji1][emoji1]sasa cjajuwaa ndio yeye muhusikaa au kacopy na kupaste,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…