cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Eeeeeh babeeeh umekuja huku tena? Sasa mie nawee sio kimasikhara eti, ishakua planed.tufanye yetu basi na sisi tuje andika hapa
Au nasema uongo?







Eeeeeh babeeeh umekuja huku tena? Sasa mie nawee sio kimasikhara eti, ishakua planed.tufanye yetu basi na sisi tuje andika hapa







nimeharibu itabidi tufungue uzi wa matunda yalioliwa planned...Eeeeeh babeeeh umekuja huku tena? Sasa mie nawee sio kimasikhara eti, ishakua planed.
Au nasema uongo?![]()
nini sasa
usijali watu wanamnanga binti wawatu...ngoja niwalete mrejesho cocastic mtamu balaahUtanitag basi![]()
lete stori mkuuHuu uzi kwa kweli ni shiiida! Nilisema nikae wiki mbili bila kupita huku, lkn nashangaa hata siku mbili zimenishinda!
Hamjambo lakini?
lini utakuja uku kisemvule?Tena mzoefu.![]()
Hebu shusha tuone hapa, huyo sungura tope alivyoliwa.Wana masihara wote hoyeeeeeee
Masihara Daima
Nitawaletea kisa changu nilivyomla kimasihara sungura tope






We mzee wa Msange JKT, na ole wako kama ningekukamata![]()





Mungu angepanga unikamate labda ungenikamataUpigage doria kwenye nyasi kule utakuta tu hata sample mbil tatu


Au kule kwenye miti ile iliyopandwaUpigage doria kwenye nyasi kule utakuta tu hata sample mbil tatu![]()

